Naombeni ushauri ninunue gari ipi

Naombeni ushauri ninunue gari ipi

Ninunue gari ipi kati ya hizi


  • Total voters
    49
Wananzengo habari zenu.
Mimi ni mtu wa safsri kila ijumaa ja jumapili, na huwa napenda nitumie gari binafsi ili nijipangie mda wa kuondoka na kufika. So nlikuwa na gari ndogo nahisi kuichoka.
Kati ya gari ninayohitaji ni honda crosroad ama rumion nikishindwa hizi basi outlander but hizi 2 za mwanzo ndo chaguo langu.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri ni gari ipi ninunue, bajeti yangu ni 18 hadi 20 mil. Natamani ninunue msimu huu wa christmass coz bei huwa zinashuka. Nakaribisha ushauri ila sio masimango ama matusi
Kuna madalali 100 humu watafute unakuaje na hela hujui gari la kununua?
Si ukalime mpunga mbarari huko.
 
Nipo Da wakuu possibly leo au kesho nitanunua mkoko wangu, battle kubwa ilokuwa, kwa honda na outlander, nimeamua nichukue outlander ya 2006 for 23mil mungu akipenda j2 naanza kurudi mwanza
 
Comment naondoka j1 kurudi mwanza
 

Attachments

  • 4377458_NjIwLTQ2NS0zMmUwMDI3NmEz.webp
    4377458_NjIwLTQ2NS0zMmUwMDI3NmEz.webp
    36.2 KB · Views: 15
Mrejesho outlander
Mpaka sasa nimcover nayo kama 2600km nlichogunfua
Haina speed, ni nzito sana haichanganyi, ukiendesha na rpm 2000 kuchula inakula mafuta vizuri ikizidi 2000 uwe vizuri mfukoni., la sivyo utalala njiani
 
Mrejesho outlander
Mpaka sasa nimcover nayo kama 2600km nlichogunfua
Haina speed, ni nzito sana haichanganyi, ukiendesha na rpm 2000 kuchula inakula mafuta vizuri ikizidi 2000 uwe vizuri mfukoni., la sivyo utalala njiani
Vipi kwa sasa unaionaje?
 
Back
Top Bottom