Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
hahahahahaNavyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
hahahahahaNavyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
unaweza kuyarudia tena hya maneno yako kuhusu lowasa??
sasa nadhani mmemuona mwenye nyota ni nani??Mkuu naamini maneno yako hakika wakimuengua itakula kwao vibaya,hakuna mtu mwenye nyota ya huyo mzeee
MBONA LOWASA NI KM MBUZI WA SIKUKUU. UPINZANI WALA HATUMSEMI VIBAYA ILI CCM WAMSIMAMISHE NA I SWEAR CCM HAWATOAMINI MACHO YAO KWA KICHAPO TUTAKACHOMPA FISADI Uyu..
mkuu mzima wa afya?rais wa ukawa tumsubiri mwaka gani tena maana awamu hii imeshakataa kama mkeka umeshachanikaCcm ipi hii vipande-vipande?
Kwa kifupi tu ni kwamba raisi ajaye atatoka Ukawa na ataungwa mkono hadi na wanaccm walijeruhiwa kwenye hii mitifuano yenu.
Binafsi nilikwenda Monduli kwa gharama zangu na pia nilimchangia Lowasa pesa ya kuchua fomu bila kushawishiwa na mtu.
dah nimeanza kukuheshim. Huenda wewe TISSNavyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
Kitu gani kimebadirika? Au unaishi Somalia?ulimsema vibaya sana lowasa! pengine Leo unamuabudu...! muda si rafiki wa binaadamu
Mkuu nilikuwa chadema mimi .nilihama baada ya zitto kufukuzwa .unaweza kuyarudia tena maneno yako??
Na ndivyo ilivyokuwa.Navyomjua jk hataki kupiga kelele na Lowasa anamsubiri kwenye kanuni dakika za mwisho amtandike hataamini masikio na macho yake.
Aisee watu wana roho ngumu.Huyu jamaa asipopitishwa kuwa mgombea, patachimbika.