Alwatan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 409
- 129
Kwa mwendo huu hapa jamvini, naanza kuamini NAPE sasa amekua mwiba mkali sana kwa wana CDM. Inakuaje kila siku ni thread za NAPE this, NAPE that,... hivi ni kweli huyu kijana ameanza kuwanyima usingizi hata wapiganaji wa CDM?... Jamaa anachukua mileage sana hapa anavyokua discussed kila siku. Just remember there is NO BAD PUBLICITY, na mkumbuke jamaa ni PUBLICITY SECRETARY wa CCM,...C'mon, you can do better than this!