Nape amuombe radhi Tundu Lissu, sio kosa kumuita Rais Samia Mzanzibari, ni takwa la Katiba ya Zanzibar

kipumbwi

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
3,071
8,792
Salam Wakuu,
Tumemuona Waziri wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano akimkemea na kumwagia shombo Lissu ndani ya Bunge kua Lissu amefanya ubaguzi kumuita Rais Samia mzanzibari ambae anatawala Tanganyika.

Naomba tusome kidogo katiba ya Zanzibar
20240430_111033.jpg
20240430_111030.jpg



Tumsikilize Rais Samia mwenyewe anajitambulidhaje?!!


Nape na FISIEMU wengine, oops- CCM wengine tunasubiria tamko lao dhidi ya Mbunge aliewataka Watanganyika waende Zanzibar kwa kutumia passport,huo sio ubaguzi?!
GL28HVJWgAA4EXz.jpg
sddefault.jpg

NB-;
Tazama na ajira za kazi za serikali huko Zanzibar masharti wanayoweka,kama sio ubaguzi ni nini?!! Huku Bara wanabaguliwa kwenye ajira?!!
20240430_110928.jpg
 
Hivi ukimuangalia Nape,anaonekana kama ni mtu wa kusikiliza,kupokea,kuchambua na kutoa jawabu kwenye mambo makubwa anayokutana nayo kweli?
Kwa kua kuna watu wamempa madaraka makubwa, pengine kushinda uwezo wake basi hatuna budi kumkemea na kumtaka aombe radhi na ajitafajari,kukaa kimya ni kuunga mkono impunity yake
 
Back
Top Bottom