TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,505
- 28,438
Ninahisi mwanzisha mada alimuhonga mwalimu wake wa O' level shilingi laki moja asimchape viboko kwa kukosa maswali ya "simple algebra"....
hata masterz hanahebu soma alivyochangia mleta mada kwenye uzi huu "naandika dissertation/research reports/proposal/conference papers" september 6, 2012 kuhusu mzumbe kaandika "blessings kafungue ofisi pale nje ya mzumbe(moro na dar), open university, udom na cbe utapata vichwa mwanzo-mwisho. Maana mi-wanafunzi ya mule yote vilaza haijui hata kuandika sentensi moja ya kiingereza ikaanyooka sijui wanapataje hizo digrii au ndo digrii za chupi?" jiulize huyu kweli kamaliza mzumbe? Nina wasiwasi.
Mtoa mada anaonekana ana walakin. Tafuteni post zake za nyuma mtagundua hilo!
Taaluma ni juhudi ya mtu binafsi. Majengo, jina la chuo au Prof. waingizi maarifa kichwani mwa mwanachuo bali juhudi yako ya kujifunza. Hata ungeenda chuo gani kama husomi unataka kununua cheti hiyo ni juu yako juu ya chuo. Kuna watu wanashule yao ya ukweli toka MU wewe huna shule una cheti haya sasa tuone nani zaidi.
WEWE NI pimbi SANA,tutolee upimbi WAKO HAPA barazani.
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business
Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni
kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework
(Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji
kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya
Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa
supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana
bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa
Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit.
Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.
Nyongeza mbili ya mshahara ambayo huwa ni kati ya 5000/- hadi 15,000/- katika mshahara! Kifupi hailipi ila kuongeza ujuzi
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.
ahsante mkuu! kwa hiyo natumia gharama kama milioni kumi halafu nakuja kulipwa elfu kumi kama nyongeza ya mshahara?
hii ni kwa bongo tu ama mpaka kwa nchi nyingine huko?
Hii ni bongo wengine sina uhakika, ila nadhani huko wanajali na kuthamini elimu. Tz cha msingi umeongeza ujuzi, vile vile ili kupanda cheo kuwa mwandamizi lazima uwe na MA, kwa misingi hiyo milioni zako haxitapotea bure
ahsante mkuu!
hivi kwa wale wenye advanced diploma, na wenyewe wanaruhusiwa kuchukua MA?
Yaap! Si ni equivalent hiyo?