Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
CCM haiwezi kumeguka eti kwa sababu watamuengua Lowassa. Kama hafuati kanuni basi aenguliwe tu. Hayo mengine ni kutishana tu. Tena ataibuliwa madudu yake na kupelekwa mahakamani na hapo habari yake itakuwa imekwisha