Neutral Figure
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 537
- 201
Why rubbish..... ?
This is a pre-mature conclusion ..i.e...Winning a battle does not necessarily mean you have won the war...
Why rubbish..... ?
sio tu kwamba anacheza ngoma asiyoijua bali amechanganyikiwa na ameshikwa na kihoro baada ya kushindwa kuzuia mafuriko kwa mikono. amini nakuwambia Lowasa akiingia whitehouse mwezi wa oktoba, Nape atafute nchi ya kuhamia.
This is a pre-mature conclusion ..i.e...Winning a battle does not necessarily mean you have won the war...
Atakuwa ni mchina anacheza ngoma ya madogori ya watu wa kusini mwa tz huko.Nape anacheza ngoma asioijua!
Mimi nilidhani anayeingia Ikulu ni Dkt. Slaa!
Kumbe bado CCM itaenda Ikulu.
Sikufahamu kama hata vijana wa BAVICHA wamempa kisogo Dkt. Slaa.
Mimi nilidhani anayeingia Ikulu ni Dkt. Slaa!
Kumbe bado CCM itaenda Ikulu.
Sikufahamu kama hata vijana wa BAVICHA wamempa kisogo Dkt. Slaa.
Lowasa kaanza kutii maagizo ya chama, Mbona hajatii Lile agizo la kujivua gamba?
Au Lile lilikuwa utani.