kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,636
- 2,885
Nape ni nani ndani ya Chama.... Huyu huyu sii ndiyo alimtukana Jakaya 2005? Leo hii yuko wapi?
nape na ccm yao wanajifariji lakini hamna mwenye ubavu wa kumu-omit El.
Nape ni nani ndani ya Chama.... Huyu huyu sii ndiyo alimtukana Jakaya 2005? Leo hii yuko wapi?
Hivi ulikuwa na sababu za kutumia nguvu zote hizo? Nani amesema Lowassa au yeyote kafanya kosa? By the way, nani amesema suala la kutangaza? Yaani unaamini kujitangaza na kujitokeza ni kitu kimoja? Yaani kabisa unaamini kwamba Lowassa hajajitokeza kuutaka Urais? By the way, ni nani amesema hao waliojitokeza hawafai?Usijifanye kwamba hujui kiswahili.
Kwanza Lowasa hajajitangaza kuwania urais ni woga tu wa wale wasio na sifa na ushawishi kwenye jamii.
''JK alisema '' KAMA waliojitokeza hawafai ''
Neno ''kama'' limetumika kuonyesha kuwa kama wanafaa waacheni.
Hata hivyo wananchi baada ya kuona wengine wanasambaza vitabu nchi nzima,wengine kutumia matamasha ya krismas ,pasaka na wasanii mbalimbali kujinadi kuwa wao ni wasafi na kutumia matamasha hayo kuwakashfu na kuwapaka matope wenzao ;kadhlika wengine wakitumia nyadhfa zao za uwaziri na uwaziri mkuu kujitangaza na kutangaza nia. Wananchi wakaamua kumfuata Lowassa ambaye hajajitangaza bado ili wamshawishi kama alivyoelekeza mwenyekiti wa CCM Taifa.
Kosa liko wapi kama sio unafiki wa Nape na makuwadi wake.
Unajua Mkuu CCM wameingia mkenge ambao kutoka hapo inatakiwa busara za nabii Suleimani! vinginevyo wapasue chamaNape siku zake zinahesabika soon atarudi CCJ au ACT
LizaboniHabari wapendwa.
Akihojiwa kupitia kituo cha Radio cha Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast juu ya makundi mbalimbali ya kijamii kumtaka Lowasa kutangaza nia yamkugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2015, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Moses Nnauye amesema kuwa kimsingi Lowasa ameonesha na ametangaza nia ya kugombea nafasi hiyo kwa muda mrefu na ndo maana chama kilimwadhibu kwa kuanza kampeni kabla ya wakati wake. Anasema kuwa kinachofanyika kwa sasa ni usanii na ulaghai wa kisiasa wa mwanasiasa huyo ambaye anausaka urais kwa udi na uvumba na kwamba kinachofanyika kwa sasa ni muendelezo wa kampeni za mapema zinazovunja kanuni na misingi ya chama.
Anasema kuwa si kweli kuwa makundi hayo ndiyo yanayomtaka Liwasa agombee bali watu hao wanaandaliwa na gharama zote zinalipwa na Lowasa ikiwa ni pamoja na nauli, malazi, chakula pamoja na fedha zinazotolewa kwa lengo la kugharamia uchukuaji wa fomu. Nape anaongeza kwa kusema kuwa wanazo taarifa kuwa makundi mbalimbali yanaendelea kuandaliwa ambayo yataenda Dodoma siku si nyingi. Anasema kuwa wakiwa Kilimanjaro, wamepata taarifa za baadhi ya watu walioombwa na Team Lowasa kwenda Dodoma. Ameyataka makundi hayo kuwa ni pamoja na Walemavu na Wafanya Biashara ndogo ndogo maarufu kama Wamachinga.
Akitoa ufafanuzi zaidi anasema kuwa nyumbani kwa Lowasa yamewekwa mahema na viti vya kutosha muda mrefu hata kabla ya kundi la kwanza kwenda. Anasema kuwa kama kweli wageni hao hawakutokana na jitihada zake Lowasa, maandalizi hayo ya nini? Kwa nini waitwe waandishi wa habari na pia maandalizi ya chakula cha wageni hao kufanyika hata kabla ya ujio wa wageni hao? Anahoji Nape Nnauye.
Kwa msingi huo, Nape anasema kuwa hatua ambayo amefikia Lowasa haivumiliki na kwamba mwanasiasa huyo amejiondoa mwenyewe kwenye kinyang'anyiro cha urais kwa Tiketi ya CCM labda kama jitihada zake zinalenga kugombea nafasi hiyo kupitia chama kingine ambacho Nape hakukibainisha.
My Take: Naamini kuwa Nape hakukurupuka kusema aliyosema na bila shaka amepata baraka za viongozi wake akiwemo Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana ambaye yupo naye sambamba kwenye ziara zake pamoja na Mwenyekiti, Jakaya Kikwete. Lowasa ujumbe ndio huo. Harakati zako ni sawa na mtu anayetwanga maji huku akitaraji kupata unga. Nakuhurumia sana
Urais kwa hakika ni taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ya kiutendaji katika nchi yetu. Kwa mawazo yangu, tuki-assume kwamba CCM watatoa rais (which is POSSIBLENape ni nani ndani ya Chama.... Huyu huyu sii ndiyo alimtukana Jakaya 2005? Leo hii yuko wapi?
) basi bora awe Lowassa maana anaroho na uwezo wa kuthubutu kuamua na kutenda. Ukweli ni kwamba sote tungependa kuwa na rais asiyekuwa na doa hata kidogo. Naamini tunaweza kumpata lakini kwangu mimi sifa moja tu hiyo haitoshi kutupeleka mbele kimaendeleo hasa kipindi hiki cha usoni ambacho changamoto ya wajomba na mashangazi wa magharibi itakuwa kubwa kuliko wakati wowote nchi yetu imepitia kutokana na hifadhi kubwa ya rasilimali ya gesi na madini. Lowassa anaweza kusimamia maneno yake. Nikumbushe kuwa nimesema CCM wanaweza kutoa rais. Imani yangu ni kubwa pia kuwa UKAWA watapata wabunge wengi kuliko muda wowote katika historia ya nchi hii. Bunge linalojenga hoja kisawasawa haliwezi kuruhusu rais akafanya upuuzi mbele yake. Hata huyo rais akishaona majority ya wabunge ni upinzani, hawezi kufanya upuuzi kama ambavyo angefanya akiwa na wabunge wengi. Ushauri wangu kwa wasomi wenzangu ni kukubali kachumbari hili endapo litatokea maana itakuwa nchi imepiga hatua.maneno yake mbofumbofu na jeuri yake ya kumtukana lowassa hadharani yatamtokea puani oktoba. wewe muache amalizie kwanza hii miezi michache iliyosalia kabla hajarejea nyumbani kwao masasi akalime korosho. hata ukuu wa tarafa atausikia redioni tu.
Hivi ulikuwa na sababu za kutumia nguvu zote hizo? Nani amesema Lowassa au yeyote kafanya kosa? By the way, nani amesema suala la kutangaza? Yaani unaamini kujitangaza na kujitokeza ni kitu kimoja? Yaani kabisa unaamini kwamba Lowassa hajajitokeza kuutaka Urais? By the way, ni nani amesema hao waliojitokeza hawafai?
Urais kwa hakika ni taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ya kiutendaji katika nchi yetu. Kwa mawazo yangu, tuki-assume kwamba CCM watatoa rais (which is POSSIBLE) basi bora awe Lowassa maana anaroho na uwezo wa kuthubutu kuamua na kutenda. Ukweli ni kwamba sote tungependa kuwa na rais asiyekuwa na doa hata kidogo. Naamini tunaweza kumpata lakini kwangu mimi sifa moja tu hiyo haitoshi kutupeleka mbele kimaendeleo hasa kipindi hiki cha usoni ambacho changamoto ya wajomba na mashangazi wa magharibi itakuwa kubwa kuliko wakati wowote nchi yetu imepitia kutokana na hifadhi kubwa ya rasilimali ya gesi na madini. Lowassa anaweza kusimamia maneno yake. Nikumbushe kuwa nimesema CCM wanaweza kutoa rais. Imani yangu ni kubwa pia kuwa UKAWA watapata wabunge wengi kuliko muda wowote katika historia ya nchi hii. Bunge linalojenga hoja kisawasawa haliwezi kuruhusu rais akafanya upuuzi mbele yake. Hata huyo rais akishaona majority ya wabunge ni upinzani, hawezi kufanya upuuzi kama ambavyo angefanya akiwa na wabunge wengi. Ushauri wangu kwa wasomi wenzangu ni kukubali kachumbari hili endapo litatokea maana itakuwa nchi imepiga hatua.
Unajua Mkuu CCM wameingia mkenge ambao kutoka hapo inatakiwa busara za nabii Suleimani! vinginevyo wapasue chama
Nape siku zake zinahesabika soon atarudi CCJ au ACT
nape na ccm yao wanajifariji lakini hamna mwenye ubavu wa kumu-omit El.
tajiri kwa wizi wa mali ya umma? Lowasa inatakiwa awe gerezani muda huu.
Urais kwa hakika ni taasisi yenye mamlaka ya juu kabisa ya kiutendaji katika nchi yetu. Kwa mawazo yangu, tuki-assume kwamba CCM watatoa rais (which is POSSIBLE) basi bora awe Lowassa maana anaroho na uwezo wa kuthubutu kuamua na kutenda. Ukweli ni kwamba sote tungependa kuwa na rais asiyekuwa na doa hata kidogo. Naamini tunaweza kumpata lakini kwangu mimi sifa moja tu hiyo haitoshi kutupeleka mbele kimaendeleo hasa kipindi hiki cha usoni ambacho changamoto ya wajomba na mashangazi wa magharibi itakuwa kubwa kuliko wakati wowote nchi yetu imepitia kutokana na hifadhi kubwa ya rasilimali ya gesi na madini. Lowassa anaweza kusimamia maneno yake. Nikumbushe kuwa nimesema CCM wanaweza kutoa rais. Imani yangu ni kubwa pia kuwa UKAWA watapata wabunge wengi kuliko muda wowote katika historia ya nchi hii. Bunge linalojenga hoja kisawasawa haliwezi kuruhusu rais akafanya upuuzi mbele yake. Hata huyo rais akishaona majority ya wabunge ni upinzani, hawezi kufanya upuuzi kama ambavyo angefanya akiwa na wabunge wengi. Ushauri wangu kwa wasomi wenzangu ni kukubali kachumbari hili endapo litatokea maana itakuwa nchi imepiga hatua.
Ninyi wapambe wa Mh.Lowassa mnapoanza kujenga hoja za kuitisha CCM haziwezi kuwasaidia katika harakati zenu.
CCM haikujengwa katika msingi wa kutikisika achilia mbali kutikiswa na mwanachama.
CCM haiopopi kuanguka katika chaguzi, ndiyo maana inaingia katika chaguzi zote nchini.
CCM haiwezi kuwekwa rehani na wanachama achilia mbali mwanachama.
CCM na KANU wapi na wapi achilia mbali siasa za Kenya na Tanzania.
Fanyeni siasa safi ndani ya chama na siyo siasa za kuitisha CCM.