Nmekuliza swali umetapeliwa wapi?
Nafikiri hujacheka kama mimi jamaniHii thread kila comment nimecheka hadi machozi mwanzo mwisho
endeleeni kumshauri napita na comment moja baada ya nyingine
Huu uzi unachekesha sana jamani!! Toka jana sijacheka ila kwa comment hiziii Daaahhh!!!!
Ukute na hicho kitambi kakitapelihuyo mwenye miwani ukimcheki tuu usoni ana kesi ya kujibu..
Kitambi cha wizi,
anaangalia kiwizi,
kakaa kiwizi wizi,
hata miwani amevaa kihuni......
Hicho kitambi ni frexible.....
Akiwa kwenye meza ya makubaliano anakivimbishaa(huoni hata alivyokaa?)
Ukimshtua kina nyweaa
Ungemshtua tuu hapo hata kwa kupiga miguu chiniiii......
Ungeachiwa viti tuu hapo.......
Hata majii haachi.......
Usikute hata hayo maji kayatapeliii
Mtaniua byiehuyo mwenye miwani ukimcheki tuu usoni ana kesi ya kujibu..
Kitambi cha wizi,
anaangalia kiwizi,
kakaa kiwizi wizi,
hata miwani amevaa kihuni......
Hicho kitambi ni frexible.....
Akiwa kwenye meza ya makubaliano anakivimbishaa(huoni hata alivyokaa?)
Ukimshtua kina nyweaa
Ungemshtua tuu hapo hata kwa kupiga miguu chiniiii......
Ungeachiwa viti tuu hapo.......
Hata majii haachi.......
Usikute hata hayo maji kayatapeliii


Kabisa sura za kaziiiYaani ukafanya biashara na sura kama hizo
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli![]()


Kweli mmemsaidia JF kama Fb saiviHuyo wa kwanza namfaham katafute movie ya kibongo ya THT inaitwa wivu ni kidonda yumo humo
Maisha yalivyo magumu akii unaweza jipata unaongea mwenyewe!Hahahaaa...
Daah..! Ila inatia huruma
Kutapeli enzi kama hizi..





Huyo alievaa miwani , sura Ni mshana mtupu ... Amaa kweli dunian wawili wawili.
Yaani ukafanya biashara na sura kama hizo🤣🤣🤣
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli![]()




