Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

Nape Ampongeza Lowassa kwa kutii Agizo la Chama

TandaleOne

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
1,644
Reaction score
709
Nampongeza Mzee Lowassa kwa kuamua kusitisha zoezi la kupokea watu wanaodaiwa kwenda nyumbani kwake Dodoma kumshawishi kugombea urais.

Uamuzi wa kuzuia watu wasiendelee kwenda ni mgumu kwani una gharama lakini ni utii mzuri kwa agizo la Chama nililolitoa jana.

Umoja ni ushindi!

By; Nape Nnauye

Katibu Wa Itikadi na Uenezi (CCM)

HIKI NDIO CHAMA CHA MAPINDUZI NIKIJUACHO.
 
ujanjaujanja,ila ndo hivyo strategists wako kazini,ila mwaka huu mgumu.
 
Katuni+Feb+2.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nape hana haja ya kumpongeza lowasa, ajipongeze yeye kwa kuingilia uhuru na haki ya lowasa ya kutoingiliwa na mtu yeyote. Lowasa kikatiba ana haki ya kutembelewa na mtu au watu wa aina yeyote. Nape katumia madaraka yake vibaya. Sijui hilo lingefanyika upinzani ingekuwaje.
 
Sina hakika kama EL ameamua kutia kauli ya Nape, huenda akawa kaamua kubadili strategy, hivyo tusishangae kuona makundi ya watu wakijitokeza na kuandamana wakitaka EL awaruhu waende kwake.
 
Pathetic, stinking pwani mchangani!!! Hivi wewe unajua hata thamani yako? Unafurahia UFISADI, RUSHWA, UJANGILI, UKWAPUAJI WA RASILIMALI ZETU, SEMBE, MAISHA MAGUMU, WAGONJWA KULALA MZUNGU WA NNE, WATOTO KUSOMA CHINI YA MITI, UMEME WA VISADO, MAJI MACHAFU MITAANI, UKOSEFU WA ELIMU BORA, HUDUMA ZA AFYA, MAISHA MAGUMU? Yaani wewe Juliana Shonza unafurahia kutoka Nuruni na kuingia Gizani?.... Idiot ...

huku sio CHADEMA, watu wanapewa maagizo na wanatii, maisha yanaendelea..!!
 
Chadema ilichokufanya wewe mwanamke(shonza) hakika ni siri yako!!!
 
kesho sisi wazalendo wote wa manyara tulikuwa tunataka kuandamana kwenda kwa Lowasa kumwomba asigombee uraisi kwa sababu ikulu hakuna wodi wagonjwa hatutapokelewa tena
 
kesho sisi wazalendo wote wa manyara tulikuwa tunataka kuandamana kwenda kwa Lowasa kumwomba asigombee uraisi kwa sababu ikulu hakuna wodi wagonjwa hatutapokelewa tena
Duh basi subirini chance nyingine.,ndo hivyo tena Mzee ameshasitisha hiyo habari..kama vipi mtumieni emails.
 
Back
Top Bottom