Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Kama ni mwenye kujifunza tayari atajifunza sana tu
ni wengi sana hawajui hasa matumizi ya facebook......na facebook ndo hackers wengi wantumia kuiba info za watu lakini hata CIA na FBI wanaitumia hii ili kuwapata watuhumiwa wao lakini pia hata kama wanataka kujua juu ya mtu flani facebook ndo ya kwanza then huko watatumia watu walio karibu na huyo mtu na baada ya hapo kil kitu kinakuwa nje..........