Nape, CCM Kujivua Gamba Haiwezekani ila Chama kufa inawezekana

Wana Jf Nimepata Taarifa ambazo ni za Uhakika ni Kwamba Ziara inayofanywa na Muheshimiwa Nape na Mukama kati Vyombo vya Habari hawatatembelea Kampuni ya Mwananchi,Free media na New Habari kwa Sababu zifuatazo.

1)Mwananchi Communication inaonekana Ni kampuni ya Wakenya lakini Vile Vile ni Magazeti ambayo hayaungi Mkono Chama Cha Mapinduzi,Na kubwa Zaidi ni kwamba MCL ambao huchapisha Magazeti ya Mwananchi na Mwana Spoti,The Citizen Muhariri wake Denis Msacky anaaminika Ni Shabiki wa Chadema,kwahiyo Nape katika ushauri alilimuandikia Katibu Mkuu wa CCM kumshauri Kuwatosa katika ziara ambayo leo walikua Nipashe,kwakuwa Nape anadai Nipashe inakisaidia sana Chama Cha Mapinduzi na wanaunga Mkono Agenda ya Kuvua Gamba.

2)Free Media nayo imetoswa kwa Hoja kwamba chombo Hiki ni cha Chadema na Hakimuungi Mkono Nape katika Harakati zake,kutokana na watu wa Karibu wa Chombo Hiki Nape amedai angelikua Muhariri Mkuu ni Bwana Martin Malela ambae ni swahiba Mkubwa wa Bwana Nape CCM wangelienda kupatembelea lakini Uwepo wa Absolom Kibanda,Hansbert Ngurumo na Kwakuwa Gazeti ni Mali ya CDM wao hawataenda kuyatembelea.

3)New Habari amabao ni magazeti ya Mtanzania ,Rai,nao wametoswa katika ushauri uliotolewa na Nape chombo hiki hakitatembelewa na Vigogo hao wa CCM,kwanza kwasababu Magazeti haya yamebadilika sasa na yamekuwa yakiishambulia CCM na hasa Nape,lakini Gazeti la Mtanzania kwa Sasa Ndani ya Makao makuu ya CCM linaonekana sawa na Tanzania Daima,Mwananchi limekuwa likishambulia serekali na kuibeba CDM hasa limeonekana ni Gazeti linalombeba Zitto kabwe na Kauli ya Nape katika kikao cha sekretariti ya CCM wiki iliyopita alidai Uhusiano wa Hussein Bashe na Zitto kabwe umepelekea mabadiliko ya kimtazamo ya chombo hicho tangu Mwishoni mwa mwaka Jana,na hili la Gamba limepelekea Magazeti hayo kutoibeba Tena CCM

Kwahiyo wana Jf baada ya kuzipata Usiku huu nikiwa Hapa Dom nikaona nizilete hapa Jamvini,Ziara ya Mkuu Nape imedhamiria kujenga Mahusiano na IPP,TSN,UHURUna TBC na kuwatosa MCL,Free Media na New Habari,na CCM wametoa Maelekezo wizara zote Matangazo ya Bajeti yaenda TSN,halafu Uhuru,kama kuna chombo Binafsi basi itakuwa Nipashe na Guardian vingine hawatapata. Naomba kuwasilisha.
Hebu tupashe hatujaona Raia Mwema na MwanaHalisi ,bwana mkubwa Nape anasemaje?
 
Nashangaa nikiingia library ya udsm ni vigumu kupata gazeti la Habari leo ila
ni rahisi sana kupata gazeti la uhuru
 
Kule wasipotaka kutembelea ndio kwenye ukweli na ufunuo wa kweli.CCM hawapendi kuambiwa "mfalme uko uchi", nitashangaa wakitembelea Raia mwema, Mwanahalisi,Tanzania daima na mengineyo ya mwelekeo huko.
 
