Naona aibu kusema nina masters ya Mzumbe

Taaluma ni juhudi ya mtu binafsi. Majengo, jina la chuo au Prof. waingizi maarifa kichwani mwa mwanachuo bali juhudi yako ya kujifunza. Hata ungeenda chuo gani kama husomi unataka kununua cheti hiyo ni juu yako juu ya chuo. Kuna watu wanashule yao ya ukweli toka MU wewe huna shule una cheti haya sasa tuone nani zaidi.

pamoja na usahihi wa majibu yako lakini chuo kinachangia sana, ni aibu kwa mhadhiri kutahini na kufanya mtihani mwenyewe badala ya mwanafunzi, ndiyo maana magraduate wengi wa mzumbe ni majanga huku maofini! afisa rasilimali watu unamwuliza kwanini nina sifa za kupandishwa daraja na sijapandisha angali mwenzangu mwenye sifa sawa na mimi kapandishwa? anajibu kirahisi na kiupumbavu kila mtu na bahati yake, huwezi kuamini hawa ndiyo mafisa utumishi wetu wa mzumbe
 
Tatizo ni wewe mwenyewe siyo chuo, hujui ulichofuata shule!! Hadi Masters hujielewi??!! Kama inakuuma tafuta admission uanze upya.
 
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.

Tanzania ni muungano wa Tangnyika na Zimbabwe
 
Mmh Wewe Ndo unashida na ungeona hata aibu kuandika hapa ... Unahisi na wanachuo wenzako wamefanyiwa kama Wewe?

wewe ni mnafiki! huyo jamaa ndiyo kawa mkweli kwani vyuo vya tanzania watu wanaenda kukusanya vyeti lakini kichwani ni weupe! hujiulizi kwa nini professor mhongo hajui mitaji ya kuwekeza kwenye biashara inapatikana wapi na kwa nini hata rais kikwete hajui kwa nini tanzania ni maskini!
 
Tatizo sio chuo, tatizo ni wewe kama ulikua na nia ya dhati ya uongeza uelewa kwanini utumie njia ya mkato? Rudi shule ukasome sasa
 
hata UDSM pia inafanyika, ila Mzumbe inategemea na Programme mkuu, ushajaribu programmes za Bradford na Mzumbe?
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.
 
Huyu jamaa kja hapa harbu image ya Mzumbe tuu, kma kweli u mhitimu wa MU tuma id yako hapa ya mba ulioisoma, watu kma hawa ndo wanaoifanya tz iendelee kuwa poor
 
hiyo mzumbe kampasi ya wapi?maana me nimesoma kampasi ya morogoro hakuna kitu kama hicho?sasa hapo mijnga nani,wewe au chuo?
 
  • Thanks
Reactions: SpK
Ok, sitaki kunyoosha vidole kwa watu au taasisi fulani lakini ukweli unabaki kwamba hii nchi inabidi warekebeshi elimu yetu. Mimi nimesoma degree yangu nje na nilikuwa na mpango wa kusoma Masters Tanzania lakini ukipiga mahesabu madarasa yalivyo, lecturers ambavyo sio cooperative, jinsi vyuo havina IT support. Naishia kusave nirudi kupiga Masters yangu nje.
 
Wadau wa JF
Salam natumain mu wazima! mimi ni mhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo Masters maana kuanzia Coursework (Assignments) kuna walimu walikuwa wanajitangaza kuwa ukihitaji kufanyiwa Assignment unatoa hela kidogo anakufanyia, kufika hatua ya Dissertation ndo nikaelekezwa kwa "Prof" (kwa bahati ndo alikuwa supervisor wangu chuon) ana ofisi binafsi Mjini, nikaenda tukakubaliana bei yeye ndo akawa anafanya kila kitu mimi nimekuja kukabidhiwa Dissertation ikiwa imeshasainiwa na supervisor nikaenda ku-submit. Kiukweli roho yangu inanishtaki maana sijaitendea haki taaluma.

Sasa ndo umelimika. Unayo hiari kurudi tena shule au ubaki na elimu uliyo nayo ya kujua elimu uliyo nayo si elimu! Hongera kwa kujua kuwa huna kitu.
 
Ok, sitaki kunyoosha vidole kwa watu au taasisi fulani lakini ukweli unabaki kwamba hii nchi inabidi warekebeshi elimu yetu. Mimi nimesoma degree yangu nje na nilikuwa na mpango wa kusoma Masters Tanzania lakini ukipiga mahesabu madarasa yalivyo, lecturers ambavyo sio cooperative, jinsi vyuo havina IT support. Naishia kusave nirudi kupiga Masters yangu nje.

mtu mwenyewe c ajabu umesomea india au malaysia..sasa sijui una tofauti gani na sisi tuliosoma hapa bongoland.
 
Umevuna ulichopanda. Ulienda kutafutabcheti ukapata cheti. Cheers! Wapo wenzako ambao walienda kujifunza kitu nao wamepata kujifunza. Usiwalaumu walimu kwa ufinyu wako wa malengo. Chuo chochote utakachoenda ni kizuri kutegemeana na malengo unayoendea hapo. Refuse to be a slave of others and you shall be a master of others. Changu doa anayelaumu kuvuna mamilioni kule mtaa wa Ohio tutamwona hana akili, kwani alikwenda kutafuta na ni lazima afurahie kupata mibuzi yenye kumpa mamilioni hayo kwa kuwauzia utu wake. Wewendugu yangu huna tofautu na machangu doa wale kwa sababu ulienda Nzumbe kuuza utu wako na soko limeboom upande wa kwako na unapaswa kufurahi. Shame on you!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom