grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,205
- 4,113
Unasoma mpaka university ili ule uuze chipsi? Shame Nikola Tesla alipoacha ajira yake kutoka kwa Thomas edison alienda kufanya hizi kazi zenu hizi sasa yeye alikuwa anasafisha vyoo yaani topaz alipoona potential aliyokuwa nayo akaamua kuacha upuuzi wa kuchimba vyoo.
Na mpaka sasa ana jina kubwa tu , ila hayo yoote yaliwezekana kwa sababu kwanza ana potential pili alipata wa kum backup , ni ujinga mkubwa serikali kusomesha wataalamu halafu wakakosa ajira ,kwa kiwango kikubwa tu hizo hela za mikopo kwanini wasingeliziongezea kwenye miradi mingine?
Na mpaka sasa ana jina kubwa tu , ila hayo yoote yaliwezekana kwa sababu kwanza ana potential pili alipata wa kum backup , ni ujinga mkubwa serikali kusomesha wataalamu halafu wakakosa ajira ,kwa kiwango kikubwa tu hizo hela za mikopo kwanini wasingeliziongezea kwenye miradi mingine?