Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Nape ni vuvuzela,tantalila nyingi.

Kinachonishanganza style ya Nape kila siku ni kuattack watu haongelei sera yoyote ya chama chake, na kama utafuatilia kwa umakini team ya Nape na Komred Kinana utagundua kuwa Kinana yeye always anattack serikali ni mara chache ataongelea upinzani lakini nape yeye alichokariri ni kumattack mtu siku zote sijui siasa za wapi hizi.

Hebu wajifunze siasa za upinzani kwa wenzetu walioendelea katika siasa za vyama vingi
 
Slaa hana lolote, anataka pa kutokea muda huu mchache ulimbakia kabla hajaachana na Siasa.
 
Kinachonishanganza style ya Nape kila siku ni kuattack watu haongelei sera yoyote ya chama chake, na kama utafuatilia kwa umakini team ya Nape na Komred Kinana utagundua kuwa Kinana yeye always anattack serikali ni mara chache ataongelea upinzani lakini nape yeye alichokariri ni kumattack mtu siku zote sijui siasa za wapi hizi.

Hebu wajifunze siasa za upinzani kwa wenzetu walioendelea katika siasa za vyama vingi
Hivi ishue ya kutaka kuuwawa kwa SLAA utaichangiaje bila kumtaja Slaa? yeye ndiye subject kumtaja siyo kwamba unam-attack
 
Nnape hujajibu hoja badala yake unatoa mipasho kama wanawake wa pwani ,aibu kubwa kwako
 
Babu slaa amechoka sana asitafute sababu.
 

Attachments

  • 1426070194413.jpg
    1426070194413.jpg
    98.6 KB · Views: 120
Kwanza kwaajili ya kujenga uadilifu binafsi, Nape ungebadilisha jina lako, utumie jina la Baba yako mzazi kuliko kutumia jina la Mzee Moses Nnauye ambaye siyo biological father wako.

Pili, Nape jihadhari na ujifunze kutumia vizuri mdomo wako. Unataja afya ya Dr. Slaa, wewe ulimpima na kugundua kuwa anaumwa au ana afya mbaya? Sijawahi kusikia Dr. Slaa ameshindwa kufanya kazi zake kutokana na tatizo la afya au umri. Unamtaja Dr. Slaa kuwa ni babu yako, hivi kweli umri wa Baba yake Prof. mwandosya unalingana na wa Dr. Slaa? Kwa nini uongelee afya ya Dr. Slaa ambaye yu mzima na mwenye afya njema kuliko kuongelea afya ya Baba yako ambaye amekaa India kwa matibabu kwa mwaka mzima? Hivi umri wa Dr. Slaa una tofauti gani na umri wa Mwandosya? Na Prof. Mwandosya naye huwa unamwita Babu yako na siyo Baba yako?

Kumbuka kuwa Marehemu Komba alitoa maneno kama haya yako kwa Mzee Warioba lakini leo Komba yuko wapi na Mzee Warioba yupo mzima wa afya njema na wala hatujawahi kusikia kama amelazwa au anaumwa wakati wowote ule. na Mungu tunamwomba azidi kumzidishia afya njema na maisha marefu.

Tupingane katika yote lakini tusijifanye kama sisi wanadamu tunafahamu kuwa nani ataishi mpaka lini. Mungu humchukua kila mtu kwa wakati alioupanga bila kujali umri, jinsia, dini au itikadi yake ya kisiasa, hufanya hivyo kwa hekima yake ya Kimungu ili kuwafifisha wanadamu kama akina Nape wanaodhani wanautambuzi au wanajua nani anastahili kuishi mpaka lini. Sisi wengine tunazidi kumwomba Mungu wetu mamlaka na ukuu wake uzidi kudhihirika siku zote.
 
Hakuna sehemu ambapo CCM tumefanya siasa chafu dhidi ya Chadema ama Chama chochote cha upinzani, ni uwazi kuwa Upinzani unajaribu kukua kwa njia za kutunga uongo na uzushi ambao mwanzoni ulianza kuaminiwa na watanzania lakini hivi sasa imebainika kuwa ni Uongo wa kupuuzwa wenye kumaliza muda na nguvu za wenye kuufuatilia.

Watanzania sio watu wajinga, wanajua nani ni mkweli na nani anayewazushia uongo na kuwafanya majuha, na hakika watamuadhibu wenyewe.
Unakumbuka vizuri tuhuma alizotoa Dr.Mwakyembe?Unajua zilikoishia au unafikiri watu wote wanaakili sawa na wewe?Tunakumbuka mengi ambayo sisiemu wameyatenda Kwa watu.
 
Tuache ushabiki, ukweli ni kuwa uwezo wa Nape ni mdogo sana katika kujenga na kujibu hoja. Hilo halionekani kwa hili tu bali katika mengi. Chama makini hakiwezi kumpa majukumu mazito ya chama mtu mwenye uwezo mdogo kama Nape. Huenda Nape anafaa kwenye uongozi huu wa sasa kwa sababu Mwenyekiti wake wa sasa naye kwa namna fulani ni wa namna hiyo hiyo.

Kipindi hiki CCM imekosa uongozi mzuri katika ngazi ya juu, mtu pekee, bila ushabiki wowote, mwenye uwezo wa kiuongozi katika safu ya ngazi ya juu ya CCM ni Abrahamani Kinana pekee yake. Doa kwa Kinana ni kujihusisha kwake katika biashara ya nyara za serikali. Ukimsikiliza Kinana utagundua kuwa naye haridhishwi na uongozi wa Kikwete kama Rais na kama Mwenyekiti wa Chama. Kinana angekuwa Rais, nina hakika angefanya vizuri kuliko Kikwete.

Hivi ishue ya kutaka kuuwawa kwa SLAA utaichangiaje bila kumtaja Slaa? yeye ndiye subject kumtaja siyo kwamba unam-attack
 
Sasa Slaa na uzee kama ule nani amuue

Chadema wakati mwingine watafute vya maana vya kusema

UCHAGA UDINI NA UKABILA UNAKIUA HIKO CHAMA


Aiseeeeeeee....hii singo ya zamani sana, bwanachuki hauchoki kuiimba hapa JF kila thread unaitupia.
 
Mzee huyo auawe kwani ana impact gani kwa ccm? Umri umeenda, mtu mzima kama slaa kuwa muongo ni aibu sana ktk jamii, upadri umemshinda na kuendekeza uzinzi atatubu lini dhambi zake na uzee ndio huo??

Wenzio waliwatabiria wenzao vifo badala yake wakaanza wao
 
Kwani nape hujui slaa kuwa ni katibu wa kundi la wazee waongo?

mzee slaa ameanza uongo tangu akiwa kanisani akiwa padri atashindwa leo kuongopa uraiani?

Kama mama yako alivyokudanganya kuwa huyo ndo baba yako wakati we ni mtoto wa dereva wa baba yako...idiot
 
Hivi ishue ya kutaka kuuwawa kwa SLAA utaichangiaje bila kumtaja Slaa? yeye ndiye subject kumtaja siyo kwamba unam-attack

Mbona hamuwataji na wengine mlio watanguliza? Dr. Mgimwa, Dr. Mvungi, Hollace Kolimba na hata Dr. Mwakyembe ameponea padogo tu. Nyie kuua mbona ni ishu ndogo tu kwenu. Mwingine ametangulia juzi tu hapa, naye alitaka kumuua mzee JSW kwa kauli.
 
Kwanza kwaajili ya kujenga uadilifu binafsi, Nape ungebadilisha jina lako, utumie jina la Baba yako mzazi kuliko kutumia jina la Mzee Moses Nnauye ambaye siyo biological father wako.

Pili, Nape jihadhari na ujifunze kutumia vizuri mdomo wako. Unataja afya ya Dr. Slaa, wewe ulimpima na kugundua kuwa anaumwa au ana afya mbaya? Sijawahi kusikia Dr. Slaa ameshindwa kufanya kazi zake kutokana na tatizo la afya au umri. Unamtaja Dr. Slaa kuwa ni babu yako, hivi kweli umri wa Baba yake Prof. mwandosya unalingana na wa Dr. Slaa? Kwa nini uongelee afya ya Dr. Slaa ambaye yu mzima na mwenye afya njema kuliko kuongelea afya ya Baba yako ambaye amekaa India kwa matibabu kwa mwaka mzima? Hivi umri wa Dr. Slaa una tofauti gani na umri wa Mwandosya? Na Prof. Mwandosya naye huwa unamwita Babu yako na siyo Baba yako?

Kumbuka kuwa Marehemu Komba alitoa maneno kama haya yako kwa Mzee Warioba lakini leo Komba yuko wapi na Mzee Warioba yupo mzima wa afya njema na wala hatujawahi kusikia kama amelazwa au anaumwa wakati wowote ule. na Mungu tunamwomba azidi kumzidishia afya njema na maisha marefu.

Tupingane katika yote lakini tusijifanye kama sisi wanadamu tunafahamu kuwa nani ataishi mpaka lini. Mungu humchukua kila mtu kwa wakati alioupanga bila kujali umri, jinsia, dini au itikadi yake ya kisiasa, hufanya hivyo kwa hekima yake ya Kimungu ili kuwafifisha wanadamu kama akina Nape wanaodhani wanautambuzi au wanajua nani anastahili kuishi mpaka lini. Sisi wengine tunazidi kumwomba Mungu wetu mamlaka na ukuu wake uzidi kudhihirika siku zote.

Duuu kumbe ilibidi aitwe nape mwandosya......
 
Huyo babu angekuwa anamuogopa Mungu angefatisha kanuni alozosomea akatunukiwa PhD. Hizo kashindwa kutekeleza na kazitekeleza kwa uasherati.

JK ana watoto 32 kwa wanawake 8 na huyo Nape alishikwa ugoni na mke wa kada wa ccm kwenye moja ya ziara anazofanya na kinana. Muulize nape hakushikwa ugoni Simiyu na mke wa kada wa CCM?
 
JK ana watoto 32 kwa wanawake 8 na huyo Nape alishikwa ugoni na mke wa kada wa ccm kwenye moja ya ziara anazofanya na kinana. Muulize nape hakushikwa ugoni Simiyu na mke wa kada wa CCM?

Hao unaowataja wana PhD ya Kanoni?
 
Back
Top Bottom