Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

Kwa umri wangu na uzoefu wa maisha wanaume wote wasio kunywa pombe wanapenda sana chini, wanaonekanaga innocents wengine tunaonekana walevi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawaida ya wabongo. Walevi mko defensive sana.

Ilimradi wote tuonekana tuna tatizo,

Mlevi na umalaya damu damu, akilewa lazima aondoke na BAR MAID.

Labda huyo mlevi awe amepuruka na Pombe mpaka kaishiwa nguvu kabisa.
 
Hakuna siri ya kivip k vant kuishusha daraja konyagi. ni ukweli tu wa K VANT HAINA HANG OVER. unaamka mzima kama hujatumia spirit jana yake.
 
Kama Serengeti lite alivyowapoteza castle lite, ndovu etc
 
K-Vant angekua anaathiri mauzo ya TBL niamini mimi wangekua wameshafanyiwa figisu kitambo sana.
 
Tra sahv wanamkalia kooni kvnt
Unajua hilo

Ova
 
Hakika kuna kupanda na kushuka.

Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.

Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.

Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....

Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....

Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......

Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...

Sijui Nyagi inakwama wapi....

TBL okoeni TDL haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau Diamond rock kitu ya shy twn nayo imetake over market saiv.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom