Cotton pamba
JF-Expert Member
- Dec 16, 2020
- 303
- 208
Kaa ivo ivo
IYani na degree yangu nichome mishikaki mkuu?
IYani na degree yangu nichome mishikaki mkuu?
Hongera ila punguzeni vitambi hata kama hela zenyuWanawake tumeamua kuchakarika na kila shughuli ukitafta hela hamna kuona aibu. Tena tumejiunga na vikundi tunacheza na michezo hatutaki utani maisha yetu wanawake tusipofanya kazi tutakuwa jamvi la wageni.
Kuna kiungo hujakitaja hapo huwakinapata taabu sana kabla ya kufikia hatua hiyo.Hii ni kitu nimeiona baada ya kufanya utafiti wa kijuu juu. Nimeona mabinti wengi wanachakarika na ujasiriamali.
Ninekutana na wahitimu wa vyuo ambao ni mama ntilie. Wanapiga umachinga mdogomdogo wa nguo za kike, juice, viatu nk. Pia wamekuwa mstari wa mbele kuhudhuria mafunzo ya ujasiriamali kama kutengeneza sabuni nk.
Imekuwa kazi sana kumkuta mhitimu wa kiume akifanya hizi ishu ndogondogo kama kuchoma chips na mishkaki. Nini shida kwa vijana wakiume kuingia kwenye sekta isiyo rasmi baada ya kumaliza chuo?
Rai yangu, Serikali ijitahidi kwa nguvu zote kuweka mazingira ya vijana kuweza kujiajiri.
huuuu!Unaringia degree moja wakati thermometer ina degree 100 na inafanya kazi kwapani
HongereniWanawake tumeamua kuchakarika na kila shughuli ukitafta hela hamna kuona aibu. Tena tumejiunga na vikundi tunacheza na michezo hatutaki utani maisha yetu wanawake tusipofanya kazi tutakuwa jamvi la wageni.
Hongera ila punguzeni vitambi hata kama hela zenyu
Asante sanaHongereni