Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Kwa mwendo huu...zingekuwa enzi za Mwalimu basi lowassa angeusikia uraisi katika bomba tu.
 
MBONA LOWASA NI KM MBUZI WA SIKUKUU. UPINZANI WALA HATUMSEMI VIBAYA ILI CCM WAMSIMAMISHE NA I SWEAR CCM HAWATOAMINI MACHO YAO KWA KICHAPO TUTAKACHOMPA FISADI Uyu..

Mwenyekiti wa CDM nasikia kahongwa na Lowassa kitita cha Tshs. 5 Bilioni ili wasifukunyue mafaili ya lowassa tangu alipokuwa AICC, MAJI mpaka RICHMOND...! Ndo maana wapo kimya!
 
.......Tena tunawaingiza mpaka viongozi wetu wa dini.....!
Ni viongozi au wachungaji wa dini ipi hiyo? Si ni kanisa la Gwajima tu hao? Hakuna CCT wala TEC wala Pentecost Council. Ni Gwajima na timu yake tu hao. Pesa sabuni ya roho....Dr Remmy Ongala...
 
Ni kweli mkwere anaweza kukuuwa huku anatabasamu lakini cha kujiuliza huyu mzee mamvi hayajui yote hayo? Je hamjui rafikiye? Je haogopi kuenguliwa? Au hiki kibri anakipata wapi maana kapewa onyo lakini hajali what is he up to?

Lowassa alianza mbinu chafu tangu akiwa PM, baada ya ile ishu ya RICHMOND kule Bungeni, akajaribu kuwahonga baadhi ya wabunge ili wamsafishe...wakataka kumsafisha lakini ikashindikana bungeni, baada ya hapo kampeni za kumsafisha zikaanza Makanisani kwa kutoa eti misaada, baadae misikitini, sasa hivi kaingia katika vyama vya upinzani kamuonga Mbowe Tshs. 5 Bilioni ili asifukunyue file zake za ufisadi tangu alipokuwa AICC, MAJI NA RICHMOND kwa public, na sasa yupo kwa Vienna, kaanza kuwahonga viongozi wa juu wa students organisations za vyuo vikuu ili kumuunga mkono, bila kusahau mwishoni mwa mwaka jana kule Zanzibar kwa wajumbe wa NEC wa CCM, ba huku bara kwa MASHEIKH...sasa cha kujiuliza hela zote hizi anatoa wapi? Na akipata urais atarudishaje? Ni hayo tu...
 
Bundi ametamalaki Lumumba. Nape Nnauye anamuunga mkono Membe, Kinana mzew wa futuhi anamuunga mkono Lowasa, Lumumba inahaha wakitazama mbele ni mbali, nyuma ni mbali mnara wa babeli unayumba.
 
Last edited by a moderator:
heeh! kumbe wanafunzi wa UDOM walichoka kula kwa wajas wakaona wabadilishe menu kwa naniliu! njaa mbaya!

jifanye mkereketwa wa lowassa chukua watu km ishirini kitaa ita waandishi wa habari andaa mabango fanya maandamano mpka kwa lowassa soma risala ya kumtaka agombee piga msosi sepa!
 
mi naomba raid ajae kutoka ukawa amuamrishe mwigulu nchemba awalipe posho vijana was green guard na awanunulie tina wazunguke nchi nzima wafute mawe yote waliyochafua kwa hari ya MTU mmoja.
pia amuamuru January makamba akusanye uchafu akiochapisha na Edo kwa sababu amechongedha maturubai na kununua masufutia mapya ayakabidhi ofisi za ccm ka ajili ya hitma za viongozi wataksokufa kwa presha tukianza na yeye.
 
hakuna ushahidi kwa hilo.hivi utawazuia wageni nyumbani kwako?na utawapangia wageni wako cha kuongea?
 
yeye anajari nini !! asipopitishwa ataipasua CCM kama ilivyokuwa kwa Lyatonga 1995 na kwa mwaka ndo CCM itakuwa kwa heri.CCM sharti imubembeleze au isambalatike kwa yeye kwenda ACT.

mnawapa ushauri mzuri wa nn, waachen ili iwe neema kwa ukawa.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema kitendo cha mgombea mmoja anayepokea makundi ya watu ili wamshawishi kupiga kura huko Dodoma ni kuanza kampeni na yuko hatarini kuenguliwa.
Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassandiye anayeppkea makundi ya watu wakiwemo masheikh, maaskofu na wanafunzi wakimshawishi kugombea.
Akizungumza na radio VOA, Nape alisema: "Labda niweke vizuri hili, mtu yoyote anayekiuka kanuni hatapitishwa labda kamaa anakwenda kugombea kwa chama kingine.
"Kinavhofanyika Dodoma cha watu kuchukuliwa na magari huku wengine wakiwa hawajui, halafu wakifika wanakuta viti vimeshapangwa na vyakula;halafu eti wanamshawishi kugombea, ni kukiuka kanuni na anawezakuondolewa," alisema Nape.

Kwani baba havintishi si aliruhusu watu kuwashawishi wenye sifa wagombee urais???Nape mbona anabwabwaja na yeye si akamshaishi mende agombee???
 
Back
Top Bottom