Mi kwanza nipashe yenyewe sisomi, na wala habari za CCM nimeshachoka kuzisikia maana hawana jipya hawa tuliwaachia waongoze nchi muda mrefu lkn mpaka leo watu wanapanga foleni kwenye maji, kupata mahitaji muhimu ni shida, ni sababu ya hawa. sasa nao wakubali kupisha wengine pia nao wajaribu kutuletea maendeleo. Kwanza haya majina yakina Nape, Makamba, mwinyi, Rizinambamoja, Malechela, kigoma hatutaki tena kuyasikia ktk Tanzania ijayo 2015. Asanteni kwa kunisoma
 
Usipotembelewa na mjinga, inakuondolea adha ya kuongelea mambo ya kijinga.
 
Wana Jf Nimepata Taarifa ambazo ni za Uhakika ni Kwamba Ziara inayofanywa na Muheshimiwa Nape na Mukama kati Vyombo vya Habari hawatatembelea Kampuni ya Mwananchi,Free media na New Habari kwa Sababu zifuatazo.

1)Mwananchi Communication inaonekana Ni kampuni ya Wakenya lakini Vile Vile ni Magazeti ambayo hayaungi Mkono Chama Cha Mapinduzi,Na kubwa Zaidi ni kwamba MCL ambao huchapisha Magazeti ya Mwananchi na Mwana Spoti,The Citizen Muhariri wake Denis Msacky anaaminika Ni Shabiki wa Chadema,kwahiyo Nape katika ushauri alilimuandikia Katibu Mkuu wa CCM kumshauri Kuwatosa katika ziara ambayo leo walikua Nipashe,kwakuwa Nape anadai Nipashe inakisaidia sana Chama Cha Mapinduzi na wanaunga Mkono Agenda ya Kuvua Gamba.

2)Free Media nayo imetoswa kwa Hoja kwamba chombo Hiki ni cha Chadema na Hakimuungi Mkono Nape katika Harakati zake,kutokana na watu wa Karibu wa Chombo Hiki Nape amedai angelikua Muhariri Mkuu ni Bwana Martin Malela ambae ni swahiba Mkubwa wa Bwana Nape CCM wangelienda kupatembelea lakini Uwepo wa Absolom Kibanda,Hansbert Ngurumo na Kwakuwa Gazeti ni Mali ya CDM wao hawataenda kuyatembelea.

3)New Habari amabao ni magazeti ya Mtanzania ,Rai,nao wametoswa katika ushauri uliotolewa na Nape chombo hiki hakitatembelewa na Vigogo hao wa CCM,kwanza kwasababu Magazeti haya yamebadilika sasa na yamekuwa yakiishambulia CCM na hasa Nape,lakini Gazeti la Mtanzania kwa Sasa Ndani ya Makao makuu ya CCM linaonekana sawa na Tanzania Daima,Mwananchi limekuwa likishambulia serekali na kuibeba CDM hasa limeonekana ni Gazeti linalombeba Zitto kabwe na Kauli ya Nape katika kikao cha sekretariti ya CCM wiki iliyopita alidai Uhusiano wa Hussein Bashe na Zitto kabwe umepelekea mabadiliko ya kimtazamo ya chombo hicho tangu Mwishoni mwa mwaka Jana,na hili la Gamba limepelekea Magazeti hayo kutoibeba Tena CCM

