joseph ernei
Member
- Jan 26, 2015
- 42
- 6
Nampongeza nape kwa hilo
Nampongeza nape kwa hilo
Umetumwa...?
Mh.......server za jf zitajaa kuelekea oct 15.
Namama yako?Umetumwa...?
Halafu nyie wasaliti inakuwaje mbona hamjaenda ACT? au king amewaacha huko muipeleleze ccm?Umoja wetu ndio Ushindi wetu..
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Rubbish in absolute terms...
Nape anacheza ngoma asioijua!
Nape sawa na Zito anaye sema Ukawa wasaka tonge Huku tena anasema Ukawa ndo mbadala wa kuiondoa ccm madarakani