Dulla Tawakal
Member
- Sep 10, 2022
- 84
- 99
Ndugu zangu nina Kavitz kangu huku Tanga Mjini kanasaidia kwa mizunguko Ya hapa barabara za namba ,,sasa nimevuta nguvu kidogo nilitaka nipate tena gari nyengine ndogo ya kunisaidia hata nikitaka kutoka nje ya Tanga iwe Rahisi.
Nimewaza nikafikiri lakin bado nipo njia panda kwenye pendekezo la gari ipi niwe nayo ..Bajeti Yangu ni hizi hizi gari zetu za mkononi Bei(5M mpaka 10M) naomba nipewe mapendekezo wana JF ..
Japo nilikuwa nina machaguzi mengi kama ..Toyota Ractis,,Toyota sienta,,Toyota Porte,,. Naombeni nisaidie ushauri
Nimewaza nikafikiri lakin bado nipo njia panda kwenye pendekezo la gari ipi niwe nayo ..Bajeti Yangu ni hizi hizi gari zetu za mkononi Bei(5M mpaka 10M) naomba nipewe mapendekezo wana JF ..
Japo nilikuwa nina machaguzi mengi kama ..Toyota Ractis,,Toyota sienta,,Toyota Porte,,. Naombeni nisaidie ushauri