Kwahiyo wana Jf baada ya kuzipata Usiku huu nikiwa Hapa Dom nikaona nizilete hapa Jamvini,Ziara ya Mkuu Nape imedhamiria kujenga Mahusiano na IPP,TSN,UHURUna TBC na kuwatosa MCL,Free Media na New Habari,na CCM wametoa Maelekezo wizara zote Matangazo ya Bajeti yaenda TSN,halafu Uhuru,kama kuna chombo Binafsi basi itakuwa Nipashe na Guardian vingine hawatapata. Naomba kuwasilisha.
Mkuu hapa kuna sababu kuu moja ambayo umeisahau naweza kusema namba moja"Kukwepa maswali magumu kutoka kwa waandishi wa habari wa magazeti hayo rushwa,magamba,mafisadi,posho za wabunge n.k."Kama CCM iliweza kukataa midahalo hata katika vyombo vyake inavyovimiliki ili kukwepa maswali magumu itakua ajabu kwake kujitosa kwenye vyombo hivyo vya habari ulivyovitaja kwani wanaweza matarajio amabayo hawakuyategemea.Pili magazeti hayo uliyoyataja mengi yanaongoza katika mauzo kutokana na umakini katika habari zake na ziara ya Nape sana sana itawapotezea hadhi kuliko kuwajengea.Kama ataenda huko inabidi ajiaandae au azuie maswali.
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa ccm nape ametembelea vyombo vya habari vya ipp na kuahidi kuendeleza ushirikiano na vyombo vya habari nchini kwani vimetoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya ccm na serikali.Aliyasema hayo wakati akizungumza na wafanyakazi wa wa kampuni ya magazeti ya The guardian Ltd iliyoko mikocheni jijini Dar es salaam katika ziara fupi ya kufamihana na viongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
 
Mbona asiongee huko yale aliyoyaongea akiwa TBC1 ambapo alisema Dr Slaa aanze kulipa kodi TRA.
Hapo ndio ujue yupo kimaslahi yake binafsi na ya chama chake, na si kuokoa Taifa.
 
mh! Yani wafanyakazi wote wa ipp media waliacha shughuli zao kwenda kumsikiliza Nape! ka nani? Kweli Tz tuna kazi hadi tuje tupate vyombo huru vya habari tutakaa sana. Au walienda kuonywa kuhusu july 10 wasiandike chochote nini
 
Mkuu hapa kuna sababu kuu moja ambayo umeisahau naweza kusema namba moja, "Kukwepa maswali magumu kutoka kwa waandishi wa habari wa magazeti hayo rushwa,magamba,mafisadi,posho za wabunge n.k."Kama CCM iliweza kukataa midahalo hata katika vyombo vyake inavyovimiliki ili kukwepa maswali magumu itakua ajabu kwake kujitosa kwenye vyombo hivyo vya habari ulivyovitaja kwani wanaweza matarajio amabayo hawakuyategemea.Pili magazeti hayo uliyoyataja mengi yanaongoza katika mauzo kutokana na umakini katika habari zake na ziara ya Nape sana sana itawapotezea hadhi kuliko kuwajengea.Kama ataenda huko inabidi ajiaandae au azuie maswali.
Hapo umenena, kuna magazeti ambayo waandishi wake wanaogopa kuuliza maswali kwa kuogopa kueleweka vibaya, hayo ndo wanayoyatembelea
 
Kwanza nawashukuru Sana kwa kufuatilia kwa karibu mambo ya chama changu. Inatia faraja. Kumekuwa na maneno mengi juu ya madai kuwa eti mkakati wa kukisafisha chama hasa kuondoa wanaotuhumiwa kwa ufisadi ndani ya vikao vya maamuzi vya chama umekwama na hapa nimeona hoja hii inajirudia.SASA UKWELI NI HUU, MAAMUZI HAYO HAYAJAKWAMA NA HAYATAKWAMA, NARUDIA ULIKUWA NI UAMUZI HALALI WA CHAMA ULIOAMULIWA NA VIKAO HALALI VYA CHAMA HIVYO TUTAUSIMAMIA NA LAZIMA UTATEKELEZWA. KITU KIMOJA NISICHOELEWA WANAODAI TUMESHINDWA WANAPIMA KUSHINDWA KWA KUTUMIA NINI.......UAMUZI NI KUWA TULIOWAAMBIA WAWAJIBIKE WANAPASWA KUWAJIBIKA KABLA YA KIKAO KIJACHO CHA NEC,(KIKAO KIJACHO CHA NEC)...IKIFIKA KIKAO KIJACHO HAWAJAJIONDOA WENYEWE UAMUZI sio mjadala tena UAMUZI NI KUWAONDOA.....kwa kifupi wamefukuzwa .... NILIDHANI KIPIMO KIKUBWA CHA KUSHINDWA AU KUFAULU KWA HILI KUNGESUBIRI KIKAO KIJACHO CHOCHOTE CHA NEC SIO KAMATI KUU NI HALMASHAURI KUU YA TAIFA, TUKITOKA BILA KUKAMILISHA HILI NJOONI MNIULIZE, KWASASA KUSEMA IMESHINDIKANA NI KUZUA JAMBO LISILO NA MSINGI.

