Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Wewe na Lowasa ndiyo ccm kiasi mfanye mnachokitaka? Mfute, msifute, hicho ni chama chenu klichokataliwa na Watanzania wote. Umebaki wewe na lowasa na mabosi wenu mafisadi.


Hivi wewe unaijua vizuri historia ya KANU?

BTW, kama Ningekuwa Nape, ndipo ningekaza uzi kwa sababu sasa ni dhahiri kabisa wewe na lowasa wote ni wajinga.

Hakuna mtu makini atashindwa kuona namna ambavyo wewe na ya ikulu lakini nyuma yenu hakuna sheria, hakuna taratibu wala nia nzuri kwa taifa. Ndiyo maana unaanza kublackmail ccm kwamba bila lowasa unaua chama. Kweli wewe ni binadamu mwenye upendo kwa taifa na kujali chama chako au unajali tumbo lako tu kwa mgongo wowote utakaokuhifadhi japo kwa muda? Mbona
nakuona kama mtu wa chini sana usiyfikiria hata kesho utalala wapi?

iWewe ni mwongo na unatumiwa na fisadi lowasa kumbeba aende ikulu ili amalizie hii nchi alipoishia rafiki yakekikwete. Uwezo wa kuinfluence chochote ccm huna. Ungelikuwa na influence hiyo, na kama kweli wewe na lowasa mngekuwa mnajali maslahi ya nchi, mngekomesha ruswa, ufisadi na uharamia kwenye ccm ambao ndio umeua taifa letu.

Watanzania hatutakubali tena kuongozwa na chama cha mafisadi kiwe chini ya lowasa ama fisi mwingine yeyote. Mnakera na kuudhi sana.







Tunao uwezo wa kuifuta CCM katika historia ya dunia,lakin kamwe lowasa huwezi kumzuia.nenda Hivi wewe unaijua historia ya KANU? Tena kama mimi ni NAPE, ningekaza uzi kwa sababu kumbe wewe na Loa
kaulize KANU iko wapi,
 
Lowasa anafahamu hatma yake ndani ya chama hasa baada ya kikao cha mwisho cha CC! Vyote anavyofanya ni calculated move!
 
Mkuu kwani watu kuja kwako kukuomba ugombee urais ni kufanya kampeni????

Tatizo sio kuja, tatizo ni mofality aliyoitumia kuwa organise hawa watu, achana na wachache waliotangazwa kwenye vyombo vya habari, mmoja moja tunaowafahamu wanasema kuna viongozi waliwakusanya bila wao kujua
 
Nape Nnauye unapokuja na hoja ya kuandaliwa viti na kusema haya mambo yalipangwa sasa ulitaka Lowassa atoke ndani na taulo na mswaki?
Hili ndio tatizo la viongozi kutembea na wagombea mifukoni ,siasa za ushindani zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu.
 
Last edited by a moderator:
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ndiye anayepokea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.

Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.

"Kinachofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anaweza kuondolewa," alisema Nape.

Ni wazi kwamba Lowasa akichukuwa nchi Nape atarudi Msumbiji maana hatakuwa na amani hata kama hafuatiliwi. Amezidi kumsakama Lowasa.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.

Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ndiye anayepokea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.

Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.

"Kinachofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anaweza kuondolewa," alisema Nape.

Nape ni kinyesi tu kwa lowasa.
 
Chama cha ajabu sana hata taratibu zao wenyewe walizojiwekea wanashindwa kuzisimamia na kuadhibu wavunjaji wa kanuni na taratibu. Mtawezaje kusimamia serikali kama wanachama mnashindwa kuwaadhibu. Mfano ni Lowasa kesi yake iko wazi kuhusu hili. Fukuzeni chamani
 
Natamka haya maneno kwa roho safi kabisa na bila kumumunya maneno kwamba: ikiwa lagwanani Edward Ngoyai Lowassa atatinga nyumba nyeupe ya magogoni mwezi wa Oktoba, january Makamba, Nape Nnauye na Paul Makonda mkahamie Somalia.

Sote ni mashahidi jinsi hawa watu wa3 wanavyomsukasuka Lowassa kwa muda mrefu huku wakitambua fika kwamba Lowassa sio saizi yao ila wanafanya hivyo kwa lengo la kutafuta cheap fame in politics. Nawashauri muanze kufungasha virago vyenu kuanzia sasa. Nawe Makonda nakushauri huo ulaji wa ukuu wa wilaya uule kwa haraka maana siku zako zinahesabika kwa vidole vya kiganja cha mkono mmoja. Hayo madaraka uliyozawadia na JK ndio yatakuwa ya mwisho katika harakati zako za uongozi wa kisiasa. Ulithubutu kumpiga mzee wetu Warioba ukazawadiwa cheo lakini safari hii utakula jeuri yako.

Sijatumwa na mtu yeyote kuandika haya maneno ila nawapa angalizo tu kwa roho safi. Tafuteni nchi ya kuhamia kuanzia sasa. Si mmejifanya jeuri kumtukana mamba kabla hamjavuka mto? Imekula kwenu!

:israel:



Mbona unaanza kujihami kuwa hujatumwa?Thibitisha.
 
Kwaiyo watz hawana ruhusa ya kwenda kumuomba mtu wanayehisi anafaa kugombea uraisi? Au wakienda kumuomba hawaruhusiwi kumpa taarifa kabla ili ajiandae kuwapokea mf. viti. Au ukiwa mgombea ukipata wageni nyumbani kwako utawaambia wakatafute sehemu ya kula maana ww ni mgombea? Wadau wekeni hapa hicho kifungu cha sheria ya ccm tukijadili.

Binadamu hana jema,wangeachwa nje ya geti maneno yangewatoka pia.
 
Ccm is gone, believe it or not, but lowasa will kill ccm. Yule mtu anataka uraisi kwa njia yoyote ile, akiukosa ndani ya ccm atakisambaratisha hiko chama tu. Oct si mbali
 
si JK aliwaambia nendeni mkawashawishi wagombea wagombee, sasa ndio wanamuona anafaa wanamshawishi.
 
Nnatumai Nape anao ushahidi wa anayoyasema na kutuhumu watu. Kwamba watu wanaoenda dodoma wamelipwa na nani, kwa njia zipi na kwa sababu gani, la sivyo atakiaibisha chama kwa mara nyengine tena! Wananchi wameamua....acheni uzushi na uongo. Kwa nini mnawadhalilisha wananchi kiasi hiki? Waache kazi zao kwa kulipwa na kupewa chakula? Hivi wote walioonekana huko hawawezi kujinunulia chakula? Tena tunawaingiza mpaka viongozi wetu wa dini; maimamu na wachungaji!

Nnaungana na mtu wa Mungu mmoja aliyemtaka aokoke.....atubu na aokoke!!

Mimi siamini kama watu wamemtafuta, sipo tayari na itaweza kuamini hivyo. Ni watanzania gani wenye akili timamu wanaokubaliana na wewe kuwa "wananchi wameamua, waacheni" huku ni kupotoshana mchana kweupeeee.

Hao wameitwa...,
tena wamesafirishwa na wakalipwa. kama huamini jiulize ni kwa nini wanakula na kunywa huko, kwa nini hawakufanya hayo alipojiuzulu. Kwa nini hawakumfariji alipokumbwa na kashfa ya Richmond?

Huo ni uongo mkubwa, mbaya zaidi watu wasiofikiria wanaamini kuwa eti mashehe, maaskofu na wanafunzi wamemshawishi awanie urais. Kwani kaanza wiki iliyopita harakati hizo?, mbona tunafanya mambo locally?

Waje mashehe na maaskofu hapa watueleze kama kweli walienda bila kuitwa.

Tusipotoshane ktk hili.
Ahsante.
 
Nape anapoteza sifa ya kuwa kiongozi wa CCM.
 
Mimi siamini kama watu wamemtafuta, sipo tayari na itaweza kuamini hivyo. Ni watanzania gani wenye akili timamu wanaokubaliana na wewe kuwa "wananchi wameamua, waacheni" huku ni kupotoshana mchana kweupeeee.

Hao wameitwa...,
tena wamesafirishwa na wakalipwa. kama huamini jiulize ni kwa nini wanakula na kunywa huko, kwa nini hawakufanya hayo alipojiuzulu. Kwa nini hawakumfariji alipokumbwa na kashfa ya Richmond?

Huo ni uongo mkubwa, mbaya zaidi watu wasiofikiria wanaamini kuwa eti mashehe, maaskofu na wanafunzi wamemshawishi awanie urais. Kwani kaanza wiki iliyopita harakati hizo?, mbona tunafanya mambo locally?

Waje mashehe na maaskofu hapa watueleze kama kweli walienda bila kuitwa.

Tusipotoshane ktk hili.
Ahsante.

Kusema watanzania wamelipwa na kusafirishwa ni matusi yasiyovumilika na kinyume na mila na desturi za watanzania.Leo haiwezekani mgeni afike kwako ushindwe kumkaribisha eti kisa utaonekana unakiuka vigezo vya kugombea urais kwa tiketi ya CCM.Ebooo! kwani Lowassa amekuwa mwali?
 
Lowassa tutamfuata popote na asiependa atuache na CCM yetu aende CCJ.PERIOD!!!!
 
Back
Top Bottom