Fyengeresya
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 751
- 349
Nape atakuwa amevurugwa vya kutosha, badala ya kufanya utafiti kujua effectiveness ya ziara zao na huyu msomali wa pembe za ndovu anahangaikia matamshi ya CHADEMA. Angalieni wananchi watawatupa kama walivyowatupa kule Sumbawanga kwa kupata kipigo cha mbwa mwizi wa meno ya tembo na twiga hai.Kwani nape hujui slaa kuwa ni katibu wa kundi la wazee waongo?
mzee slaa ameanza uongo tangu akiwa kanisani akiwa padri atashindwa leo kuongopa uraiani?