POLE NDUGU KWA WAKATI MGUMU.
NAKUPA DAWA ILA USITEME: Kimsingi kabisa bila kuremba mwandiko.Achana na huyu mchumba..tafuta wa DINI yako.UBONGO una nafasi mbili katika maisha yako LOGIC na EMOTIONS.
Kwa picha iliyopo mpaka sasa hutumii logic bali emotions zinakupelekea maisha yako kuwa magumu kiasi.Usioe au kuolewa kwa kutumia emotions pekeyake,tumia na logic pia.
Ikumbukwe huyo MCHUMBA sio kisiwa,ana familia,ndugu,jamaa na marafiki.Arabs for Arabs,Indians for Indians,Africans for Africans,same way hata katika masuala ya kiimani.Compatibility ni muhimu.Unaweza ukalazimishia sasa lakini tambua kuna muda na saa itafika complications zitaanza.
Imani sio suala la mzaha mzaha..mara mia umuambie mtu akafanye plastic surgery still jamii yake haiwezi kumchukulia kama rebel..lakini imani jamii ya mtu husika huweza kumtenga..(je raha yakubadili iko wapi?)
Katika maisha ya ndoa mapenzi hupungua taratibu sana.Mwisho utakuja jilaumu kwa hatua ulizochukua mwanzo.
Complication nyingine hii..kama kila mtu akiwa na dini yake..tatizo mtakuja kuwapa watoto watakuwa hawaeleweki wapo wapi.Wakienda kwa babu zao..ambao bado wapo na imani zao hawa watoto watapelekwa nyumba ipi ya ibada?..hawa watoto watapata mafundisho kutoka upande upi?.
NIKUHAKIKISHIE KUWA WANAWAKE/WANAUME WAPO TELE: WAKILA AINA..USIJITIE UPOFU.HUYO MWACHE AENDE KWA AMANI. PIA MASUALA YA NDOA NI MAAMUZI YAKO PADRI,SHEHE,SHEMASI N.K HAWANA MAMLAKA.