Naona kama dunia nzima imeniangukia

Naona kama dunia nzima imeniangukia

Daah,.pole kamanda ila kukaa mbali na nyumba yako ni kukimbia tatizo tena upo katika kipindi ambacho mkeo anakuhitaji nahic kuliko vipindi vingine...hebu kuwa nae karibu hata awe na utata vipi jua kabeba mtoto wenu usimkimbie komaa lazima kipite hiki kipindi but kitapitaje "PAMBANA"

NB:fungu la kumi ni la lazima,inaweza kuwa umemuibia MUNGU saaana,.MUNGU akufanyie heri.
Asante kwa kunitia Moho
 
Pole sana lakini kabla ya yote beba mkeo kesho nenda kanisani usipoteze muda mambo yatakuja menyewe na kujiseti hata huyo boss wako ukimwendea kichwa kichwa kama haupo vizuri atakutolea nje kabla ya yote nenda kwa mchungaji hata kama si mlokole nenda kwa imani yako Mungu atakuona
Amina ndugu
 
Huko kwao hospitali hazipo? Wapelekee wenye mtoto wao waliomzaa asije kufia mikononi mwako Na ulofa wako. Asikufie mikononi warudishie waliomzaa na ueleze wazi kuwa ana complications na wewe sio mkunga wala doctor na pesa huna
Jitathimini akili zako mkuu

Hivi unayajua majukumu wewe haswa ya mwanaume alieoa na anaishi na familia yake?
 
Duh,mke pale mgonjwa,ada july hii hujalipa,kodi ya nyumba mtihani,na mshahara bado unauchungulia km umeingia na kila mara unakuta balance ipo under 10k,pole sana ila sababu ni mwanaume bas naamin kila kitu kitakua sawa soon.

Kwanza chukulia matatizo ni sehem ya maisha na ni ladha inayoyafanya maisha yawe kama maisha,ila tu yamekukuta wakat mambo meng yameingiliana pole

Una gar,sawa umeipark au inatembea,na kama inatembea kwenda kazin unatumia kiasi gan kwa mafuta? Kama umeipak sbu ya kukosa mafuta sawa ila kama bado unaitumia ntakulaumu,maana haiwezekan ukose hela ya kula ilihali gar inawekwa mafuta,japo hujasema ila ukwel u anaujua zaid kulko ss

Labda nikushauri kdgo cha kufanya japo sikulazimshi kufanya,angalia hapo ndan kwako kipi chepes cha kuuza,najua weng wamekushaur uuze gar au uliweke bond sawa una hiari,wengine wakashaur mrudishe mwanamke kwao sawa pia una hiari,na wengine wamesema uza kiwanja pia una hiari lakin je ukishauza utakua umesolve tatizo au umeongeza? Sawa kimfaacho mtu chake bt je ukiuza unadhan matatizo yatakwsha au yatakua umehamisha moja kwenda kushoto na lingine kwenda kulia?hapa naona utakua unapotea zaid,kwanza huna hela ya kula cha haraka kuuza ni simu yako maana saa yyte unaweza kupata hela ya kustiri siku mbili tatu au hata wiki kwa ajil ya msos nyumban,

Baada ya hapo mfate mwenye nyumba wako,kaa nae chini tena akiwa na mkewe mama mwenye nyumba mueleze A to Z tatizo linalokusibu naiman kabsa anaweza kukusaidia hasa akiona kabsa hal ya mkeo,

Then mfate muajiri wako mwambie naomba ruksa nikamuuguze mke hali yake sio nzur na mimba saa yyte anaweza jifungua,na hela hata mia sina,na wewe ndio muajiri plz najua mshahara haujatoka bt unaweza kunifanyia hata nusu nikamalize tatizo,kwa iman na ukwel huwez kosa msaada ppte,lakin umrudishe mke kwao kama wanavyokushaur kwa mtoto wa kiume sikushauri,pambana uonyeshe kwa nn wewe ni baba na usiuze cchte zaid ya simu yako halaf we tumia ya mkeo kufanya mambo yako yakutafuta cchte. Tchao
Huu ndiyo ushauri wa mwanaume kwa mwanaume mwenzio sio wengine anakurupuka kutoka kwenye vilabu vya viroba na kuongea utumbo kuuza vitu haiwezi maliza shida zote kwa pamoja kabla ya yote amtangulize Mungu
 
Kama allivyo kushauri mkuu Xav bero fanya hivyo uza simu pata ya kula na nauli nenda kanisani mengine ni ibilisi anakuwa kazini omba sana ombea hata wengine
 
Polesana mpwa,hayo nimajaribu utayashinda,weka picha ya hivyo ulivyonavyo wadau wapo tele humu watavinunua ili umalize tatizo lako
 
Pole sana. kuna mda mambo yanaweza kukuendea vibaya. ukapoteza imani kabisa.
 
Asante kwa busara zako mkuu.nianze na gari ni raumu namba DAM nikipata 7.5m saws tu.nitafanye sasa.kuhusu bima sector binafsi hazijali hivyo sina.nitajaribu kuongea na bosi wangu japo no mtata sanaaaa
Mkuu hili swala halina utata wala nini... Yani mface ukiwa umetulia hata kama unamchukia nenda kwa upole atakwelewa!! Akusaidie kiasi cha pesa alafu atakukata kwenye mshahara!! Akizingua mwombe mawazo na yeye!! Wala usiogope mkuu na kama ni mwanaume basi atakwelewa na kama ni mwanamke atakwelewa pia maana na yeye wenda ana familia!!

Waambie pia wanaofisi wenzako hawatashindwa kukusaidia walau kwa mawazo mkuu!!

Mkuu hiki kipindi unatakiwa kuwa mtulivu na mnyenyekevu!!

Once again pole sana wasalim sana nyumbani!!
 
Ur Welcome Sir uapoomba kwa Mungu wako usizoee kujiombea wewe mwenyewe na familia tu bali ombea watu wate unaowajua na usiowajua lakin wana shida,,hii inakuwekea akiba kwa Mungu maana wapo pia wanaokuombea ambao huwajui,,Yatakwsha na tutafurah tukipata mrejesho hapa hapa Jukwaani
Nimepata nguvu,naona mwanga mbele na naamini yataisha na kuleta mrejesho hum
 
Mkuu hili swala halina utata wala nini... Yani mface ukiwa umetulia hata kama unamchukia nenda kwa upole atakwelewa!! Akusaidie kiasi cha pesa alafu atakukata kwenye mshahara!! Akizingua mwombe mawazo na yeye!! Wala usiogope mkuu na kama ni mwanaume basi atakwelewa na kama ni mwanamke atakwelewa pia maana na yeye wenda ana familia!!

Waambie pia wanaofisi wenzako hawatashindwa kukusaidia walau kwa mawazo mkuu!!

Mkuu hiki kipindi unatakiwa kuwa mtulivu na mnyenyekevu!!

Once again pole sana wasalim sana nyumbani!!
Nakushukuru sana upepo was pesa
 
Wakuu poleni na majukumu,

Nina umri wa miaka 34, mke na mtoto mmoja, nimepambana kweli kweli miaka 4 nyuma nimejenga kijijini kwetu nimenunua kiwanja pembeni kidogo ya mjini, nimemsomesha mke wangu kamaliza mwaka Jana, miaka 2 nyuma niliona mambo sio mabaya nikavuta kausafiri ka kunisaidia hapa na pale.

MATATIZO YANAANZA. Mwaka Jana nilibadilisha kituo kipya (sekta binafsi) kwa ahadi ya mshahara mkubwa. Dah mambo yakawa sio mambo mshahara ukawa hutoki mpaka miezi 3 hafu tunapewa nusunusu kumbuka hapo wife ameshakuwa mjamzito mimba inamsumbua kweli, mtoto anasoma na nadaiwa kodi ya nyumba. Ilinilazimu kuacha kazi baada ya kuvutana sana basi sikulipwa mishahara miezi mitatu katikati ya mwezi wa 5 nikapata kazi sehemu nyingine japo kwa mshahara mdogo nikalipwa mshahara nusu kwa vile nilianza katikati.

MAAJABU MENGINE HUKU. Leo in trh 4 July hatujalipwa mshahara wa June ninapoandika Uzi huu nimekaa jirani na nyumbani nafikiria nitaingiaje nyumbani kwa mke wangu, anaweza kujifungua muda wowote kuanzia sasa na ana complications, Jana ni kama vile tulilala njaa, leo mama na mtoto sijui wamekula nini, shule zimefunguliwa sina ada ya mtoto, mwenye nyumbani anadai kodi tena atakuwa ananisubiri nyumbani, nimejaribu kuuza gari na kiwanja lakini hakuna wateja. Nina mawazo sana ndugu zangu, ninachoogopa zaidi ni huyu mama mjamzito.

Ushauri wenu na sala zenu.
Umegamia mabasi ya mwendokasi nini maana nasikia wao mshahara mpaka tarehe angalau 10.
 
ungeweka namba ya simu ingependeza kidogo, japo wenye nafasi watakuchangia hata ya kula leo
 
Dhaaa!! Pole mkuu
Matatizo n sehem ya maisha
 
Back
Top Bottom