Bei rahisi Electronicks
Member
- Nov 24, 2025
- 65
- 189
Wakuu samahani Mimi mdogo wenu naitaji ushauri wa haraka ,Kuna demu alinisumbua kama mwezi hivi alikula vyangu jana akasema anakuja magetoni nikaona nimkomoe nikaenda kununua mkongo ili nimkomoe hii ni mara yangu ya kwanza kutumia mkongo, nilitaka nimkomoe nikaupaka kwenye uume wote maelekezo yanasema baada masaa 2, Chakushangaza demu kafika hamu nnasikia kwa mbali sana alafu uume umekua lege lege
Kila nikijaribu kuingiza uume unalegea ila hamu nnasikia
NAOMBENI USHAURI KAKA ZANGU SIHITAJI MATUSI TANGU JANA MPKA SASA NAOGOPA TATIZO LITAKUA NINI DEMU KAONDOKA KWA HASIRA MWENY UFAHAMU
Kila nikijaribu kuingiza uume unalegea ila hamu nnasikia
NAOMBENI USHAURI KAKA ZANGU SIHITAJI MATUSI TANGU JANA MPKA SASA NAOGOPA TATIZO LITAKUA NINI DEMU KAONDOKA KWA HASIRA MWENY UFAHAMU