Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Hapo huyu Kijana Nape anaonyesha hasivyo size ya Dr. Slaa. Hapo hajajibu hoja ila ni brah brah tu hakuna la maana. Nape anajibu Kisiasa zaidi na Ukweli uko wazi na watuhumiwa wa Ushenzi huu kwa manufaa ya CCM wapo Polisi.

Hatuoni kwa nini huyu Kijana anayewaombea Wazee Kufa, kwa nini anakurupuka kutuaminisha kwa cheap politics kwenye mambo ya Msingi. Nadhani Nape awaachie Polisi na Baadae mahakama japo vyote ni Vya Sisiem ili angalu wao watakuja Kutuaminisha japo hatutaamini watakayotuambia.

Kitendo cha Kumdhuru Dr. Slaa kwa njia yoyote ile Kinaweza Kutuletea Mfadhaiko mkubwa na Mtafaruku usitegemewa. Lakini ukweli ni kwamba wale wote Waliotajwa kwenye njama ya mauaji wapo na mawasiliano waliokuwa wakijafanya kama ushaidi vipo, Je kwa nini kutuletea siasa na tena zisizo na Weledi.

Nadhani huyu Kijana siasa haikuwa size yake bali tu ni ule mbendelezo wa kwamba Mzazi alikuwa Mwanasiasa; Siasa sio kuunguruma na kutoa sauti kubwa wakati hata hakuna la maana .

Swala la Kuiba kura ( Kama Kule Segerea Mgombea wa CCM alikimbia na Masanduku ya Kura na kupelekwa polisi na mwisho wa siku akawa mshindi), Je inashindikana vipi Malori yanye kura za ndiyo kwa CCM kuingizwa nchini kama alivyosema Dr. Slaa.

Serikali, Mahakama, Vyombo vyote vya ulinzi na usalama Vinareport CCM; Lakini haya yote yanakuwaga na mwisho hasa pale wananchi wanaposema "Mabadiriko ni Lazima".
This time around change is inevitable, Jiandae tu Kukamatwa na Jinai zote lazima zipelekwe kwa Pilato soon after Oct'2015.

NOTE: Ni ukweli uliowazi na hata bila Chenga Dr. Slaa anawapa pressure CCM na hadi sasa Hakuna Mbadala wa Kuchuana nae ndani ya CCM. Tuwaombe tu Sisiem Kuweni wapole kwa maana hamtaweza Kuzuia Nguvu ya umma. Yaonekana kwa sasa kuna mfadhaiko na Yanagusa Ch.pi. Jina la Dr. Slaa linapotamkwa.
Wa kujibu hoja hapo ni Slaa au Nape?mwambie babu aje atumalizie hekaya zake.
 
JK ana watoto 32 kwa wanawake 8 na huyo Nape alishikwa ugoni na mke wa kada wa ccm kwenye moja ya ziara anazofanya na kinana. Muulize nape hakushikwa ugoni Simiyu na mke wa kada wa CCM?

Hivi unafahamu Dr Slaa alishawahi kuruka tena na taulo tu toka ghorofa ya pili hotel 56 Dodoma baada ya kufumaniwa na mke wa kwanza Rose Kamili Sukum?
 
Nape aibu yako hii hapa
 

Attachments

  • 1426066746011.jpg
    1426066746011.jpg
    36.3 KB · Views: 129
Get back to the point madame, umeongelea uasherati. Kuzini na kuwazalisha wanawake nane sio uasherati? Au wenzetu ni sifa na ulijali?

Nisome vizuri:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Huyo babu angekuwa anamuogopa Mungu angefatisha kanuni alozosomea akatunukiwa PhD. Hizo kashindwa kutekeleza na kazitekeleza kwa uasherati.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
CCM imetoa tamko linalodaiwa kuwa ni majibu ya tuhuma zilizotolewa na CHADEMA juu ya mipango ya kumuua Dr.Wilbrod Peter Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA. Tuhuma hizo zilitolewa mbele ya vyombo vya habari na Wakili Msomi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA,Mabere Nyaucho Marando. Tamko la CCM limetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye. Nape ametuangusha na amejidhalilisha.

