Umesikia Nape anasema UMOJA ni USHINDI kuna kuuana hapo..? Hawa jamaa wanajuana.Hahaahaha nimeona taarifa ITV na nimesikia kilichosemwa. Nape amejipalia mkaa, time will tell ila wauwane tu wenyewe
Umesikia Nape anasema UMOJA ni USHINDI kuna kuuana hapo..? Hawa jamaa wanajuana.Hahaahaha nimeona taarifa ITV na nimesikia kilichosemwa. Nape amejipalia mkaa, time will tell ila wauwane tu wenyewe
Nampongeza Mzee Lowassa kwa kuamua kusitisha zoezi la kupokea watu wanaodaiwa kwenda nyumbani kwake Dodoma kumshawishi kugombea urais.
Uamuzi wa kuzuia watu wasiendelee kwenda ni mgumu kwani una gharama lakini ni utii mzuri kwa agizo la Chama nililolitoa jana.
Umoja ni ushindi!
By; Nape Nnauye
Katibu Wa Itikadi na Uenezi (CCM)
HIKI NDIO CHAMA CHA MAPINDUZI NIKIJUACHO.
Umoja wetu ndio Ushindi wetu..
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Sina hakika kama EL ameamua kutia kauli ya Nape, huenda akawa kaamua kubadili strategy, hivyo tusishangae kuona makundi ya watu wakijitokeza na kuandamana wakitaka EL awaruhu waende kwake.
Nampongeza Mzee Lowassa kwa kuamua kusitisha zoezi la kupokea watu wanaodaiwa kwenda nyumbani kwake Dodoma kumshawishi kugombea urais.
Uamuzi wa kuzuia watu wasiendelee kwenda ni mgumu kwani una gharama lakini ni utii mzuri kwa agizo la Chama nililolitoa jana.
Umoja ni ushindi!
By; Nape Nnauye
Katibu Wa Itikadi na Uenezi (CCM)
HIKI NDIO CHAMA CHA MAPINDUZI NIKIJUACHO.
CCM isipo handle vizuri suala la ugombeaji Urais tunaweza kujikuta kuna chama kingine kilicholeta uhuru katika nchi za kiafrika kikifutika kama KANU, UNIP, UPC, nk.
Hivi Nape anatoa maagizo au anatakiwa atoe taarifa za maamuzi ya Chama kwa wananchi/wanachama?
tupe email yake anarudi monduli zoezi lake la dodoma limeshaisha.Duh basi subirini chance nyingine.,ndo hivyo tena Mzee ameshasitisha hiyo habari..kama vipi mtumieni emails.
huku sio CHADEMA, watu wanapewa maagizo na wanatii, maisha yanaendelea..!!
acha uongo kasemea wapi weka sosi
Teh teh MaCCM yanaruka na kukanyaganahuku sio CHADEMA, watu wanapewa maagizo na wanatii, maisha yanaendelea..!!
Nampongeza Mzee Lowassa kwa kuamua kusitisha zoezi la kupokea watu wanaodaiwa kwenda nyumbani kwake Dodoma kumshawishi kugombea urais.
Uamuzi wa kuzuia watu wasiendelee kwenda ni mgumu kwani una gharama lakini ni utii mzuri kwa agizo la Chama nililolitoa jana.
Umoja ni ushindi!
By; Nape Nnauye
Katibu Wa Itikadi na Uenezi (CCM)
HIKI NDIO CHAMA CHA MAPINDUZI NIKIJUACHO.
Thread inahusu Nape na Lowassa..,juliana anaingiaje sasa..hivi huyu bint kawafanya nini..?Pathetic, stinking pwani mchangani!!! Hivi wewe unajua hata thamani yako? Unafurahia UFISADI, RUSHWA, UJANGILI, UKWAPUAJI WA RASILIMALI ZETU, SEMBE, MAISHA MAGUMU, WAGONJWA KULALA MZUNGU WA NNE, WATOTO KUSOMA CHINI YA MITI, UMEME WA VISADO, MAJI MACHAFU MITAANI, UKOSEFU WA ELIMU BORA, HUDUMA ZA AFYA, MAISHA MAGUMU? Yaani wewe Juliana Shonza unafurahia kutoka Nuruni na kuingia Gizani?.... Idiot ...
Shida yako nini labda..?Naona umekuja kumuomba Laigwan Msamaha JF.
Leo watu wametoka Mbeya na Boda boda kuja kumsihi
acha uongo kasemea wapi weka sosi
We kama nani uombe clip ya video au picha..?...au aweke picha au video clip
Hilo agizo lilitolewa wapi..? Kikao gani kilitoa hilo agizo..?Lowasa kaanza kutii maagizo ya chama, Mbona hajatii Lile agizo la kujivua gamba?
Au Lile lilikuwa utani.