Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Nape: Dk. Slaa ni Muongo na Mzushi aliyebobea

Sasa Slaa na uzee kama ule nani amuue

Chadema wakati mwingine watafute vya maana vya kusema

UCHAGA UDINI NA UKABILA UNAKIUA HIKO CHAMA.

Kama ccm inavyo uawa na ufisadi na wizi wa rasilimali za nchi hii.
 
Nimefuatilia michango yako mingi humu jamvini hujui siasa unapelekwa na mikumbo tu ya wanaccm

Nikweli mkuu huyu bigshow sijui keshagundua kuwa ili upate ka mlija ka kupata chochote kupitia ccm ni lazima ujitoe ufahamu?
 
Hatred is gained as much by good works as by evil.
Niccolo Machiavelli
 
Yaani CCM kweli imekufa tamko la kichama hilDo ...usaha mtupu!! Hkuna jipya jibuni hoja......
Na kwa bahati nzuri, tamko limeonyesha kuwa kuwa kweli CCM hawampendi kabisa Dr Slaa..angalia tamko la CHADEMA kama chama..anatamkwa Dr Slaa!! Hii ni ajabu kabisa..na kwenye ishu nzima hakuna mahali Dr Slaa kasema yeye ndie kagundua kuwa wanataka kuua!!

CCM inasema CDM inapumulia mashinee!! Uwiiii...kweli chama hiki kimekufa kabisa..juzi tu uchaguzi serkali za mitaa...pamoja na hila zoote kimepoteza viti vcingi kwa CHADEMA kuliko wakati mwingine wowote tangu kuumbwa kwa CCM!!

Mkuu nape hata hajitambui na hajui nafasi yake ndani ya ccm,angekuwa anajua kuwa ni kiongozi mkubwa hasingekuwa anakurupuka kutoa matamko yasiyo na kichwa wala miguu
 
Nape ww kuisafisha CCM hautoweza wameshindwa wenye akili timamu utaweza ww? Na ni nani hasiyejua km CCM ni Chama Cha Majambazi?.
 
Sijui anayewashauri chadema ni nani kwa umri wa slaa hakuna wa kuhangaika naye mzee anaumwa kisukari halafu mzee sana sasa iweje atafutwe?

Halafu anajifanya incubator ya vichanga
 
Ye si alitudanganya ni mtoto wa brigedia nnahuye. ..kuna uongo mkubwa kushinda huo
 
Hivi wewe mzee Dr.W.Slaa unajisikiaje unavyoanza kutaka kuongopa? Haumuogopi mungu? Hii tabia umerithi au umekuja kuharibikiwa ukubwani.Jirekebishe junior anakuwa si vyema akikukuta na tabia hiyo.

Huyo babu angekuwa anamuogopa Mungu angefatisha kanuni alozosomea akatunukiwa PhD. Hizo kashindwa kutekeleza na kazitekeleza kwa uasherati.
 
Mnataka kumpambapamba silaa . Hana lolote muachieni tu apambane na mgombea wa ccm muone atakavyogaragazwa kwa kishindo. Nyie gombeeni mwenyekiti wa mtaa. Na vitongoji ndio uzani wenu.
 
Back
Top Bottom