Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Naombeni msaada nimechanganyikiwa

Sikio la kufa halisikii dawa. Kimbilia huko kwa muislam
Duh......kwel Counseling ni wito... Wokovu unafundisha watu kuwa Mwanana(kindly & humbly) hamnaga fanaticism
Nachelea kuseme ww sio MLOKOLE kabisa ila unasali na sisi.

~Dada Mungu hadhihakiwi hata kidogo na sisemi umemdhihaki hapana maana biblia inasema viache ngano na magugu vikue pamoja ndio km hivi.

~Narudia hujaokoka huijui kweli ww!! tena ungeijua gharama ya msalaba na damu ya YESU y ungetubu mapema sana dhambii haianzii nje huanzia ndani.

~Natamani km nikuhubirie yani kuna kitu kinachemka ndani yangu si cha kawaida.najiuliza una ROHO MTAKATIFU kweli?

~Mimi ni mlokole tena kwa chimbuko dada Mungu anajibu,usisingizie wachungaji ww biblia husomi au zipo tofauti yakwako inaruhusu??

Yeremia 17:5 inajieleza wazi.panda mlimani,hata siku 3 kavu,lia kwa Mungu majibu hayapo Jf yapo magotini mama.Ita jina lipitalo majina yote.

~dada iambie damu inenayo mema kuliko damu ya habiri inene mema juu ya hilo,ingia patakatifu pa patakatifu,kisogelee kiti cha rehema kwa ujasiri.amuru mbingu iachie majibu,fungua madirisha ya hazina iliyo sitirika ohooo jamani kwa YESU raha saaana.

~Nb;MUNGU HAWI RADHI NA WAPUMBAVU.

Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app


Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Situation kama hizi ndio zinazonifanya nichukie dini
Misingi ya dini ni kubaguana, zimeletwa ili tubaguane wenyewe kwa wenyewe, sitoruhusu huu upuuz unaoitwa dini uingie kwenye familia yangu

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
Duh......kwel Counseling ni wito... Wokovu unafundisha watu kuwa Mwanana(kindly & humbly) hamnaga fanaticism



Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app

Mkuu;
Unisomee kwanza maandiko yangu ya kwanza niliyo muandikia halafu usome alicho nirudishia. Ati kaona natoa povu. Ndo maana nikaona huyu hataki ushauri bali anataka watu wa kumwambia yale anayoyataka asikie. Yaani, nenda tumwaya hakuna shida bora mnapendana.
Paulo anamwambia Timoteo kuwa; Siku za mwisho watu wa aina hii watajitafutia waalimu makundi makundi..2 Tim 4:3 yaani wakutaka kuolewa visivyo nao watafute waalimu wakuwaruhusu kuolewa huko japo sio sahihi.
 
Nachelea kuseme ww sio MLOKOLE kabisa ila unasali na sisi.

~Dada Mungu hadhihakiwi hata kidogo na sisemi umemdhihaki hapana maana biblia inasema viache ngano na magugu vikue pamoja ndio km hivi.

~Narudia hujaokoka huijui kweli ww!! tena ungeijua gharama ya msalaba na damu ya YESU y ungetubu mapema sana dhambii haianzii nje huanzia ndani.

~Natamani km nikuhubirie yani kuna kitu kinachemka ndani yangu si cha kawaida.najiuliza una ROHO MTAKATIFU kweli?

~Mimi ni mlokole tena kwa chimbuko dada Mungu anajibu,usisingizie wachungaji ww biblia husomi au zipo tofauti yakwako inaruhusu??

Yeremia 17:5 inajieleza wazi.panda mlimani,hata siku 3 kavu,lia kwa Mungu majibu hayapo Jf yapo magotini mama.Ita jina lipitalo majina yote.

~dada iambie damu inenayo mema kuliko damu ya habiri inene mema juu ya hilo,ingia patakatifu pa patakatifu,kisogelee kiti cha rehema kwa ujasiri.amuru mbingu iachie majibu,fungua madirisha ya hazina iliyo sitirika ohooo jamani kwa YESU raha saaana.

~Nb;MUNGU HAWI RADHI NA WAPUMBAVU.

Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
Umeibariki siku yangu....watu waache kudhihaki imani za watuu na maigizo yao

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
baba mchungaji ATAKUA KAULEWA MZIGO MI SIJAONA SHIDA HAPO WHAT IF MUNGU ANATAKA UOLEWE NA HYO.....FATA MOYO WAKO BANA....OLEWA MWAMBIE MCHUNGAJ AKUSAMEHEE ...KWA NN ANAJUDGE EEEH
 
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani

Mfuate mumeo.badili dini umfate
u hama kanisa
 
Wasalaam wana JF, mimi binti Nina tarajia kuwa tabibu hivi karibuni. Ila Nina tatizo Fulani, nina mchumba muislam na mimi ni mlokole, tunapendana sana lakini wachungaji wangu hawamtaki kabisaaa.

Nachanganyikiwa wanadai nimuache, tutafanya maombi nitapata mlokole mwenzangu wananiambia biblia inasema "msifungiwe NIRA na MTU asiyeamini" na MTU asiyeamini ni yule ambaye hajampokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake na haamini kifo cha msalaba, ila wazazi wetu wote hawanashida sasa nifanyeje niko njia panda.

Kama nimekosea undishi mnisamehe sana naombeni mchango wenu

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
NB. Huyu mtu nimeanza mahusiano nae kabla sijaokoka na nimeokoka ukubwani
Tafuta faraja ya moyo wako. Wokovu haukuzuii kuwa na furaha. Mungu ni huyu huyu mmoja anayeabudiwa na walokole na wasio walokole. Huyo mnayemwita mchungaji sijui nabii ni miongoni mwa wahuni tu kama jinsi walivyowahuni wengine wengi wao wanacheza na akili zetu kutimiza maslahi yao. Ishi na MTU umpendaye Dada yangu. Kama ni ulokole fanya jitihada za kumfanya afuate imani yako na si vinginevyo. Wengine tumekulia kwenye ukristo na uislam na tupo mpka leo. Tena tunaishi kwa amani kuliko wale ambao wazazi wao wote ni wa mrengo mmoja
 
Fuata kile ambacho unakiamini ktoka ndani ya moyo wako... Angalia future yako... Sikiliza moyo wako.... Amin kile unachoona ni sahihi lakin usisahau ulikotoka

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Umechanganyikiwa siyo kwa sababu ya yaliyotokea kwenye huo uchumba, umechanganyika kwa sababu hutaki kuijua kweli!!...... ukiijua kweli nayo kweli itakuweka huru!!...... Kwa kifupi tu ni kwamba hayo yaliyokukuta ni gharama(cost) ya kuokoka!!..........wewe ulifikiri kuokoka kwako hutalipa gharama(cost) yeyote??.... labda nikukumbushe tu kuwa kila jambo zuri lina cost yake!!...... Hayo yaliyokukuta ndo cost yako ya kuokoka unayopasa kuilipa kwa hiyo tulia and bear it!!

Sent from my Armor using JamiiForums mobile app
Aisee leo umekula maharage ya wapi?
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kwanza kabisa dada weye huna dini yeyote ile. Huko kwenye ulokole uliwasindikiza rafiki zako tu. Msichana aliye okoka kamwe hawezi hata kumwangalia huyo muisilamu wako. Kwa sababu hujui hata maana ya ulokole ndo maana unasema ati wazazi hawana shida. Wewe unaolewa pamoja na wazazi wako au unaolewa kwa hao wazazi wake?? Umri wako ni chini ya miaka 8?? Usiwalete wazazi hapo.
Ninachokijua ni kuwa, kama kweli unajijua, utawasikiliza viongozi wako wa kiroho. Namhurumia huyo mchungaji kwani si ajabu kila siku ukikutana na huyo mchumba vyupi lazima vishushwe. Mwisho utaanza kutema mate halafu utauacha huo ulokole kwani kwako hauna faida.
Usiokoke ili uolewe wala usisilimu ili uolewe
Kweli tupu
 
THT
Sikiliza hisia zako, sikiliza kile kilichomo ndani ya moyo wako na kisha fanya maamuzi. Usijali wengine wanasema nini, heshimu maoni ya wengine lakini mwisho wa siku fanya maamuzi ambayo yametokana na wewe, na sio kwa sababu wengine wamesema hivi au vile. Wewe umekuja hapa kuomba ushauri, cha ajabu badala ya watu kukupatia ushauri, wao wanakuhukumu, wanakukejeli, wanakukasirikia, hii sio sahihi. Ukiona unawaomba watu ushauri na kisha wanahama kwenye mada na wanakutolea sana povu wewe, tambua hapo mwenye tatizo sio wewe, bali tatizo liko kwa hao watoa ushauri.

Ndoa au mahusiano ya kimapenzi hujengwa kwa misingi kwa UPENDO, na kama moyo wako umejaa upendo kwa huyo mwenza wako, na unadhani utapata furaha na amani ya moyoni, nadhani jibu unalo tayari, usiiachie nafasi hiyo inayokupatia upendo, furaha na amani.

Wanaokutisha kwamba ETI ndoa au mahusiano yatavunjika waambie kwamba dini SIO kigezo cha ndoa kuvunjika, waulize ndoa ngapi za watu wa dini moja (Wakristo na Waislamu) zimevunjika? Ndoa ngapi za wanandoa wa dini moja (Wakristo na Waislamu)zimejaa udanganyifu, ugomvi na mifarakano isiyokwisha?! Kuvunjika kwa ndoa au mahusiano ni jambo linaloweza kutokea kwa yeyote bila kujali dini yake, na hata likija kutokea huwezi kulizuia kwasababu halijalishi dini za wana ndoa, kama limepangwa kutokea, litatokea kwa sababu zingine, lakini SIO eti kwasababu ya kutofautiana kidini.

Hongera kwa ujasiri wa kuomba ushauri, natumaini utatumia vizuri ushauri unaopewa hapa ili kufanya maamuzi sahihi.
Ubarikiwe sana. Nashukuru una moyo wa tofauti sana nimepata faraja. Asante sana

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kubwa zaidi duniani kwa sasa ni watu kutaka kuishi maisha ya kuwafurahisha wenzao badala ya wao wenyewe, usikilize moyo wako then amua mwenyewe, hao wachungaji hawatakuwepo kwenye maisha yako hapo duniani na wala hawatakuwepo kwenye judgement day hvy ni wewe na moyo wako, wewe na Mungu wako.....live your life, live it to the fullest cuz we only live once.
 
POLE NDUGU KWA WAKATI MGUMU.

NAKUPA DAWA ILA USITEME: Kimsingi kabisa bila kuremba mwandiko.Achana na huyu mchumba..tafuta wa DINI yako.UBONGO una nafasi mbili katika maisha yako LOGIC na EMOTIONS.

Kwa picha iliyopo mpaka sasa hutumii logic bali emotions zinakupelekea maisha yako kuwa magumu kiasi.Usioe au kuolewa kwa kutumia emotions pekeyake,tumia na logic pia.

Ikumbukwe huyo MCHUMBA sio kisiwa,ana familia,ndugu,jamaa na marafiki.Arabs for Arabs,Indians for Indians,Africans for Africans,same way hata katika masuala ya kiimani.Compatibility ni muhimu.Unaweza ukalazimishia sasa lakini tambua kuna muda na saa itafika complications zitaanza.

Imani sio suala la mzaha mzaha..mara mia umuambie mtu akafanye plastic surgery still jamii yake haiwezi kumchukulia kama rebel..lakini imani jamii ya mtu husika huweza kumtenga..(je raha yakubadili iko wapi?)

Katika maisha ya ndoa mapenzi hupungua taratibu sana.Mwisho utakuja jilaumu kwa hatua ulizochukua mwanzo.

Complication nyingine hii..kama kila mtu akiwa na dini yake..tatizo mtakuja kuwapa watoto watakuwa hawaeleweki wapo wapi.Wakienda kwa babu zao..ambao bado wapo na imani zao hawa watoto watapelekwa nyumba ipi ya ibada?..hawa watoto watapata mafundisho kutoka upande upi?.

NIKUHAKIKISHIE KUWA WANAWAKE/WANAUME WAPO TELE: WAKILA AINA..USIJITIE UPOFU.HUYO MWACHE AENDE KWA AMANI. PIA MASUALA YA NDOA NI MAAMUZI YAKO PADRI,SHEHE,SHEMASI N.K HAWANA MAMLAKA.
 
  • Thanks
Reactions: THT

Similar Discussions

Back
Top Bottom