Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
- Thread starter
-
- #81
OkyOkay, will PM
Bangi, tumia bangi boss.
Matusi hayoSamahani umeolewa
Vingi vina timiaHuwa ukiota kitu kinatimia au una machale ukihisi kitu kina happen
Asisahau na sadaka ya kujimalizaNimecheka hapo uliposema unaomba maombi ya Vita๐
Walokole utasikia mpige shetani mtama, rusha makofi yampate shetani huko alipo๐คฃ๐
Asante sanaHuo muda ukiamka ndio muda wa kusali
Ishawahi kunitokea
Kuna sk ilikuwa saa6 hadi saa12 napambana nayo siku lala
Kuna sk shetani kama shetani alikuja sitosahau hiyo siku
Walipanga kuniua
Ila asubuhi Mungu akasema usiogope
Kuna mstar alinionyesha
Hivyo ni vita vya Rohoni
Nakushauri soma Zaburi 35,54,25,91
Itasaidia
Tangu nianze Kuwa hivyo yangekuwa yameshaniuaUnayajua majinamizi ?
Mimi kazi yangu ya boda boda sipumziki kabisa ๐Kazi zangu zina nipa mda wa kupumzika sana yaan labda itokee kuna wageni au kuna kazi maalumu ndio nita choka sana
Sawa ila kwa wazazi wangu na waamin hawana. MakuuuSikufahamu lakini kuna haya
Babako aliwahi kumtesa mtu na hata kumpoteza uhai na hakufanya kitubio chochote hivyo ile roho ya huyo mtu ndo inakusumbua sana..kama babako yupo rudi umuulze vzr..
AU
mizimu ya nyumbani kwenu inahitaji kujifungamanisha na wewe ili uitambikie sana ifurahie..
AU
au wazazi wako walimdhulumu mtu haki yake wakati wa uja uzito wako..
cha kufanya:
funga maombi siku 21 kwa imani yako ili kuvunja vita na mpango wa ibilisi..mkumbuke daniel aliomba sana lakn hakufanikiwa hadi alipofunga mfungo mkuu wa kupenyeza maombi.
Au..Kama huwezi kuomba rudi nyumbani fanya matambiko ya toba kwa familia yako ikiwemo kuyatambikia mizimu yenu.
ijapo ushauri wa kwanza unafaa sana lakn inabidi uache makando makando yote uliyo nayo hasa kile kipenzi chako, ROHO WA MUNGU hakai kwenye maisha ya baby.
Nakutabiria nikupe namba nikuunganishe na mganga wa kienyeji uanze kazi unq nyota Kali sana tutapiga hela,, sawaVingi vina timia
๐๐๐ napiga ukuta ngumi sasaNimecheka hapo uliposema unaomba maombi ya Vita๐
Walokole utasikia mpige shetani mtama, rusha makofi yampate shetani huko alipo๐คฃ๐
So mkuu hiyo issue ipo kila siku kwenye maisha yako? Au sometimes jamaa anakuacha upumzike?Wema upiii๐๐
Kwann hawana kwakua ni wazazi don't trust anyone in this world son,, ukifunguliwa rohoni according to walokole utaona duniani upo peke akoSawa ila kwa wazazi wangu na waamin hawana. Makuuu
juz yalikuja usiku nikawa nakemea bado magumu nikasomaAsante sana