Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

Hongera kwa kurudi nyumbani, ndiyo maana most of mzumbe products, quality zao, ni very questionable!

hii sio kweli mzumbe products kiukweli ni moja ya product inayofanya vizuri sana kwenye labour market na working arenas.sema ktk kila chuo hizi tabia zipo na ukiangalia hapa sisi pia ni vyanzo vya tatizo.hakuna chuo kilichokuwa kinasemwa vibaya kama tumaini lakin the trth remains that sio all tumaini graduates were tabolalasa just some na hao walikuwa wanapita njia za panja lakin makazini sasa tumaini graduates wanafanya vyema sana
 
Nakuheshimu kwa kuwa umelitambua hilo baada ya nafsi kukusuta. Hii inasababisha vyeti Kitila baadhi ya Chuo kudharauliwa. Ujue kwenye ufanisi wa ajira au biashara kama wewe ni kihiyo utajulikana tu.
 
Mtoa mada anaonekana ana walakin. Tafuteni post zake za nyuma mtagundua hilo!
 
ndugu msomi kama wewe jua hizo ni technical mistake siyo mistake za kipumbavu sawa?so kiswahili kwanza si njia ya kuniambia nimeishia la ngapi sawa ?ingekuwa kiingereza sawa

Rahisi????!
 
hii sio kweli mzumbe products kiukweli ni moja ya product inayofanya vizuri sana kwenye labour market na working arenas.sema ktk kila chuo hizi tabia zipo na ukiangalia sisi pia ni vyanzo vya tatizo.hakuna chuo kilichokuwa kinasemwa vibaya kama tumaini lakin the trth remains that sio all tumaini graduates were tabolalasa just some na hao walikuwa wanapita njia za panja lakin makazini sasa tumaini graduates wanafanya vyema sana

No they are the worst in the labour market , lawyers wa kule ogopa, makanjanja tu
 
Usiwe na wasiwasi hauko peke yako! Hauna tofauti na wenye Phd za kupewa!
 
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.

hicho chuo majanga, tatizo walianzisha masters kwa tamaa ya kupata fedha kwa wingi wakati kimiundombinu walikuwa hawajajiandaa, jamaa hawana walimu

nafikiri huyo prof. ukitupa jina lake tutaomba afutiwe hiyo PhD maana ameidhalilisha sana

jamaa walimu wenyewe wa kuungaunga

kuna jamaa yangu mmoja alinishauri niende nikakataa, yeye akaanza MBA hadi anamaliza anasikitika kwani haoni kipya cha ajabu alichojifunza tofauti na vya undergraduate

haya wenye chuo njooni mkitetee lkn ss tuna ushahidi hadi ofisini kwetu wapo watu hao
 
Wewe Ni msomi mwenye hajaelimika mkuu yaani kama hii habari Ni ya kweli. then you were sucking your own dick!Hata hivyo kwa huu mfumo wetu WA elimu na soko letu la ajira linalothamini makaratasi(vyeti) yaani utapeta Tu watu kama wewe wamejaa kwa ofisi.
BTW:Hivi kama mtu umejiajiri na ukaamua kuongeza elimu kwa ajiri ya ufanisi zaidi WA kazi zako unaweza fanya huu upum-bavu?
 
Mmh Wewe Ndo unashida na ungeona hata aibu kuandika hapa ... Unahisi na wanachuo wenzako wamefanyiwa kama Wewe?

Huu ni mtindo wao! Unajua baada ya wataalam kuruhusiwa kufanya kazi za ziada zinazohusu taaluma zao madaktari wa binadamu wakaanzisha hospitali binafsi, waalimu wakaanzisha tuitions nadhani na hao Maprof. na Drs nao wakaanzisha vibanda vyao vya tuitions na research na wateja wao ni wanafunzi wao! Hii ni aibu kwa Taifa yaani Elimu inauzwa kama peremende! Siku hizi kuna maprofesa ukiuliza anafundisha chuo gani unaambiwa ni afsa mwandamizi wa idara fulani! Prof hajawahi kufundisha chuo na hajulikani huo uprof. kapewa na chuo gani. Tanzania tunaelekea shimoni
Halafu haya mambo ya kila chuo kutoa degree na yenyewe yameleta shida.
 
hiyo mzumbe kampasi ya wapi?maana me nimesoma kampasi ya morogoro hakuna kitu kama hicho?sasa hapo mijnga nani,wewe au chuo?

Je wewe ni mkaguzi toka TCU??? Je kile chuo wanachosema Masters zake ni 'maharage ya Mbeya' ni kipi?
Kifupi, taswira ya Mzumbe imeoza tangu siku nyingi. Hili swala halihitaji utetezi rahisi kama huu. Utetezi huu peleka kwa wahitimu wa shule za msingi.
 
mkuu sioni tofauti ya alichokisema mtoa mada na ulichobandika hapa ni sawa na umetuhakikishia alichokisema..... wewe ni mzumbe product iwe ya moro ama popote....

Ofcoz cheti kitasomeka Mzumbe haijalishi ni Dar Mbeya Tanga au Moro chuo ni kile kile Mzumbe hizo ni centre tu.
 
hebu elezea kwa kiswahili mkuu!

si wengiine hatuko makazini, so hizo rejesta mwazijua nyie tu!

Nyongeza mbili ya mshahara ambayo huwa ni kati ya 5000/- hadi 15,000/- katika mshahara! Kifupi hailipi ila kuongeza ujuzi
 
Hebu soma alivyochangia mleta mada kwenye uzi huu "Naandika dissertation/research reports/proposal/conference papers" September 6, 2012 kuhusu Mzumbe kaandika "
Blessings kafungue ofisi pale nje ya Mzumbe(Moro na Dar), Open University, UDOM na CBE utapata vichwa mwanzo-mwisho. maana mi-wanafunzi ya mule yote vilaza haijui hata kuandika sentensi moja ya kiingereza ikaanyooka sijui wanapataje hizo Digrii au ndo digrii za Chupi?" jiulize huyu kweli kamaliza Mzumbe? Nina wasiwasi.


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom