YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,036
Toka zamani ukioa Kama huyajui au uwezo huna mke alikuwa akijifungulia kwa wazazi wake kuna wakunga wa jadi kwenye koo waweza handle complications zingine kuliko madaktari bingwa waliosoma marekani kwa Trump. Huyo mwanamke asije kufia mikononi wapelekee waliomzaahizi ndiyo busara zako mkuu ,naamini kila mtu atakushangaa