GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Nimefika Lindi na jamaa zangu wawili muda huu. Sote ni wageni mkoani hapa. Tutakuwepo kwa siku 21.
Mimi naomba mwongozo nipate lodge nzuri ya kuanzia tsh 30,000- 50,000 isizidi hapo. Iwe nzuri, safi na salama pia.
Lakini kama kuna mambo ya kuzingatia nikiwa huku, maoni na ushauri ntapokea pia ili nijue namna ya kuishi na watu wa huku kwa siku hizo 21.
Maeneo gani yafaa kutembelea, viwanja tulivu, kama kuna vyuo huku nakadhalika nakadhalika.
But pia si vibaya mkinambia namna ya kutembea, kuongea na mambo kama hayo. Naamini mmenielewa.
Mimi naomba mwongozo nipate lodge nzuri ya kuanzia tsh 30,000- 50,000 isizidi hapo. Iwe nzuri, safi na salama pia.
Lakini kama kuna mambo ya kuzingatia nikiwa huku, maoni na ushauri ntapokea pia ili nijue namna ya kuishi na watu wa huku kwa siku hizo 21.
Maeneo gani yafaa kutembelea, viwanja tulivu, kama kuna vyuo huku nakadhalika nakadhalika.
But pia si vibaya mkinambia namna ya kutembea, kuongea na mambo kama hayo. Naamini mmenielewa.