cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Imenifuraisha wanawake tumeamka ukiwa na hela yako ndogo Raha sio mpaka mtu akuzalilishe utu wako kisa shida si Bora uuze Chip's kwa Raha zako, wanaume wenyewe hata kununulia magelo friend wenu chupi hamuwezi. Wanawake tukiwa na uchumi imara na dhambi nyingi zinatutokaWaachaaa... Naona mada imekugusa kweli.