KUNA HOJA HAPA NAPE KAJA NA MPANGO MPYA, HUU WA CHUO NA KUFUTA KADI ZA PAPO KWA PAPO MBONA SIO MPYA? NI MOJARRA YA MAAMUZI 23 YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, AMBAYO NI MAAMUZI YA NEC SI YA NAPE.

USHAURI WANGU KAMA MTU HANA HAKIKA NA ANALOSEMA BORA AJIPE MUDA WA KULIELEWA KWANZA AU ALIWEKE KAMA SWALI.......
 
Huyu dogo anakurupuka sana,atazeeka mapema,mana ana fikra finyu na mgando,hawezi kupambana hata siku moja na LOWASSA,CHENGE,NA ROSTAM,nadhani propaganda zake na siasa zake ni za maji taka.

Waliompa kazi ndiyo wamefanya makosa, dogo hawezi hata siku moja kupambana na EL - ule ni muziki munene. na bado sina uhakika kama kwenye CCM kuna mtu wa kupambana na hii midfield ya Barca. (Sergio Busquets, Xavi, Andres Iniesta); lol
 
Kwanza nawashukuru Sana kwa kufuatilia kwa karibu mambo ya chama changu. Inatia faraja. Kumekuwa na maneno mengi juu ya madai kuwa eti mkakati wa kukisafisha chama hasa kuondoa wanaotuhumiwa kwa ufisadi ndani ya vikao vya maamuzi vya chama umekwama na hapa nimeona hoja hii inajirudia.SASA UKWELI NI HUU, MAAMUZI HAYO HAYAJAKWAMA NA HAYATAKWAMA, NARUDIA ULIKUWA NI UAMUZI HALALI WA CHAMA ULIOAMULIWA NA VIKAO HALALI VYA CHAMA HIVYO TUTAUSIMAMIA NA LAZIMA UTATEKELEZWA. KITU KIMOJA NISICHOELEWA WANAODAI TUMESHINDWA WANAPIMA KUSHINDWA KWA KUTUMIA NINI.......UAMUZI NI KUWA TULIOWAAMBIA WAWAJIBIKE WANAPASWA KUWAJIBIKA KABLA YA KIKAO KIJACHO CHA NEC,(KIKAO KIJACHO CHA NEC)...IKIFIKA KIKAO KIJACHO HAWAJAJIONDOA WENYEWE UAMUZI sio mjadala tena UAMUZI NI KUWAONDOA.....kwa kifupi wamefukuzwa .... NILIDHANI KIPIMO KIKUBWA CHA KUSHINDWA AU KUFAULU KWA HILI KUNGESUBIRI KIKAO KIJACHO CHOCHOTE CHA NEC SIO KAMATI KUU NI HALMASHAURI KUU YA TAIFA, TUKITOKA BILA KUKAMILISHA HILI NJOONI MNIULIZE, KWASASA KUSEMA IMESHINDIKANA NI KUZUA JAMBO LISILO NA MSINGI.

KUNA HOJA HAPA NAPE KAJA NA MPANGO MPYA, HUU WA CHUO NA KUFUTA KADI ZA PAPO KWA PAPO MBONA SIO MPYA? NI MOJARRA YA MAAMUZI 23 YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, AMBAYO NI MAAMUZI YA NEC SI YA NAPE.

USHAURI WANGU KAMA MTU HANA HAKIKA NA ANALOSEMA BORA AJIPE MUDA WA KULIELEWA KWANZA AU ALIWEKE KAMA SWALI.......

