Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Dada yangu alidondoka hapo ! Mambo yakuendekeza Moyo kuliko facts. Maisha ya kiislam ili uyaweze lazima uukubali uislam! Bila kuukubali hutaweza kuendana nao.
Ni hivi dada alikacha familia akaslim sio kwamba aliukubali uislam ila alifanya ili asitengane na ampendaye! Akaolewa, Maisha yanaanza mama wa kiislam! Mziki hauchezeki, masharti hayabebeki, Shemeji mstaarabu ila ndio anasisitiza mkewe lazima aishi kiislam, Dada anajitahidi lakini kwa sababu sivyo alivyokuzwa ni mateso!
Hapo hakuongezewa mke -angezimia kabisa. Alivumilia lakini alishindwa.
Kama unadhani unaweza kuvaa viatu vya mke kwa maadili ya kiislam sawa. Kama huwezi wakati ni sasa ! Chukua hatua

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mke ni malkia katika uislam.
 
Ushauri Wangu Ni Hivi Kwa Sasa Hivi Hutaona Uzito Wa Kuwa Nae But Ukishaolewa Nae Hutapata Kile Ulichokitarajia Na Ukumbuke wewe Ndio Unaolewa Ukumbuke Hivi Imani Yake Inamruhusu Kuongeza Wanawake Kama wewe Wa 3 Mpaka 4 Fanya Maamuzi Sahihi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Wewe unamshauri aolewe na mtu mwingine yakimshinda ya huko utamsaidia? Au kwa sababu atakuwa wa dini yake. Sioni shida kama wanapendana kikubwa kuridhiana.anaweza akampata wa dini yake na akajutia kumuacha huyo muislam.vile vile.
 
  • Thanks
Reactions: THT
12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
14 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.1 Corinthians 7: 12-14
Mkuu usipotoshe! Tofautisha mume/mke na mchumba!

Yani, inamaanisha, kwa mfano mume na mke ni waislam, mume akamfuata Yesu-akaokoka ila mke hajataka kuokoka, mume-aliyeokoka asimwache mkewe aliyeendelea kuwa muislamu.

Mke/mme ni wanandoa tayari so kuna muunganiko, uchumba ni hatua ya kuelekea kwenye ndoa!


LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kuna vitu vingine huwa vinashangaza sana, how do start dating the opposite? Mapenzi yanafanya tunakuwa vipofu aise.
Dating the opposite? Uhh! Msifanye maisha yawe magumu kiasi hiki aisee.kikubwa kuridhiana. ebo
 
  • Thanks
Reactions: THT
Muoe tu ataokoka baadae

Sent from my HUAWEI GRA-UL00 using JamiiForums mobile app
 
~~~>>>Namuonea huruma kwa kijana wa kiume kuzama ktk penzi la kaf'r.............
 
Unampenda nani kuzidi? Yesu au mchumba wako?

Kama unampenda Yesu mfuate anachosema, kama unampenda mchumba wako silimu, mfuate yeye.

Watoto wenu watakuwa dini gani?

Ukristo na uislamu ni dini 2 zenye matokeo na hatma tofauti kabisa. Haziingiliani.

Ukristo unawataka watu waache dhambi wamfuate Yesu uislam unawataka Wakristo wamwache Yesu wamwamini Allah - nafikiri kwa kuanzia waweza kuona tofauti.



LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
Axante mkuu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
jitahid akupe mimba mambo yatakuwa poa

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Nadhani ukianza kupata mimba wew itakuwa poa

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu usipotoshe! Tofautisha mume/mke na mchumba!

Yani, inamaanisha, kwa mfano mume na mke ni waislam, mume akamfuata Yesu-akaokoka ila mke hajataka kuokoka, mume-aliyeokoka asimwache mkewe aliyeendelea kuwa muislamu.

Mke/mme ni wanandoa tayari so kuna muunganiko, uchumba ni hatua ya kuelekea kwenye ndoa!


LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
Ubarikiwe sana

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kaa chini utafakar hili swali, je Upo tayari kuwa muislam? Hapo jamaa ako katulia tu bt akikuweka ndani lazma uslim na ustegemee kama jamaa atakuja kweny ulokole.
 
  • Thanks
Reactions: THT
huwezi kuchanganya mafuta na maji na kosa unalotaka kulifanya kamwe hautapata nafasi ya kurirekebisha, achana na huo mpango mara moja
 
  • Thanks
Reactions: THT
THT achana na mchungaji liamsheni dude kama wazazi hawana shida, tatizo ni nini


labda nikuulize mwenzio yupo tayari kubadili au wewe upo tayari?
 
  • Thanks
Reactions: THT
mkimbie huyo haraka sn
maanA uki-force hapo ukija kupata matatizo watakwambia tulikushaur lkn hukuskia
but the more important is
Muombe sn mungu akwambie mapenzi yake juu ya hilo usije ukajuta

Sent from my Infinix HOT 3 LTE using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
Jiulize unaolewa na dini au jamaa, mapenzi hayana ukabila, dini au rangi, kipenda roho hula nyama mbichi, sidhani kama ndoa yako itakuwa imara sababu ya dini, hapo ni mapenzi kwanza, dini baadaye..
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kwani kabla ya kuja kwa dini za kigeni,babu Na bibi zetu walikuwa wanaoana au hawaoani

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Jiulize unaolewa na dini au jamaa, mapenzi hayana ukabila, dini au rangi, kipendo roho hula nyama mbichi, sidhani kama ndoa yako itakuwa imara sababu ya dini, hapo ni mapenzi kwanza, dini baadaye..
its true but dini sio tatizo ila tatizo n kuishi ktkt hio misingi ya din
mfano mzur wakristo ndoa n mke mmoja na mme mmoja sasa jamaa n muislam misingi yao n wake wa nne unaona dada yetu ataweza kwel ht km kipenda roho hula nyama mbich




Sent from my Infinix HOT 3 LTE using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
huwezi kuchanganya mafuta na maji na kosa unalotaka kulifanya kamwe hautapata nafasi ya kurirekebisha, achana na huo mpango mara moja
Asante kwa ushauri mkuu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kaa chini utafakar hili swali, je Upo tayari kuwa muislam? Hapo jamaa ako katulia tu bt akikuweka ndani lazma uslim na ustegemee kama jamaa atakuja kweny ulokole.
Mkuu asante kwa ushauri

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
mkimbie huyo haraka sn
maanA uki-force hapo ukija kupata matatizo watakwambia tulikushaur lkn hukuskia
but the more important is
Muombe sn mungu akwambie mapenzi yake juu ya hilo usije ukajuta

Sent from my Infinix HOT 3 LTE using JamiiForums mobile app
Mkuu asante sana kwa ushauri

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom