Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,752
- 46,271
Nasikia Dr.Slaa anashinda kwa Gwajima anaombewa aje kuwa rais.kesho sisi wazalendo wote wa manyara tulikuwa tunataka kuandamana kwenda kwa Lowasa kumwomba asigombee uraisi kwa sababu ikulu hakuna wodi wagonjwa hatutapokelewa tena