Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Hakika kuna kupanda na kushuka.

Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.

Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.

Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....

Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....

Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......

Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...

Sijui Nyagi inakwama wapi....

TBL okoeni TDL haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_20190112_192319.jpeg
Screenshot_2019-01-12-19-22-49-812_com.android.chrome.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh mimi sio mlevi ....lakini mpaka hapo kwa huo muonekano wa hiyo chupa ya k.vant ...umedhihirisha Kwamba konyagi ni kampuni inayoongozwa na watu ambao ni wavivu wa kufikiri ....

Kinywaji cha miaka mingi lakini ubunifu wa mwaka ,80

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo chupa yao " .ya K.vant ...ni kama balaa la chupa ya maji ya Hill water ... kampuni enyeji za maji zijipange

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh mimi sio mlevi ....lakini mpaka hapo kwa huo muonekano wa hiyo chupa ya k.vant ...umedhihirisha Kwamba konyagi ni kampuni inayoongozwa na watu ambao ni wavivu wa kufikiri ....

Kinywaji cha miaka mingi lakini ubunifu wa mwaka ,80

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la Marketing manager....

Hata hivyo, kampuni iliyonunua TBL itakuwa haisapoti distillery

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom