tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,412
- 28,455
Teh Teh Bavicha mkae mkijua Rais lazima atoke CCM.
na rais mwenyewe ni lowassa au sio?
Teh Teh Bavicha mkae mkijua Rais lazima atoke CCM.
Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
Eti Nyerere alisema,who is Nyerere! Alitupatia benjamini na EPA na Radar na kila uchafu ulishamiri Nyerere sio Mungu kutuchagulia kiongozi ndo maana mmelaaniwa kama nchi kumwacha baba wa kweli wa mbingu nakumwita nyerere baba wa taifa
Mwenyekiti wa CDM nasikia kahongwa na Lowassa kitita cha Tshs. 5 Bilioni ili wasifukunyue mafaili ya lowassa tangu alipokuwa AICC, MAJI mpaka RICHMOND...! Ndo maana wapo kimya!
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.
Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ndiye anayepokea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.
Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.
"Kinachofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anaweza kuondolewa," alisema Nape.
Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
Nyerere alisema huyu Lowasa asipewe nchi ni mwizi.tunafuata wosia wa wa baba wa taifa.
Ni wazi kwamba Lowasa akichukuwa nchi Nape atarudi Msumbiji maana hatakuwa na amani hata kama hafuatiliwi. Amezidi kumsakama Lowasa.