General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Hakika kuna kupanda na kushuka.
Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.
Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.
Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....
Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....
Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......
Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...
Sijui Nyagi inakwama wapi....
TBL okoeni TDL haraka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.
Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.
Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....
Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....
Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......
Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...
Sijui Nyagi inakwama wapi....
TBL okoeni TDL haraka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app