Nyahende Thomas
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 211
- 104
Hawa ndio wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Mbeya?
Nape ameingia Mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya juu Mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa CCM 167!!!Hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huKu!!
Nape ameingia Mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya juu Mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa CCM 167!!!Hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huKu!!
Join Date : 22nd June 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
Wewe ni DHAIFU nini? Au Umenunuliwa? Mbona MPYA? HII NDIO POSTI YA KWANZA INA MAANA NI NAPE KAGEUKA?
UNATAKA WATU KWAKUJADILI? WEKA PICHA BASI? VIJANA WA SHULE RAHISI KUWANUNUA...
NENDA SOKONI KAMA SUGU ALIVYOFANYA...
[MODS Tafadhali angalia huyu Mwana Jamii hii ni Mara ya Pili tunamuona Mpya Ameanzishwa Tarehe June 22nd 2012]
Halafu mbona mgambo watoto wameva mashati ya watu wazima? Ni yao kweli?
Aisee ni kweli alipokelewa na watoto wengi kwa gwaride la magreen guard.
Join Date : 22nd June 2012Ni Id yako yako ya ngapi hii?
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
Ukiangalia hawa watoto wamelazimishwa na yawezekana hata hawajala chochote,hivi wewe napeAisee ni kweli alipokelewa na watoto wengi kwa gwaride la magreen guard.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Akirudi kumsifia Slaa basi yote haya uliyo yasema yatabadilika, tumesha wazoea wapambe wa CDM humu JF. Kuna ajabu gani kuwa na multiple ID? mbona nyie mnazo kibao?
nape ameingia mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa ccm 167!!!hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huku!!
Nape ameingia Mbeya mchana huu, hakika nimeshangaa vijana wengi wa vyuo wamempokea na kwenda naye ukumbini ambako nako tumekuta watu wengi ajabu waliotambulishwa kama wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya juu Mbeya. Kagawa kadi mpya kwa wanachama wa CCM 167!!!Hivi bado kuna wapuuzi wanaojiita wasomi wanawasikiliza magamba jamani?? Wanachelewesha ukombozi wa nchi yetu! Sugu kamanda angalia umeingiliwa huKu!!
Kimbelembele ni bidii ya kazi ndugu yangu, hii ndio kazi ya uenezi.
Mimi sijafikiria hivyo kwasababu sitafuti sifa kwa Chama Chochote... Sina kimbelembele
Nape kimbelembele kitamshinda... kama kazi yake Nzuri itaonekana, Umeona Chadema wakifanya Mikutano yao
Viongozi wa Mikutano wakifanya upuuzi wa nape humu ndani ya Jamii Forum? Unaona Uongozi ni Hekima, Nape
Hana Hekima hata kidogo ni Mtoto hajakua na CCM imemkumbatia kuficha UOZO