luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
am aged 26, nafikiria kuoa sasa,kwa wengi hona kama bado mapema kwa umri huu,lakini kwa mie nilishajiwekea nadhiri ya kwamba nikishamaliza masomo na kupata tu ajiri kifuatacho i kuoa pasipo kujali nitakuwa nimetimiza umri gani... Sasa nimefika n am abt to do wat ive planned.. Naomba mwongozo kwa mlionitangulia tafadhali,ni procedure gani za kufuata kumuoa mchaga wa kibosho!!