Tamko lote la CCM halijagusa wala kukanusha tuhuma za CHADEMA lililomgusa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Philip Mangula, Mlinzi binafsi wa Dr.Slaa na Maafisa wa Usalama wa Taifa.Tuhuma alizozitoa Marando kwa niaba ya CHADEMA ni tuhuma nzito.Ilitegemewa kuwa CCM wangejibu kwa undani tuhuma hizo hadi kuonyesha upande wa pili;hatua kwa hatua.

Tamko la CCM limeshindwa kujibu tuhuma za CHADEMA.Limeishia kumshambulia Dr.Slaa ambaye kwenye tuhuma yeye ni muathirika tu wa mpango ovu uliodaiwa kupangwa. Tuamini kuwa waliotajwa wamehuska kweli? Iko wazi kuwa Tamko limejielekeza kwingine kabisa na kuziacha tuhuma vile vile zilivyotolewa. Watanzania bado wanasubiri majibu ya CCM juu a tuhuma za CHADEMA.

Kwanini vitu serious kama hivi aachiwe Nape Nnauye mwenye masihara kila mahala na uwezo mdogo wa kupambanua mambo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Last edited by a moderator:
Si Bora kajibu Nape, angejibu mwenyekiti je si ndo ingekuwa aibu ya Kimataifa. acha haya mambo yaishie humu humu ndani, si tunavumiliana wenyewe.
 
Majibu ya NAPE ndio mwanya wa kuimarika kwa CHADEMA mara dufu, sababu kuu ni kukwepa hoja na kujikita katika propaganda wakati hata mie nimeona ni propaganda @ work!
 
CCM imetoa tamko linalodaiwa kuwa ni majibu ya tuhuma zilizotolewa na CHADEMA juu ya mipango ya kumuua Dr.Wilbrod Peter Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA. Tuhuma hizo zilitolewa mbele ya vyombo vya habari na Wakili Msomi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA,Mabere Nyaucho Marando. Tamko la CCM limetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye. Nape ametuangusha na amejidhalilisha.

Tamko lote la CCM halijagusa wala kukanusha tuhuma za CHADEMA lililomgusa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Philip Mangula, Mlinzi binafsi wa Dr.Slaa na Maafisa wa Usalama wa Taifa.Tuhuma alizozitoa Marando kwa niaba ya CHADEMA ni tuhuma nzito.Ilitegemewa kuwa CCM wangejibu kwa undani tuhuma hizo hadi kuonyesha upande wa pili;hatua kwa hatua.

Tamko la CCM limeshindwa kujibu tuhuma za CHADEMA.Limeishia kumshambulia Dr.Slaa ambaye kwenye tuhuma yeye ni muathirika tu wa mpango ovu uliodaiwa kupangwa. Tuamini kuwa waliotajwa wamehuska kweli? Iko wazi kuwa Tamko limejielekeza kwingine kabisa na kuziacha tuhuma vile vile zilivyotolewa. Watanzania bado wanasubiri majibu ya CCM juu a tuhuma za CHADEMA.

Kwanini vitu serious kama hivi aachiwe Nape Nnauye mwenye masihara kila mahala na uwezo mdogo wa kupambanua mambo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Wenye chama si ndio mmemuamini kama msemaji wenu? Nape hiyo nafasi ya uenezi haimfai maana always hayuko serious na mara nyingi matamshi yake anayoyatoa ya kupandikiza chuki tu hatofautiani na yule mbunge mwenye jina la kausafiri
 
Si Bora kajibu Nape, angejibu mwenyekiti je si ndo ingekuwa aibu ya Kimataifa. acha haya mambo yaishie humu humu ndani, si tunavumiliana wenyewe.

Mkuu, hii bado ni aibu kwa Taifa. CCM ni ruling party. Yaani hapa ni sawa na Waziri wa mawasiliano kuja na pumba kama hizi za Nape. Hivi kweli kama viongozi wa chama tawala wana upeo kiasi hiki kuna haja ya kufikiria maendeleo nchi hii.
 
kwa uwezo wa nape ulitegemea kuna zaidi ya hapo?
 
Jamani pamoja na CHADEMA kurundikiwa tuhuma kibao na bwana NAPE, Lakini hapa kijijini kwetu wanakipenda sana hadi nimebaki nimeduawa! ukiwaona wanachama wa ccm hapa mtaani utawahurumia yaani ni kuzomewa tuuuu jamanini!
 
