Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

nga mkono hoja! Hata ile pandapanda bei ya konyagi imestopia palepale.....

Bado kidogo konyagi wataomba pooh maana si kwa mkimbizo huu

Mimi ni mfanyabiashara naona mambo yanavyochange
 
Karibu
IMG-20190112-WA0144.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii packaging yao mpya na branding ya K Vant inatamanisha kunywa hata kama wewe sio mlevi.
Yaani chupa zo zina swagga flan hv classy na nadhani hiyo ni moja ya sababu, ukiangalia chupa za Konyagi ziko too local

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia K-vant imepoa kidogo ukilinganisha na konyagi,
So watu wamependa hako kampoozo chake ukilinganisha na konyagi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu acha kufananisha Konyagi na vitu vya ajabu...k-vant haiwezi hata cku moja kuipiku nyagi meen
 
Hii packaging yao mpya na branding ya K Vant inatamanisha kunywa hata kama wewe sio mlevi.
Yaani chupa zo zina swagga flan hv classy na nadhani hiyo ni moja ya sababu, ukiangalia chupa za Konyagi ziko too local

Sent using Jamii Forums mobile app
Konyagi waliamini kuwa brand yao haina mpinzani, kitu ambacho si sahihi. Walitakiwa kwenda na wakati.
 
Hata kama mtu ndiyo anajifunza pombe leo..nadhani atakimbilia K vant...huo muonekana wa package yake upo classic sana.....mwonekana wa konyagi kwa kweli hauna mvuto wowote...konyagi hawajiongezi tangu miaka hiyo ninakuwa chupa ni hiyo hiyo..
Macho nayo yanatamani muonekano mpya kila siku na ladha mpya...
ila kwa uzi huu nadhani kknyagi watajirekebisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mkuu starehe yako ni nini? Mbona alcohol iko poa tu hasa ukinywa responsibly

Sent using Jamii Forums mobile app
wee wee weee!!
Vichwa vya watu havifanani...kuna wengine tukisikia harufu tu ya pombe tunavaa boxer kichwani na kiingereza kingi sana...ndiyo maana kuna wengine hawatumii alcohol...wana..switch kwenye mambo mengine kama starehe mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wee wee weee!!
Vichwa vya watu havifanani...kuna wengine tukisikia harufu tu ya pombe tunavaa boxer kichwani na kiingereza kingi sana...ndiyo maana kuna wengine hawatumii alcohol...wana..switch kwenye mambo mengine kama starehe mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa we jamaa umenifanya nimecheka sana. Eti Inafaa boxer kichwani. Mzee piga hata nusu glass ya zile ambazo sio ngumu kumeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika kuna kupanda na kushuka.

Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.

Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.

Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....

Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....

Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......

Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...

Sijui Nyagi inakwama wapi....

TBL okoeni TDL haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa hizo observations.

Je una data yoyote kusupport hizi observations zako.

Kwa sasa hakuna kitu inaweza fikia konyagi, japo k-vant tangu wabadili pack yao kidogo soko limekua.

Siwezi weka hapa hizo data kwa kumlinda client wangu. Ila Konyagi ni habar nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom