Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

angekuwa amepewa katazo hili mtu kama Zitto, badala ya kutii kama alivofanya Lowassa yeye papo hapo angeanzisha mchakato wa kuanzisha chama chake kipya....

Acha kufananisha visivyofanana...
CCM ni chama cha siasa na Chadema ni Kongamano la wanaharakati..vitu viwili tofauti kabisa...wanachama wa chama cha siasa wanazo taratibu na kanuni wanazozitii ila kongamano la wanaharakati mwenye sauti kali ndio anayefuatwa na kusikiliza, hawana kanuni wala sheria zinazowaongoza.
 
Hili limekujaje? Wahi Milembe hospital, magonjwa ya akili siyo rahisi wewe mwenyewe mgonjwa kutambua kuwa unaumwa bali wanaokusikiliza na kukutazama ndiyo wanaojua kuwa unaumwa. Wewe ni mgonjwa.

Inaonekana Tundu Lissu na mama yake ni ukoo mmoja au wametoka sehemu moja.
 
Edo kwasasa ananguvu ajabu mpaka nashangaa, nadhani atafika tu magogoni!!
 
Hili limekujaje? Wahi Milembe hospital, magonjwa ya akili siyo rahisi wewe mwenyewe mgonjwa kutambua kuwa unaumwa bali wanaokusikiliza na kukutazama ndiyo wanaojua kuwa unaumwa. Wewe ni mgonjwa.
Hakuna Mwendawazimu yeyote duniani ambaye anakiri kuwa yeye ni chizi, huwa wanawaambia wengine kuwa ndio akili zao sio sawa, kama ufanyavyo wewe.
 
Hivi na wewe ni katika WAZUBAIFU..,nani kakwambia CHADEMA kuna Ukombozi...acha ujinga, ----- nini, mi napoteza muda wangu kukuuliza nafikiri una hoja ya maana, eti Ukombozi..,ukombozi mavi ya kuku..
Kweli una hoja za maana.
 
Kitendo cha Nape Nnauye ambaye ni Katibu mwenezi wa CCM kumkemea, kumwonya na kumtishia tena hadharani Edward Lowassa kuacha kufanya kampeni za kutaka kugombea urais mapema kabla ya muda wa CCM kuruhusu, kwa kile kinachoitwa maigizo yake ya kuleta watu nyumbani kwake na kudai wanamshawishi kugombea urais.
Kitendo hicho cha Nape, kisiasa ni kitendo cha kijasiri na ushujaa mkubwa kama Simba.

Na wakati huo huo kitendo cha Edward Lowassa kumjibu Nape Nnauye na pia Lowassa kuzuia watu zaidi wasiende tena nyumbani 'kumshawishi' kugombea urais, imeonekana kama kitendo cha woga wa hali ya juu kama wa kunguru kwenye siasa.

Mpaka sasa hajatokea kiongozi yoyote wa juu wa CCM aliyeonyesha ujasiri kama wa Nape Nnauye kuweza kumkemea Lowassa tena wazi wazi katika mwenendo wake wa kisiasa.
 
Nape Hana cha kupoteza uongozi wake unategemea hisani za walio madarakani


Mwache lowasa a retreat kwa muda

Kuretreat sio kushindwa
 
Nampongeza Mzee Lowassa kwa kuamua kusitisha zoezi la kupokea watu wanaodaiwa kwenda nyumbani kwake Dodoma kumshawishi kugombea urais.

Uamuzi wa kuzuia watu wasiendelee kwenda ni mgumu kwani una gharama lakini ni utii mzuri kwa agizo la Chama nililolitoa jana.

Umoja ni ushindi!

By; Nape Nnauye

Katibu Wa Itikadi na Uenezi (CCM)

HIKI NDIO CHAMA CHA MAPINDUZI NIKIJUACHO.

Kwahiyo wewe TandaleOne ndiyo Comical Nape?
 
Nape Hana cha kupoteza uongozi wake unategemea hisani za walio madarakani


Mwache lowasa a retreat kwa muda

Kuretreat sio kushindwa
Vyovyote unavyoweza kusema lakini tunarudi pale pale katika hili Nape ni Jasiri na Lowassa ni mwoga tena sana. Yaani Lowassa amekubali kumjibu mtu anayepayuka na hapo hapo akatii amri 'mbovu' ya
Mpayukaji.
 
Tujiunge twendeni tukamshawishi membe na pinda wasiache kuchukuwa form kwani ni kimbilio la wanyonge!
 
Kuna mtu hapa njaa imemnyoosha sasa anajihisi na yeye ni mtii eti anasema "umoja wao ni ushindi wao"
Kama kweli wamoja si mumuunge mkono Lowasa kwa kumwachia uhuru wake mbona Lowasa tu wengine je?
 
Sina hakika kama EL ameamua kutia kauli ya Nape, huenda akawa kaamua kubadili strategy, hivyo tusishangae kuona makundi ya watu wakijitokeza na kuandamana wakitaka EL awaruhu waende kwake.

Haa..haa...daah hii ya kwako imeniacha nacheka mwenyewe. Siasa hizi...
 
Watu walishajipanga makundi kwa makundi, awamu kwa awamu kwenda kuvuna pesa za Lowassa alizopata kwa njia mbalimbali anazozijua yeye na kwa hiari yake mwenyewe akaamua kuzigawa kwa watu kwa sanaa ya kushawishi na kushawishiwa kugombea urais wakiwemo masheikh feki akina Kapuya pamoja na wachungaji feki na wengineo!

Yaani kirahisi rahisi Nape anakuja kutibua dili za watu hivihivi! Aisee Nape ameharibu sana! Kamwonea huyu mzee pamoja na watu waliojipatia mradi kwake wa kupata riziki kwa njia ya sanaa ya kushawishiwa kushawishi!
Sijui watu walioathirika na kusitishwa kwa mradi huo wanamuangaliaje Nape!
 
Back
Top Bottom