Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

Nampongeza Mzee Lowassa kwa kuamua kusitisha zoezi la kupokea watu wanaodaiwa kwenda nyumbani kwake Dodoma kumshawishi kugombea urais.

Uamuzi wa kuzuia watu wasiendelee kwenda ni mgumu kwani una gharama lakini ni utii mzuri kwa agizo la Chama nililolitoa jana.

Umoja ni ushindi!

By; Nape Nnauye

Katibu Wa Itikadi na Uenezi (CCM)

HIKI NDIO CHAMA CHA MAPINDUZI NIKIJUACHO.

Umeshaona kwamba mafuriko hayazuiliwi na kanga!!!! Lazima uanze kujipendekeza sasa. Kashindwa bwana wako itakuwa wewe? Mwambie na mwenzio Makonda anunue kabisa K-Y inaweza kumsaidia kupunguza maumivu, Mlume ndio anakuja huyo!!!
 
Ina maana unataka kusema Lowassa na uzee wake wote ule alikuwa bado tu hajaelewa kuwa chama kimekataza hayo anayoyafanya? Kama ni hivyo atakuwa anazeeka vibaya.
Acha kumtukana Laigwanani..,unafikiri ni BABU SLAA anayepigia kampeni GONGO ihalalishwe..
 
Umeshaona kwamba mafuriko hayazuiliwi na kanga!!!! Lazima uanze kujipendekeza sasa. Kashindwa bwana wako itakuwa wewe? Mwambie na mwenzio Makonda anunue kabisa K-Y inaweza kumsaidia kupunguza maumivu, Mlume ndio anakuja huyo!!!
Mentality ya David Cameroon hii..,yaani vijana wa CDM mnajua matumizi ya K-Y kuliko mnavyojua kutumia smartphone...kudadadeki.
 
Kasaliti Mabadiliko ya Ukombozi wa wanyonge wa Taifa hili, amekubali kutumiwa kwa maslahi ya Majambazi mafisadi wenye kukwapua rasilimali zetu huku wakitusababishia maisha magumu unnecessarily....

Thread inahusu Nape na Lowassa..,juliana anaingiaje sasa..hivi huyu bint kawafanya nini..?
 
Kundi letu la watsapp limejipenga kuingia dodoma this week ili tumshawishi edo kugombea.Nape unatuharibia bajeti
 
Kasaliti Mabadiliko ya Ukombozi wa wanyonge wa Taifa hili, amekubali kutumiwa kwa maslahi ya Majambazi mafisadi wenye kukwapua rasilimali zetu huku wakitusababishia maisha magumu unnecessarily....
Hivi na wewe ni katika WAZUBAIFU..,nani kakwambia CHADEMA kuna Ukombozi...acha ujinga, ----- nini, mi napoteza muda wangu kukuuliza nafikiri una hoja ya maana, eti Ukombozi..,ukombozi mavi ya kuku..
 
Kundi letu la watsapp limejipenga kuingia dodoma this week ili tumshawishi edo kugombea.Nape unatuharibia bajeti
Ahahahahahahahahahaha unamaanisha NAPE ameharibu Dili ya watu..Dah huyu jamaa nae hajielewi, anataka watu wakale wapi..?
 
Nape aache swaga zake Lowassa kama kafanya kosa ana takiwa aadhibiwe kulingana na kosa lake.

CCM siyo mali ya wananchi kama fedha za EPA ambazo watuhumiwa walitakiwa warudishe badala ya kuchukuliwa hatuwa.
 
lowasa akipata uraisi nape atakuwa konda mana hatapata ata uenyekiti wa kijiji
 
Hiki chama kimekuwa cha mazingaombwe,ati Lowassa kaufyata kwa Nape!!!.
 
Back
Top Bottom