Duh,mke pale mgonjwa,ada july hii hujalipa,kodi ya nyumba mtihani,na mshahara bado unauchungulia km umeingia na kila mara unakuta balance ipo under 10k,pole sana ila sababu ni mwanaume bas naamin kila kitu kitakua sawa soon.
Kwanza chukulia matatizo ni sehem ya maisha na ni ladha inayoyafanya maisha yawe kama maisha,ila tu yamekukuta wakat mambo meng yameingiliana pole
Una gar,sawa umeipark au inatembea,na kama inatembea kwenda kazin unatumia kiasi gan kwa mafuta? Kama umeipak sbu ya kukosa mafuta sawa ila kama bado unaitumia ntakulaumu,maana haiwezekan ukose hela ya kula ilihali gar inawekwa mafuta,japo hujasema ila ukwel u anaujua zaid kulko ss
Labda nikushauri kdgo cha kufanya japo sikulazimshi kufanya,angalia hapo ndan kwako kipi chepes cha kuuza,najua weng wamekushaur uuze gar au uliweke bond sawa una hiari,wengine wakashaur mrudishe mwanamke kwao sawa pia una hiari,na wengine wamesema uza kiwanja pia una hiari lakin je ukishauza utakua umesolve tatizo au umeongeza? Sawa kimfaacho mtu chake bt je ukiuza unadhan matatizo yatakwsha au yatakua umehamisha moja kwenda kushoto na lingine kwenda kulia?hapa naona utakua unapotea zaid,kwanza huna hela ya kula cha haraka kuuza ni simu yako maana saa yyte unaweza kupata hela ya kustiri siku mbili tatu au hata wiki kwa ajil ya msos nyumban,
Baada ya hapo mfate mwenye nyumba wako,kaa nae chini tena akiwa na mkewe mama mwenye nyumba mueleze A to Z tatizo linalokusibu naiman kabsa anaweza kukusaidia hasa akiona kabsa hal ya mkeo,
Then mfate muajiri wako mwambie naomba ruksa nikamuuguze mke hali yake sio nzur na mimba saa yyte anaweza jifungua,na hela hata mia sina,na wewe ndio muajiri plz najua mshahara haujatoka bt unaweza kunifanyia hata nusu nikamalize tatizo,kwa iman na ukwel huwez kosa msaada ppte,lakin umrudishe mke kwao kama wanavyokushaur kwa mtoto wa kiume sikushauri,pambana uonyeshe kwa nn wewe ni baba na usiuze cchte zaid ya simu yako halaf we tumia ya mkeo kufanya mambo yako yakutafuta cchte. Tchao