Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

Naona K-Vant akimfyekelea Mbali Konyagi

Nitakufuata Pm tuongee vizuri ..

Speaking of music ... ndio chakula cha akili na roho yangu "...., hiyo ndio starehe kubwa sana'" huwa na dance mpaka mbele ya watoto wangu zamani walikuwa wananishangaa but now day's wamenizoea wakiniona na dance wanakuja kuni-support hahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa room alone halafu inapigwa miziki ile yenyewe huwa nacheka na kuimba kwa furaha as if zimefyatuka. Huwa natafakari na kusema incase mtu ananiona hapa si ataniona kama dish limeyumba. Muziki una raha yake bro. It's the only fun I have ambayo nimegundua siwezi kuacha kama ilivyokuwa kwa mademu na mpira. Nikikumbuka enzi zangu huwa nabaki kusikitika kwa nini wakati umeenda lakini pia nafurahi maana nikikutumia ipasavyo. Now I'm not regretting.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa room alone halafu inapigwa miziki ile yenyewe huwa nacheka na kuimba kwa furaha as if zimefyatuka. Huwa natafakari na kusema incase mtu ananiona hapa si ataniona kama dish limeyumba. Muziki una raha yake bro. It's the only fun I have ambayo nimegundua siwezi kuacha kama ilivyokuwa kwa mademu na mpira. Nikikumbuka enzi zangu huwa nabaki kusikitika kwa nini wakati umeenda lakini pia nafurahi maana nikikutumia ipasavyo. Now I'm not regretting.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wuuuhh hahaa'' kumbe sasa tuko pamoja ... chukua hiyo zawadiView attachment usher_my_way_h264_72918.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa umri wangu na uzoefu wa maisha wanaume wote wasio kunywa pombe wanapenda sana chini, wanaonekanaga innocents wengine tunaonekana walevi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ... mimi sinywi pombe lakini nimezungukwa na washikaji wanywaji "...., yaani wakati wa unywaji Story zao nyingi huwa ni mademu tu" hata wanawake nao story zao huwa ni ngono tu"..., na wakimaliza ulabu huwa karibia wote wanakwenda kutekeleza kitendo".....

Hizi story za kusema kuwa watu ambao sio wanywaji ni wapenda ngono hazina kweli ya dhati ..but ni defense mechanism ya wanywa pombe kwaajili ya kutafuta kuwapaka matope watu ambao sio wanywaji ili waonekane kuwa na wao ni wadhambi ... ijapo kuwa nakubali kuwa wapo watu ambao sio wanywaji ni wapenda ngono pia" but rate yao katika jamii ni few mnoo ..ukilinganisha na wanywaji asili kubwa ya wanywaji huwa wakishalewa wanawaza ngono tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wuuuhh hahaa'' kumbe sasa tuko pamoja ... chukua hiyo zawadiView attachment 992705

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro wacha hizo mzee. Hapa umenivuruga mbaya. Duh! Enzi hizo nipo sec. Akina Hi Lewis Thomas, TLC, Britney Spears, brazamen Mase, etc. By the radio one ndio fm radio inabamba kinoma. Enzi hizo shule ya bweni mchizi Wang alikuwa na kiji radio chake. J2 radio one walikuwa na kipindi cha nani zaidi (sijui kama bado kipo). Utaratibu wa shule J2 mchana lazima tuingie prep. Basi hapo hakuna kusoma ni kusikiliza nani zaidi. Night kulikuwa na kipindi cha chombeza time. Mtangazaji alikuwa na story za hatari ikifuatiwa na muziki murua kabisa. Bro umenikumbusha mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
maxresdefault.jpg
 
Bro wacha hizo mzee. Hapa umenivuruga mbaya. Duh! Enzi hizo nipo sec. Akina Hi Lewis Thomas, TLC, Britney Spears, brazamen Mase, etc. By the radio one ndio fm radio inabamba kinoma. Enzi hizo shule ya bweni mchizi Wang alikuwa na kiji radio chake. J2 radio one walikuwa na kipindi cha nani zaidi (sijui kama bado kipo). Utaratibu wa shule J2 mchana lazima tuingie prep. Basi hapo hakuna kusoma ni kusikiliza nani zaidi. Night kulikuwa na kipindi cha chombeza time. Mtangazaji alikuwa na story za hatari ikifuatiwa na muziki murua kabisa. Bro umenikumbusha mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa ni mziki pekee unaoweza kukurejesha Utotoni .. ni mziki pekee ndio unaoweza kukupatia hamasa kubwa ambayo haukuwahi kuwa nayo awali"... mziki unaponya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu uzuri wa hiyo ndude ukipiga asubuhi unaamka fresh kabisa,no hangovers,tofauti na mibapa
 
Hakika kuna kupanda na kushuka.

Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.

Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.

Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....

Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....

Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......

Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...

Sijui Nyagi inakwama wapi....

TBL okoeni TDL haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Konyagi ni nzuri hasa pale ambapo kunakuwa na Mwanamke amekusumbua na amekulia sana vyako halafu hataki kutoa ' Utamu / Mbunye ' kwa wakati hivyo ukiwa nae halafu ukaitumia hiyo Konyagi Kisawasawa anaweza Kujihisi yupo ' Leba ' anafanyiwa ' Oparesheni ' ya Uzazi kwa aina ya maumivu anayoyapata huku ' Mwanamume ' ukiwa ' unaikandamizia ' na ' Kuisugua ' kiroho mbaya kabisa.
 
Konyagi ni nzuri hasa pale ambapo kunakuwa na Mwanamke amekusumbua na amekulia sana vyako halafu hataki kutoa ' Utamu / Mbunye ' kwa wakati hivyo ukiwa nae halafu ukaitumia hiyo Konyagi Kisawasawa anaweza Kujihisi yupo ' Leba ' anafanyiwa ' Oparesheni ' ya Uzazi kwa aina ya maumivu anayoyapata huku ' Mwanamume ' ukiwa ' unaikandamizia ' na ' Kuisugua ' kiroho mbaya kabisa.
Haha haa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika kuna kupanda na kushuka.

Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.

Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.

Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....

Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....

Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......

Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...

Sijui Nyagi inakwama wapi....

TBL okoeni TDL haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kufananisha Konyagi na vitu vya kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitakuja Iphone, Lg, Samsung, Tecno etc.. Ila bado Nokia ya tochi itaendelea kuheshimika na kutumiwa na kutaftwa kila siku..

.
.
Msafwa..
 
Hakika kuna kupanda na kushuka.

Sikuwahi kuwaza kama leo K-Vant atamkimbiza Konyagi kiasi hiki.

Mmiliki wa K-Vant alikuwa QAM wa Tanzania Distilleries ltd (konyagi). Baada ya jamaa kufanya kazi na konyagi kwa muda mrefu mwishoe akaamua akajichimbiewe mwenyewe huko Arusha na kupiga kazi chini.

Alikuja na kinywaji chake maarufu cha Kiroba, hapa ndipo kampuni yake ilikuwa kwa kasi sana. K-vant kipindi hicho haikuwa ikifanya vzr.....

Ilionekana kama kaiga kila kitu kwa Konyagi .
Walipopiga marufuku Viroba vya nylon Jamaa aliyumba sana na hata kusimamisha uzalishaji.....

Mambo si mambo, karudi kivingine, Package mpya, ladha mpya na label mpya......

Sasa Kila Bar ni K-vant, sioni Bapa mezani kabisaa...

Sijui Nyagi inakwama wapi....

TBL okoeni TDL haraka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

raha ya bongo ukiona kinywaji kikipata mashabiki wengi.na viwanda vya gongo vinapitia humo humo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom