Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

Huna akili tena hujielewi. Wewe ulitaka masters jina na sio ujuzi.
Hii inaonesha hata ukipewa kampuni uiongoze utagawa mshahara usaiwe kuongoza. Siku ukisikia bosi kaja kukukagua unaomba likizo au safari ya dharura.
Utabaki kufanyiwa tuuuu kufanywa tuuu mpaka hata ndani ya nyumba yako.
Hivi watz tutaendelea lini.
Unaelewa maana ya kuwa MASTERS OF SOMETHING?.
Na woote mliowahi kufanyiwa ni vilaza.
PESA HAINUNUI UBONGO.
 
Tatizo sio chuo, tatizo ni ujinga wako ambao am sure hautakuja kukutoka.....wewe darasani wanafundisha alaf unaenda kununua coursework, ukipewa assigment unaenda kulipa ufanyiwe, umefika muda wa research wewe ukaenda kulipa ufanyiwe pia, alaf unasema ukaletewa imesainiwa inamaana wewe haukwenda kuitetea kwenye panel ?

Kama unaulemavu wa akili hapo sawa, lakini kama hauna ulemavu wa akili alaf bado ukawa unalipa hela hili ulainishiwe kila kitu hayo ni matatizo yako wala sio ya chuo.......
 
Mleta uzi kama ungeleta mada hii bila kutaja chuo,ukaelezea tu jinsi ulivyofanya upumbavu na sasa unajuta,basi ningeamini unasema ukweli.Lakini sababu umetaja chuo,sisi wenye akili tunajua kabisa lengo la uzi wako ni kuchafua image ya mzumbe na stori yako ni ya kutunga.
 
The living fact..... Mzumbe sasa hivi ni majanga....Dissertation ndani ya week moja inakuwa imekamilika kuanzia kuandika Proposal, data collection, Presentation, examiner report and submission. Hatari sana kwa elimu ya bongo. Mauza uza tu elimu ya bongo. Halafu unakutana na hilo jitu linajisifia kuwa lipo super..... Nshomire hata aibu haoni.

True kuna jamaa yangu ameandika dissertation kwa kupika data zote na amesubmit ndani ya week. Nakumbuka mimi nilivyosota udsm unaandika dissertation for more than one year.TZ education is not fair...
 
niulize kitu kidogo jamani,

hivi baada ya kupata masters, licha kuongeza elimu, salary inaongezeka kwa asilimia ngapi jamani kwa serikalini?
 
Ok, sitaki kunyoosha vidole kwa watu au taasisi fulani lakini ukweli unabaki kwamba hii nchi inabidi warekebeshi elimu yetu. Mimi nimesoma degree yangu nje na nilikuwa na mpango wa kusoma Masters Tanzania lakini ukipiga mahesabu madarasa yalivyo, lecturers ambavyo sio cooperative, jinsi vyuo havina IT support. Naishia kusave nirudi kupiga Masters yangu nje.

hili la supervisors kutokuwa cooperative linaumiza sana na sijui taifa hili tunalipeleka wapi, kwani wanafunzi wanatabia ya kuiga kwa waalimu wao!
 
niulize kitu kidogo jamani,

hivi baada ya kupata masters, licha kuongeza elimu, salary inaongezeka kwa asilimia ngapi jamani kwa serikalini?

Two increments
 
MKUU nina wasiwasi na vyeti vyako toka msingi hadi ulipo fikia, inaonyesha unapenda kufanikiwa kwa magumashi. wapo watu wamesoma hapo na wanauwezo mkubwa sana katika kazi zao. huo ni uvivu wako na utapata shida sana. KWANZA NYIE NDIO MNAHARIBU NCHI HII NA HIZO HONGO ZENU.
 
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.

Ili kuondoa hiyo aibu isikupate milele chana hicho cheti,hapo utaondokana na aibu hiyo ya mzumbe.
 
Alafu kwenye ajira mnalaumu sana wakenya kupewa kipaumbele kumbe mijitu inafanya upumbavu kama huu vyuoni.
 
We ni muongo kabisa, kwanza Mzumbe ni jina na kuna vyuo vingi vyenye jina la mzumbe. Kuna morogoro, dar, mbeya na mwanza je wewe umesoma wapi? Haiwezekani makosa afanye prof wa chuo hiki alafu useme mzumbe yute iko hivyo. Pia hakuna prof anayejishughulisha na ujinga unaosema labda ni prof wa uganga na si elimu.

Kingine uwe mkweli kama unataka ku apply chuo unataka pata maoni we sema sio kujitungia. Kwa tuliosoma Mzumbe na vyuo vyote Tanzania suala la kusaidiwa lipo na ukiliendekeza utatoka mtupu. Kama term paper unafanya nyumbani kuna uwezekano wa kufanyiwa kwa asilimia 100 kama ukiwa mjinga na hakuna atakayekuuliza maana level ya masters sio ya kukabana kooni. Kila mtu
anajua alichofuata na atakachoondoka nacho. Kwa tuliofuata shule tumetoka fiti na kwa
aliyefuata cheti ataondoka na cheti. Kumbuka pia kuna online education tena Ulaya na
kama unshida ya cheti jiandikishe upate hata PHD na ujitambe unaitwa Dr. Elimu sio kula timing na kujitamba umeipata. Elimu ni kuelimika kichwani mkubwa....pole sana

mkuu sioni tofauti ya alichokisema mtoa mada na ulichobandika hapa ni sawa na umetuhakikishia alichokisema..... wewe ni mzumbe product iwe ya moro ama popote....
 
