Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Babu naona umepata jibu hapo juu.
Hii ni topic ngumu sana kwa watu wengi. Bahati yako kama wewe na bibi na jasiri kwenye hili.
Muhimu kuliko yote Kaunga, kuwa rafiki yake. Muambie we have been through a lot together and this far we have come. I will always be your friend. Come to me when you have questions or worries. Even when you mess up, njoo coz together we can ckean the mess up faster. Hiyo ndio silaha. Muombe Mungu akusaidie usiwe unazimia ukiulizwa maswali (mamangu sijui alikuwa anastomach vipi. Imagine ur 12 yrs old gal akuambie kuna mbaba anamtaka! With details! If she was still alive ningemuuliza aisee!)
Nimeona Komando.. King'asti,
Kweli, mie na bibi hatukuwa kuwa na tatizo la kuongea na watoto wetu au wajukuu...
Ilifikia mahali anawambia kuwa hata kama ni baba anataka kukushika ikulu usikubali....Ila yeye wakawa wanaenda kumwonesha eti dudu zao zimevimba even when they were closer to 10yrs old!!
Kaunga,Kweli nilikuwa sijawahi mwambia kuhusu sex na pregnancy na STD.
Alishawahi kuniuliza mimba inapatikanaje, nikashindwa kujieleza na kumwambia amuulize mwalimu. That was when he was in grade 5.
Nimeshawahi kumuuliza kuhusu HIV tu na jinsi inavyoambukizwa; tough topic ni kuhusu ushoga, how do you explain jinsi gani mwanaume anakuwa na mwanaume mwenzake?
Mbona mambo ya STIs wanafundishwa toka class 4?
Nahofia mtoto wako anaweza kukushangaza jinsi anavyoyayafahamu....
Hayo mambo ya ushoga si lazima umweleze sasa hivi...take your time na mtaendelea kuongea....
Ninavyoona mimi, hapa kuna tatizo lako mwenyewe na mawenge wenge yako...halafu na tatizo la kipi umweleze mtoto.
Hebu jaribu kushughulikia tatizo lako kwanza!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: