Education Mentor
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 395
- 695
Duh......kwel Counseling ni wito... Wokovu unafundisha watu kuwa Mwanana(kindly & humbly) hamnaga fanaticismSikio la kufa halisikii dawa. Kimbilia huko kwa muislam
Nachelea kuseme ww sio MLOKOLE kabisa ila unasali na sisi.
~Dada Mungu hadhihakiwi hata kidogo na sisemi umemdhihaki hapana maana biblia inasema viache ngano na magugu vikue pamoja ndio km hivi.
~Narudia hujaokoka huijui kweli ww!! tena ungeijua gharama ya msalaba na damu ya YESU y ungetubu mapema sana dhambii haianzii nje huanzia ndani.
~Natamani km nikuhubirie yani kuna kitu kinachemka ndani yangu si cha kawaida.najiuliza una ROHO MTAKATIFU kweli?
~Mimi ni mlokole tena kwa chimbuko dada Mungu anajibu,usisingizie wachungaji ww biblia husomi au zipo tofauti yakwako inaruhusu??
Yeremia 17:5 inajieleza wazi.panda mlimani,hata siku 3 kavu,lia kwa Mungu majibu hayapo Jf yapo magotini mama.Ita jina lipitalo majina yote.
~dada iambie damu inenayo mema kuliko damu ya habiri inene mema juu ya hilo,ingia patakatifu pa patakatifu,kisogelee kiti cha rehema kwa ujasiri.amuru mbingu iachie majibu,fungua madirisha ya hazina iliyo sitirika ohooo jamani kwa YESU raha saaana.
~Nb;MUNGU HAWI RADHI NA WAPUMBAVU.
Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
