Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Mh mwanangu please kuwa makini, siku hizi wanawake wengi bongo ni mzigo!
Wanaume nao siku hizi hupenda kubebwa, wanapenda wenye kazi au wenye nazo, utasikia ohh, unafanyia wapi just ndo mmekutana.
Mh mwanangu please kuwa makini, siku hizi wanawake wengi bongo ni mzigo!
sina uhakika kama kuhitimu masomo na kupata ajira ndio kigezo cha kuoa kwa staili ya udi na uvumba! Suala la ndoa ni suala la kupendana full stop!
kila la kheri mkuu
sina uhakika kama kuhitimu masomo na kupata ajira ndio kigezo cha kuoa kwa staili ya udi na uvumba! Suala la ndoa ni suala la kupendana full stop!
kila la kheri mkuu
mizigo kivp?
ushaanza ..mwone vle
wanaume weng skuizi ndo mapoyoyo marioooooooooo so inabd tuwe makin wadada unaweza ukolewa na leonard kumbe leornada...
Mbona wachaga wanaolewa sana! kila aoaye ni mchaga tuu, kuna siri gani kwa wachaga? hebu nijuzeni.
I can smell kuibiwa mchumba hapa................
am aged 26, nafikiria kuoa sasa,kwa wengi hona kama bado mapema kwa umri huu,lakini kwa mie nilishajiwekea nadhiri ya kwamba nikishamaliza masomo na kupata tu ajiri kifuatacho i kuoa pasipo kujali nitakuwa nimetimiza umri gani... Sasa nimefika n am abt to do wat ive planned.. Naomba mwongozo kwa mlionitangulia tafadhali,ni procedure gani za kufuata kumuoa mchaga wa kibosho!!
Mbona wachaga wanaolewa sana! kila aoaye ni mchaga tuu, kuna siri gani kwa wachaga? hebu nijuzeni.
Nenda kajitambulishe...utapewa taratibu za wakwezo watarajiwa, ila utadaiwa maziwa, mbege, kondoo nk.