Hivi ishue ya kutaka kuuwawa kwa SLAA utaichangiaje bila kumtaja Slaa? yeye ndiye subject kumtaja siyo kwamba unam-attack

By the way katika andishi lote hilo la Nape kuna mahali amekanusha kuhusika kwa hao waliotajwa? maana kabwabwaja tu kuelezea ya Dr Slaa na Marando
 
​Hivi hili boga bado wanaliachia tu litoe mahororojo yake kwenye vyombo vya habari
 
Ningeshangaa kama mngejibu HOJA hizo..,mnaweza kujifariji kwa Kumshambulia NAPE lakini hilo halitabadilisha Ukweli kuwa BABU ni mtu muongo na mzushi ambae jamii inapaswa kumdharau.

Mwanaume mzima huoni mbali,looh aibu kweli,hamuoni utumbo wa ccm wanaume wazima? looooh imebaki kidogo tu mvalishwe khanga.
 
CCM imetoa tamko linalodaiwa kuwa ni majibu ya tuhuma zilizotolewa na CHADEMA juu ya mipango ya kumuua Dr.Wilbrod Peter Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA. Tuhuma hizo zilitolewa mbele ya vyombo vya habari na Wakili Msomi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA,Mabere Nyaucho Marando. Tamko la CCM limetolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye. Nape ametuangusha na amejidhalilisha.

Tamko lote la CCM halijagusa wala kukanusha tuhuma za CHADEMA lililomgusa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Philip Mangula, Mlinzi binafsi wa Dr.Slaa na Maafisa wa Usalama wa Taifa.Tuhuma alizozitoa Marando kwa niaba ya CHADEMA ni tuhuma nzito.Ilitegemewa kuwa CCM wangejibu kwa undani tuhuma hizo hadi kuonyesha upande wa pili;hatua kwa hatua.

Tamko la CCM limeshindwa kujibu tuhuma za CHADEMA.Limeishia kumshambulia Dr.Slaa ambaye kwenye tuhuma yeye ni muathirika tu wa mpango ovu uliodaiwa kupangwa. Tuamini kuwa waliotajwa wamehuska kweli? Iko wazi kuwa Tamko limejielekeza kwingine kabisa na kuziacha tuhuma vile vile zilivyotolewa. Watanzania bado wanasubiri majibu ya CCM juu a tuhuma za CHADEMA.

Kwanini vitu serious kama hivi aachiwe Nape Nnauye mwenye masihara kila mahala na uwezo mdogo wa kupambanua mambo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mzee Tupatupa kuna moja kubwa yawezekana TUHUMA hii ni ya ukweli na hivyo wanaogopa kuingia kwa undani.Na ndiyo sababu Nape akatumia njia ya matusi ili kurahisisha mambo na si kutatua tatizo......
 
Mungu tusaidie.kama Katibu mwenezi Wa chama tawala anaandika pumba hivi basi hali ni mbaya

Unategemea kupata nini kutoka kwa mtu kama huyu? Mie nawashangaa sana wale ambao bado wanakubali kuwa katika chama ambacho kina kiongozi wa ngazi ya taifa mwenye akili kama hizi.
Yupo mzee mmoja mtaani kwetu alihama kusali katika kanisa moja kwa vile tuu Mchungaji wa usharika alikuwa anavaa suruali yake Kata K.
ImageUploadedByJamiiForums1426070883.331185.jpg
 
Ninayo ya Tanzania mzima, na kwa Ufupi tu, nipo ziarani Dodoma na niwape habari kuwa MKOA WA DODOMA, CCM imeshinda kwa wastani wa asilimia 95..

Lakini nimewauliza hizo asilimia 5 kwanini mmewapa..? wakasema wamewaonea huruma, lakini niliwashauri kuwa wakimfukuza Mwendawazimu wahakikishe wanatupa na Makopo yake pia.

Kumbe ww Nape!
Kutwa naomba mungu uendelee kuwa mtoto wa Nnauye na si vinginevyo kama nisikiavyo watu wakiongea kwa maana itakuwa fedheha kubwa sana kwa kule nitokako.
 
Slaa ni Babu yako Nape?
Ni babu mzaa mama au baba?
Kwani mtu kama profesa Mwandosyiia anaweza kuwa mtoto wa mtu kama Dr Silaha?
Hahahaha.Huu ni utani Babu na mjukuu!
 
Back
Top Bottom