take my like mkuu,
huyu jamaa wa mzumbe kafunga mwaka kwelikweli,yeye na supervisor wake wote mahodar,,,,,daaah,,,,,
supervisor anakuandikia dissertation???????hii sijapata sikia wala ona,,,,,halaf ni Prof?????jaman jaman jamani mweeeee.
So MBA ya MZUMBE IMETOKA KUWA MAHARAGE YA MBEYA,,,,TO WHAT????
Mia kaka! Mi nakereka kwa watu kutanish image ya elimu yetu!
 
ni chuo ambacho kimeanza kuendeshwa kisanii katika siku za hivi karibuni ,ni aibu na fedheha kubwa kwa wanazuoni wote wa nchi hii kwa mtu kama wewe kujitokeza hadharani kuandika maneno hayo
 
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.

Hivi uko serious? Subiri nirudi.
 
Taaluma ni juhudi ya mtu binafsi. Majengo, jina la chuo au Prof. waingizi maarifa kichwani mwa mwanachuo bali juhudi yako ya kujifunza. Hata ungeenda chuo gani kama husomi unataka kununua cheti hiyo ni juu yako juu ya chuo. Kuna watu wanashule yao ya ukweli toka MU wewe huna shule una cheti haya sasa tuone nani zaidi.

Sio kweli. Chuo ndio hutoa degree. Na chuo kina mfumo. Kama mfumo ni mbovu unategemea eti umefanya juhudi binafsi hivyo degree yako ina quality? Never! Ikiwa ni hivyo siungefanyia juhudi nyumvani kwako? Ila kana umeenda chuo na chuo kina tatizo la kimfumo piga ua na degree yako ni feki maana hata hao maprof ni feki. Jamaa amekuwa jasiri kusema yanayowasibu wengi tu huenda hata wewe.
 
kama ni kweli basi wewe ndiyo ulikuwa ni mjinga;mtu mzima kama wewe hukujua kama unajiumiza wewe mwenyewe?.sababu sehemu yeyote duniani ukiwa na mkwanja wa kutosha unaweza nunua hiyo dissertation/kuandikiwa .inategemeana na dau la mtu unaehongea nae na control iliyoo,ila inawezekana sehemu zote.LAMSINGI WEW NDO ULIKUWA MJINGA SO HATA YA KWANZA ULIFANYA HIVO LABDA SO ANZA DEGREE YA KWANZA NAKUSHAURI NDUGU.:lock1:.ALAFU WEWE KWANZA SIDHAN KAMA NI MKWELI INAONEKANA UMESIKIA TU KWA MTU UNAAMUA KULETA HABARI.
 
  • MemberArray


    Join Date : 27th June 2012
    Posts : 81
    Rep Power : 395
    Likes Received26
    Likes Given5


    [h=2]
    icon1.png
    Kuna chuo elimu ya juu tz chenye hadhi ya chuo kikuu?[/h]
    Salam wadau
    nilitaka kuuliza kama kuna chuocha elimu ya juu chochote humu (zaidi ya 50 kwa sasa 2012) nchini Tz chenye hadhi ya kuitwa CHUO KIKUU? maana nimezungukia MLIMANI, ARDHI, MUHIMBILI, MUSLIM, UDOM ,TUMAINI zote, SAUT, TEKU, ST. JOSEPH nilichoshuhudia ni majengo chakavu chakavu na walimu wapiga miayo tu wakisubiria kama kuna "dili" mtaani wasepe. zaidi ni katika MAKTABA sijaona kitu ukija kwenye INNOVATIONS ndo sifuri (sidhani hata kama tumeshawahi kutoka NOMINATIONS hata moja kwenye NOBEL PEACE PRIZE). Tujipeni pole watanzania​





    Send PM



 
We ni muongo kabisa, kwanza Mzumbe ni jina na kuna vyuo vingi vyenye jina la mzumbe. Kuna morogoro, dar, mbeya na mwanza je wewe umesoma wapi? Haiwezekani makosa afanye prof wa chuo hiki alafu useme mzumbe yute iko hivyo. Pia hakuna prof anayejishughulisha na ujinga unaosema labda ni prof wa uganga na si elimu.

Kingine uwe mkweli kama unataka ku apply chuo unataka pata maoni we sema sio kujitungia. Kwa tuliosoma Mzumbe na vyuo vyote Tanzania suala la kusaidiwa lipo na ukiliendekeza utatoka mtupu. Kama term paper unafanya nyumbani kuna uwezekano wa kufanyiwa kwa asilimia 100 kama ukiwa mjinga na hakuna atakayekuuliza maana level ya masters sio ya kukabana kooni. Kila mtu
anajua alichofuata na atakachoondoka nacho. Kwa tuliofuata shule tumetoka fiti na kwa
aliyefuata cheti ataondoka na cheti. Kumbuka pia kuna online education tena Ulaya na
kama unshida ya cheti jiandikishe upate hata PHD na ujitambe unaitwa Dr. Elimu sio kula timing na kujitamba umeipata. Elimu ni kuelimika kichwani mkubwa....pole sana

kumeibuka kundi la vijana kushabikia majina ya vyuo wanavyosoma badala ya elimu na ujuzi wanaopata katika vyuo hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom