Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Inaonekana jua limesha mchwea huyu...hata nyumbani kwao wameona bora aende tuu..usawa wenyewe wa Magu huu...hivi watu wanafanya mchezo na maswala ya Imanih
Hata simuelewi,natakamani ningemuona face to face nna maswali mengii,haingiii akilini kua wewe mlokole na from day one uko na huyo jamaa am sure jina lake haitwi John wala Hillary umeshindwaje kujua mapema? haya tumuache ajiongeze mwenyewe..
 
Msingi wa ndoa ni upendo,,,dini ipo tu na tuliletewa tu na watu wa nje,,kikubwa ni kuamin kwamba mungu yupo tu,,,ushaur Wang endekea nae don't care abyt religion

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
kwanza wewe ni mpagani wala siyo mlokole, hakuna mlokole ambaye anakuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kabla ya ndoa.
 
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Kwakweli hata uandishi wako unaonekana we ni mstaarabu saanaa.
Ila Mungu ana nguvu sana hakikisha hao wachungaji wanakubali usilazimishe kuolewa bila ridhaa yao. Ndoa nayo ina magumu yake na yanakuwa ya kudumu maisha yako yote.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Ukweli ni kwamba utachanganyikiwa zaidi ya hapo huyo jamaa atakapo kwambia unatakiwa kubadilisha dini ili uwe muislama....Kama uko tayari kubadili dini wewe usichanganyikiwe lakini asikudanganye akikwambia atabadili dini...hakuna mwanaume mwenye utimamu atabadili dini kisa mwanamke...
Kama unaona uwezi kuachana na ukristo wako achana nae mapema..
Tatizo hapo si wachungaji bali tatizo kubwa ni kwamba wanajua lazima wewe ubadili dini....
Hapo hakuna ndoa bila wewe kubadili dini na kuwa muislam...
Umejiandaa?
 
Siungi mkono wewe kuolewa na Muislamu unless uwe tayari kuiacha IMANI yako. Watu wana sema mapenzi hayachagui DINI, this is too theoretical. Mwezi wa ramadhani wewe unafanyaje? Watoto mtakao wazaa watafuata IMANI ya nani? Hivi unafahamu kuhusu Mirathi waislamu na Wakristo wana misimamo tofauti? Unless ubadiri dini na kumfuata but otherwise nina ungana na msimamo wa viongozi wako wa dini. Remember wakati hu mapenzi lazima yawe motomoto kweli but mkiisha oana then mtazoeana and then mtakua wa kawaida sana. Mapenzi ya uchumba na mapenzi ya wana ndoa yapo tofauti sana.
Mwishoni mwa siku you are the one to decide, nakuachia moyo/akili zako ziamue
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kwakweli hata uandishi wako unaonekana we ni mstaarabu saanaa.
Ila Mungu ana nguvu sana hakikisha hao wachungaji wanakubali usilazimishe kuolewa bila ridhaa yao. Ndoa nayo ina magumu yake na yanakuwa ya kudumu maisha yako yote.
Asante mkuu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Siungi mkono wewe kuolewa na Muislamu unless uwe tayari kuiacha IMANI yako. Watu wana sema mapenzi hayachagui DINI, this is too theoretical. Mwezi wa ramadhani wewe unafanyaje? Watoto mtakao wazaa watafuata IMANI ya nani? Hivi unafahamu kuhusu Mirathi waislamu na Wakristo wana misimamo tofauti? Unless ubadiri dini na kumfuata but otherwise nina ungana na msimamo wa viongozi wako wa dini. Remember wakati hu mapenzi lazima yawe motomoto kweli but mkiisha oana then mtazoeana and then mtakua wa kawaida sana. Mapenzi ya uchumba na mapenzi ya wana ndoa yapo tofauti sana.
Mwishoni mwa siku you are the one to decide, nakuachia moyo/akili zako ziamue
Axante sana mkuu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
POLE NDUGU KWA WAKATI MGUMU.

NAKUPA DAWA ILA USITEME: Kimsingi kabisa bila kuremba mwandiko.Achana na huyu mchumba..tafuta wa DINI yako.UBONGO una nafasi mbili katika maisha yako LOGIC na EMOTIONS.

Kwa picha iliyopo mpaka sasa hutumii logic bali emotions zinakupelekea maisha yako kuwa magumu kiasi.Usioe au kuolewa kwa kutumia emotions pekeyake,tumia na logic pia.

Ikumbukwe huyo MCHUMBA sio kisiwa,ana familia,ndugu,jamaa na marafiki.Arabs for Arabs,Indians for Indians,Africans for Africans,same way hata katika masuala ya kiimani.Compatibility ni muhimu.Unaweza ukalazimishia sasa lakini tambua kuna muda na saa itafika complications zitaanza.

Imani sio suala la mzaha mzaha..mara mia umuambie mtu akafanye plastic surgery still jamii yake haiwezi kumchukulia kama rebel..lakini imani jamii ya mtu husika huweza kumtenga..(je raha yakubadili iko wapi?)

Katika maisha ya ndoa mapenzi hupungua taratibu sana.Mwisho utakuja jilaumu kwa hatua ulizochukua mwanzo.

Complication nyingine hii..kama kila mtu akiwa na dini yake..tatizo mtakuja kuwapa watoto watakuwa hawaeleweki wapo wapi.Wakienda kwa babu zao..ambao bado wapo na imani zao hawa watoto watapelekwa nyumba ipi ya ibada?..hawa watoto watapata mafundisho kutoka upande upi?.

NIKUHAKIKISHIE KUWA WANAWAKE/WANAUME WAPO TELE: WAKILA AINA..USIJITIE UPOFU.HUYO MWACHE AENDE KWA AMANI. PIA MASUALA YA NDOA NI MAAMUZI YAKO PADRI,SHEHE,SHEMASI N.K HAWANA MAMLAKA.
Asante sana mkuu umefumbua macho YANGU. Sasa nachukua hatua

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Hayupo aliyetayari kufata dini ya mwenzake

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
kama ndio hivyo mbona jibu jepesi kabisa...''kila mtu afe kivyake ndio maisha ya mjini,kuzoeazoea watu mwisho ...''
 
  • Thanks
Reactions: THT
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Badili dini,kwani lazima amkubali yesu?kama hamkubali we mkubali \allah kwni nini?at the end of time utaolewa na mwingine then uje upigwe miti na huyuhuyu,F.u...ck wachungaji!
 
Wachungaji wapo sahihi...Japo watu husema mapenz hayaangalii maana hayana macho...lakini kwenye swala la Imani hapo ndio pa kuangalia sana...Umeokoka au umefuata dini ya wazazi wako...maana mm najua mtu akiokoka huyaacha mambo yote machafu ya zaman na kuwa kiumbe kipya

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
Wachungaji wapo sahihi...Japo watu husema mapenz hayaangalii maana hayana macho...lakini kwenye swala la Imani hapo ndio pa kuangalia sana...Umeokoka au umefuata dini ya wazazi wako...maana mm najua mtu akiokoka huyaacha mambo yote machafu ya zaman na kuwa kiumbe kipya

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu nimekuelewa nitafanyia kazi

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Mkafunge ya kiserikali

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Unampenda nani kuzidi? Yesu au mchumba wako?

Kama unampenda Yesu mfuate anachosema, kama unampenda mchumba wako silimu, mfuate yeye.

Watoto wenu watakuwa dini gani?

Ukristo na uislamu ni dini 2 zenye matokeo na hatma tofauti kabisa. Haziingiliani.

Ukristo unawataka watu waache dhambi wamfuate Yesu uislam unawataka Wakristo wamwache Yesu wamwamini Allah - nafikiri kwa kuanzia waweza kuona tofauti.



LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
 
Hiyo tafsiri ya mtu asyeamini ni ya uongo. Biblia haijasema mtu asiyeamini ni mwislam au mtu asiyempokea Yesu. Huo ni uongo!
Pia kifo cha msalaba ni laana biblia imesema!

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Biblia iliposema Yesu alibeba dhambi zetu ili tuwe huru ilimaanisha nini?

Kwa uelewa wako dhambi ni Baraka au Laana?

LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
 
  • Thanks
Reactions: THT
jitahid akupe mimba mambo yatakuwa poa

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Dada yangu alidondoka hapo ! Mambo yakuendekeza Moyo kuliko facts. Maisha ya kiislam ili uyaweze lazima uukubali uislam! Bila kuukubali hutaweza kuendana nao.
Ni hivi dada alikacha familia akaslim sio kwamba aliukubali uislam ila alifanya ili asitengane na ampendaye! Akaolewa, Maisha yanaanza mama wa kiislam! Mziki hauchezeki, masharti hayabebeki, Shemeji mstaarabu ila ndio anasisitiza mkewe lazima aishi kiislam, Dada anajitahidi lakini kwa sababu sivyo alivyokuzwa ni mateso!
Hapo hakuongezewa mke -angezimia kabisa. Alivumilia lakini alishindwa.
Kama unadhani unaweza kuvaa viatu vya mke kwa maadili ya kiislam sawa. Kama huwezi wakati ni sasa ! Chukua hatua

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Natamani ungejua mke katika uislam anatakiwa aweje.
 
  • Thanks
Reactions: THT

Similar Discussions

Back
Top Bottom