Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,455
Mke ni malkia katika uislam.Dada yangu alidondoka hapo ! Mambo yakuendekeza Moyo kuliko facts. Maisha ya kiislam ili uyaweze lazima uukubali uislam! Bila kuukubali hutaweza kuendana nao.
Ni hivi dada alikacha familia akaslim sio kwamba aliukubali uislam ila alifanya ili asitengane na ampendaye! Akaolewa, Maisha yanaanza mama wa kiislam! Mziki hauchezeki, masharti hayabebeki, Shemeji mstaarabu ila ndio anasisitiza mkewe lazima aishi kiislam, Dada anajitahidi lakini kwa sababu sivyo alivyokuzwa ni mateso!
Hapo hakuongezewa mke -angezimia kabisa. Alivumilia lakini alishindwa.
Kama unadhani unaweza kuvaa viatu vya mke kwa maadili ya kiislam sawa. Kama huwezi wakati ni sasa ! Chukua hatua
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wewe unamshauri aolewe na mtu mwingine yakimshinda ya huko utamsaidia? Au kwa sababu atakuwa wa dini yake. Sioni shida kama wanapendana kikubwa kuridhiana.anaweza akampata wa dini yake na akajutia kumuacha huyo muislam.vile vile.Ushauri Wangu Ni Hivi Kwa Sasa Hivi Hutaona Uzito Wa Kuwa Nae But Ukishaolewa Nae Hutapata Kile Ulichokitarajia Na Ukumbuke wewe Ndio Unaolewa Ukumbuke Hivi Imani Yake Inamruhusu Kuongeza Wanawake Kama wewe Wa 3 Mpaka 4 Fanya Maamuzi Sahihi
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mkuu usipotoshe! Tofautisha mume/mke na mchumba!12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
14 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.1 Corinthians 7: 12-14
Dating the opposite? Uhh! Msifanye maisha yawe magumu kiasi hiki aisee.kikubwa kuridhiana. eboKuna vitu vingine huwa vinashangaza sana, how do start dating the opposite? Mapenzi yanafanya tunakuwa vipofu aise.
Axante mkuuUnampenda nani kuzidi? Yesu au mchumba wako?
Kama unampenda Yesu mfuate anachosema, kama unampenda mchumba wako silimu, mfuate yeye.
Watoto wenu watakuwa dini gani?
Ukristo na uislamu ni dini 2 zenye matokeo na hatma tofauti kabisa. Haziingiliani.
Ukristo unawataka watu waache dhambi wamfuate Yesu uislam unawataka Wakristo wamwache Yesu wamwamini Allah - nafikiri kwa kuanzia waweza kuona tofauti.
LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
Ubarikiwe sanaMkuu usipotoshe! Tofautisha mume/mke na mchumba!
Yani, inamaanisha, kwa mfano mume na mke ni waislam, mume akamfuata Yesu-akaokoka ila mke hajataka kuokoka, mume-aliyeokoka asimwache mkewe aliyeendelea kuwa muislamu.
Mke/mme ni wanandoa tayari so kuna muunganiko, uchumba ni hatua ya kuelekea kwenye ndoa!
LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
its true but dini sio tatizo ila tatizo n kuishi ktkt hio misingi ya dinJiulize unaolewa na dini au jamaa, mapenzi hayana ukabila, dini au rangi, kipendo roho hula nyama mbichi, sidhani kama ndoa yako itakuwa imara sababu ya dini, hapo ni mapenzi kwanza, dini baadaye..
Mkuu asante kwa ushauriKaa chini utafakar hili swali, je Upo tayari kuwa muislam? Hapo jamaa ako katulia tu bt akikuweka ndani lazma uslim na ustegemee kama jamaa atakuja kweny ulokole.
Mkuu asante sana kwa ushaurimkimbie huyo haraka sn
maanA uki-force hapo ukija kupata matatizo watakwambia tulikushaur lkn hukuskia
but the more important is
Muombe sn mungu akwambie mapenzi yake juu ya hilo usije ukajuta
Sent from my Infinix HOT 3 LTE using JamiiForums mobile app