Kusema kweli mimi kama kijana mpenda nchi yangu
nilikuwa naamini itikadi zako kabla ya kupewa madalaka hayo ya juu
na hule muda mfupi baada ya kuingia kupata madaraka
sisi vijana tulikuwa tunakubali itikadi zako, lakini umetuvunja moyo na
unaendelea kutuvunja moyo, nguvu ulionza nayo imeishia mfukoni

Hivi kwanini nyie mkipata mdaraka mnawasahau watu wa chini???
 
Wana Jf Nimepata Taarifa ambazo ni za Uhakika ni Kwamba Ziara inayofanywa na Muheshimiwa Nape na Mukama kati Vyombo vya Habari hawatatembelea Kampuni ya Mwananchi,Free media na New Habari kwa Sababu zifuatazo.

1)Mwananchi Communication inaonekana Ni kampuni ya Wakenya lakini Vile Vile ni Magazeti ambayo hayaungi Mkono Chama Cha Mapinduzi,Na kubwa Zaidi ni kwamba MCL ambao huchapisha Magazeti ya Mwananchi na Mwana Spoti,The Citizen Muhariri wake Denis Msacky anaaminika Ni Shabiki wa Chadema,kwahiyo Nape katika ushauri alilimuandikia Katibu Mkuu wa CCM kumshauri Kuwatosa katika ziara ambayo leo walikua Nipashe,kwakuwa Nape anadai Nipashe inakisaidia sana Chama Cha Mapinduzi na wanaunga Mkono Agenda ya Kuvua Gamba.

2)Free Media nayo imetoswa kwa Hoja kwamba chombo Hiki ni cha Chadema na Hakimuungi Mkono Nape katika Harakati zake,kutokana na watu wa Karibu wa Chombo Hiki Nape amedai angelikua Muhariri Mkuu ni Bwana Martin Malela ambae ni swahiba Mkubwa wa Bwana Nape CCM wangelienda kupatembelea lakini Uwepo wa Absolom Kibanda,Hansbert Ngurumo na Kwakuwa Gazeti ni Mali ya CDM wao hawataenda kuyatembelea.

3)New Habari amabao ni magazeti ya Mtanzania ,Rai,nao wametoswa katika ushauri uliotolewa na Nape chombo hiki hakitatembelewa na Vigogo hao wa CCM,kwanza kwasababu Magazeti haya yamebadilika sasa na yamekuwa yakiishambulia CCM na hasa Nape,lakini Gazeti la Mtanzania kwa Sasa Ndani ya Makao makuu ya CCM linaonekana sawa na Tanzania Daima,Mwananchi limekuwa likishambulia serekali na kuibeba CDM hasa limeonekana ni Gazeti linalombeba Zitto kabwe na Kauli ya Nape katika kikao cha sekretariti ya CCM wiki iliyopita alidai Uhusiano wa Hussein Bashe na Zitto kabwe umepelekea mabadiliko ya kimtazamo ya chombo hicho tangu Mwishoni mwa mwaka Jana,na hili la Gamba limepelekea Magazeti hayo kutoibeba Tena CCM

Kwahiyo wana Jf baada ya kuzipata Usiku huu nikiwa Hapa Dom nikaona nizilete hapa Jamvini,Ziara ya Mkuu Nape imedhamiria kujenga Mahusiano na IPP,TSN,UHURUna TBC na kuwatosa MCL,Free Media na New Habari,na CCM wametoa Maelekezo wizara zote Matangazo ya Bajeti yaenda TSN,halafu Uhuru,kama kuna chombo Binafsi basi itakuwa Nipashe na Guardian vingine hawatapata. Naomba kuwasilisha.

Kwani Nape ni nani?. Hata asipowatembelea hakuna wanalokosa.
 
Achana naye kutembelewa au kutotembewa kwa hayo magazeti na huyu bongo lala hakuta add credibilty yoyote kwa magazeti kama mwananchi,tz daima na mwanahalisi..coz wanaosoma haya magazet ni wananchi ambao leo hii wanajua mchele ni upi na upupu ni upi mara ya mwisho nilinunua gazeti la uhuru mwaka 2000 wakati huo nafuatilia matokeo ya form 4,from zen 2 the time i have never touched it.
 
Back
Top Bottom