Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Nalo neno mida ya saa 3 hivi usiku ukitega barabarani unapata mbagala 20 ya kula kuanzia Morocco alfu unapatailo gari pakia abiria wa mbagala ukosi 20000 kwa siku nipo
Nalo neno mida ya saa 3 hivi usiku ukitega barabarani unapata mbagala 20 ya kula kuanzia Morocco alfu unapatailo gari pakia abiria wa mbagala ukosi 20000 kwa siku nipo
Sasa Jamaa'angu lastime nimekuomba unijuze then ukanipotea km haiwezekani niambie kwn sijakulazimisha ni Ombi!!Daah pole sana mkuu, ndio changamoto za maisha hizo
Nikumbushe ni nini mkuu,Sasa Jamaa'angu lastime nimekuomba unijuze then ukanipotea km haiwezekani niambie kwn sijakulazimisha ni Ombi!!
Vp ushaingia home ...vp mambo umekutaje huko....nakuombea Mungu akupe means za ku survive.Familia za kijijini unazielewa kwa kiasi kikubwa
khs vile ukiandika Maandishi then unayakoleza wino hilo tu.Nikumbushe ni nini mkuu,
Poa ngoja nakupa maelekezo muda sio mrefukhs vile ukiandika Maandishi then unayakoleza wino hilo tu.
No..mi natumia app nahizo symbol szioni za kama kubold nakadhalika.Poa ngoja nakupa maelekezo muda sio mrefu
Umemuona akilia?weka bei ya gari na kiwanja acha kulialia mwanaume,kimoja lazima kitakutoa japo si kwa bei uliyonunulia
Asante mkuuPole mkuu