AminaKwanza pole sana mkuu.
Pili usikate tamaa, Mungu yupo na atakusaidia. Mkuu hyo hali ni ya kawaida sana, na cha zaidi katika imani flani ivi ni kwamba mwanaume hupata wakati mgumu sana kiuchumi kipindi ambacho mke wake ana mimba(sina uhakika sana na imani hyo) . Ila mimi ni shuhuda wa hali hyo, na imenitokea mwaka huu huu, hivyo kwa kiasi flani imenithibitishia.
Cha muhimu kuwa na imani kwani hali hyo itaisha ghafla bila kutegemea. Sio vibaya kuuza vitu ila nakushauri kama unaweza jitahidi usiuze chochote, naamini shemeji akijifungua tuu. Mambo yatakuwa nafuu.
Auze kiwanja aache Gari!!!Kiwanja kinapanda thamani,Gari linaporomoka thamani.Pole sana jamaa, mimi navyoona usiuze Gari. Uza Kiwanja. Kitangaze Fb. Tungekuwa tunaaminiana humu tungepeana namba, lakini kwakweli huwa hatuaminiani.
Nimeshauri uuze kiwanja badala ya Gari. Hii ni kwasababu Gari itakusaidia mizunguko ikiwemo kumpeleka mkeo hospitali. Kiwanja utanunua Kingine bali ikitengemaa.
Nimekuelewa badsome.ila dunia inachoma moto sanaKwanza pole sana mkuu.
Pili usikate tamaa, Mungu yupo na atakusaidia. Mkuu hyo hali ni ya kawaida sana, na cha zaidi katika imani flani ivi ni kwamba mwanaume hupata wakati mgumu sana kiuchumi kipindi ambacho mke wake ana mimba(sina uhakika sana na imani hyo) . Ila mimi ni shuhuda wa hali hyo, na imenitokea mwaka huu huu, hivyo kwa kiasi flani imenithibitishia.
Cha muhimu kuwa na imani kwani hali hyo itaisha ghafla bila kutegemea. Sio vibaya kuuza vitu ila nakushauri kama unaweza jitahidi usiuze chochote, naamini shemeji akijifungua tuu. Mambo yatakuwa nafuu.
Sector binafsi mkuu wana Bima mbona,pole sana Mungu ni mwema utashinda ila uza kimojawapo kati ya Gari ama kiwanjaAsante kwa busara zako mkuu.nianze na gari ni raumu namba DAM nikipata 7.5m saws tu.nitafanye sasa.kuhusu bima sector binafsi hazijali hivyo sina.nitajaribu kuongea na bosi wangu japo no mtata sanaaaa
Kirahisi hivyo.?baki na mke wako.sisi tumekuuzia.Huko kwao hospitali hazipo? Wapelekee wenye mtoto wao waliomzaa asije kufia mikononi mwako Na ulofa wako. Asikufie mikononi warudishie waliomzaa na ueleze wazi kuwa ana complications na wewe sio mkunga wala doctor na pesa huna
Watu wenye mawazo kama haya hawakosekani mkuuhizi ndiyo busara zako mkuu ,naamini kila mtu atakushangaa
ilinipita hii ilikuwajeRaimundo kavuruga kabisa roho ya wana JF kusaidia
Hakuku victimise? Raimundo ni kaka tapeliilinipita hii ilikuwaje
Umeingia kwenye huo uzi? Kama ni kwenye app unaanza na [ B ] halafu maneno unayotaka kuandika ndio yafuate lakini hiyo B uibanishe kwenye mfumo huu [A] sio kama nilivyoacha hapo space kidogoSijaona asee..ama sim yangu toleo la kale nini?? natumia JF app sim aina ya Sumsang J1.20
me nimekuelewaUmeingia kwenye huo uzi? Kama ni kwenye app unaanza na [ B ] halafu maneno unayotaka kuandika ndio yafuate lakini hiyo B uibanishe kwenye mfumo huu [A] sio kama nilivyoacha hapo space kidogo
Kaka hii post umetuma kwa bnadamu mwenzako kweli????hii ni dunia mkuu leo kwao kesho kwako. ..matatzo yapo mengi si ya pesa tu..Huko kwao hospitali hazipo? Wapelekee wenye mtoto wao waliomzaa asije kufia mikononi mwako Na ulofa wako. Asikufie mikononi warudishie waliomzaa na ueleze wazi kuwa ana complications na wewe sio mkunga wala doctor na pesa huna
Mungu atafanya wepesi kwa familia yako mtumainie Mungu zaidiWakuu poleni na majukumu,
Nina umri wa miaka 34, mke na mtoto mmoja, nimepambana kweli kweli miaka 4 nyuma nimejenga kijijini kwetu nimenunua kiwanja pembeni kidogo ya mjini, nimemsomesha mke wangu kamaliza mwaka Jana, miaka 2 nyuma niliona mambo sio mabaya nikavuta kausafiri ka kunisaidia hapa na pale.
MATATIZO YANAANZA. Mwaka Jana nilibadilisha kituo kipya (sekta binafsi) kwa ahadi ya mshahara mkubwa. Dah mambo yakawa sio mambo mshahara ukawa hutoki mpaka miezi 3 hafu tunapewa nusunusu kumbuka hapo wife ameshakuwa mjamzito mimba inamsumbua kweli, mtoto anasoma na nadaiwa kodi ya nyumba. Ilinilazimu kuacha kazi baada ya kuvutana sana basi sikulipwa mishahara miezi mitatu katikati ya mwezi wa 5 nikapata kazi sehemu nyingine japo kwa mshahara mdogo nikalipwa mshahara nusu kwa vile nilianza katikati.
MAAJABU MENGINE HUKU. Leo in trh 4 July hatujalipwa mshahara wa June ninapoandika Uzi huu nimekaa jirani na nyumbani nafikiria nitaingiaje nyumbani kwa mke wangu, anaweza kujifungua muda wowote kuanzia sasa na ana complications, Jana ni kama vile tulilala njaa, leo mama na mtoto sijui wamekula nini, shule zimefunguliwa sina ada ya mtoto, mwenye nyumbani anadai kodi tena atakuwa ananisubiri nyumbani, nimejaribu kuuza gari na kiwanja lakini hakuna wateja. Nina mawazo sana ndugu zangu, ninachoogopa zaidi ni huyu mama mjamzito.
Ushauri wenu na sala zenu.
Upo vizuri saname nimekuelewa
Kwa nn unasema hatuaminiani??Pole sana jamaa, mimi navyoona usiuze Gari. Uza Kiwanja. Kitangaze Fb. Tungekuwa tunaaminiana humu tungepeana namba, lakini kwakweli huwa hatuaminiani.
Nimeshauri uuze kiwanja badala ya Gari. Hii ni kwasababu Gari itakusaidia mizunguko ikiwemo kumpeleka mkeo hospitali. Kiwanja utanunua Kingine bali ikitengemaa.